Ww umeongea nn apo??
Alisimamia ujenzi wa shule za kata katika kipindi chake
JF allow users to speak freely on matters and people of public interest
Ww umeongea nn apo??
Alisimamia ujenzi wa shule za kata katika kipindi chake
Kwa lipi la maana alilolifanya lowasa hadi apewe nchi? Kuna sababu nyingi za kusema Lowasa hafai kuwa rais wa nchi hii,licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu? Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowasa awe rais wa awamu ya tano?
Achukue,aliiweka yeye? Hatutaki mafisadi
Lowassa pekee mwenye uwezo kati ya hao wanaotajwa
Kwa lipi la maana alilolifanya lowasa hadi apewe nchi? Kuna sababu nyingi za kusema Lowasa hafai kuwa rais wa nchi hii,licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu? Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowasa awe rais wa awamu ya tano?
Makelele bila hata mpango ! Umeulizwa swali rahisi mno , apewe urais kwa lipi na hiyo mijikashfa inayomuandama ? Kwanza aliwahi kufanya nini cha kupigiwa mfano ?Kabisa mkuu,chezea Lowasa weyeee!
Tuwekee hapa hayo aliyoyafanya alipokuwa waziri mkuu kwa mwaka unusu tu ! ( ambayo ni rekodi ya dunia )Pigeni kelele weweeee ila lowasa anafaa kuisimamia nchi vema.uwazir mkuu tu alipga kaz nzuri sana. Hayo ya richmond aliingia tu kama kafara. Vote for lowasa
Hivi akili yko ndo kuwa mtu akiwa rais amepewa nchi? Nchi ni y wananchi jitambueKwa lipi la maana alilolifanya lowasa hadi apewe nchi? Kuna sababu nyingi za kusema Lowasa hafai kuwa rais wa nchi hii,licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu? Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowasa awe rais wa awamu ya tano?
Kumbe friends of lowasa ni weupe namna hii ?Acha kujitoa akili,hata mkeo anafahm hukuwa na haja ya,kuja kuuliza humu
Msimu huu mtabadili lugha hadi mchanganyikiwe !Hivi akili yko ndo kuwa mtu akiwa rais amepewa nchi? Nchi ni y wananchi jitambue
Anaichukua toka kwa nani??