Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

.....lowasa pekee ndiye anayeweza kudeal na ukawa nakwambia.
 
Sijawahi kusikia popote kwamba Lowassa anautaka URAIS wa inji hii, sasa kama mtu hajatangaza nia lakini Lumumba nzima inaweweseka, je siku akiita wandishi wa habari na kutamka hadharani kwamba anautaka itakuwaje??

Mlishaonywa tangu mwanzo kwamba kujaribu kulikata jina la huyu mkongwe wa chama ni sawa na kuanza kufukia udongo wa kaburi la chama chenu ili ki-RIP.
 
"Mpinzani wa kweli atatoka ndani ya ccm wenyewe"Jk Nyerere,kumkataa lowasa nisawa na kutendeka kwa kauli hii kwa vtendo,ni kweli c msafi ila ana mvuto wa kpekee kwa watz,na hasa ukizngatia watz hawana muda wa kumchunguza cfa za mtu zaid ya mvuto wake!kfup labda hacgombee sehem yoyote na wala acmpgie mtu kampeni tofaut na hvyo mh popote atakapo cmama anachotaka ktapta tu!km huamin rejea kampeni zake nyngi alizofanya au wafanyia wampenzi wake ukiondoa kwa mkwe wake pale Ar tu kwan walipngana wenyewe kwa wenyewe!lowasa anacfa na nafac zaid ya wengne kwn ni mzoefu wa harakat za urais,anazo fedha nyngi,anao wafadhili wakutosha!kaz ni kwako bwana mkubwa!
 
Wanajamvi huu ni ukweli toka ndani ya cc ya ccm ni kwamba lowasa hatopitishwa kugombea urais kwakua anakashfa nyingi lakini pia afya yake sio imara kupambana na ukawa ndani ya siku 90 za kampeni kupita kijiji kwa kitongoji hapa tz,naomba kumbu kumbu hizi tuziweke humu

yaani Lowassa anawatia kichefuchefu kama mna mimba ..mtajuta kumfahamu mxxxxxxxx...hivi hamuoni ujinga mnamsema weee miaka 8 sasa yeye kaka kimya tu anawaangalia ....
 
yaani Lowassa anawatia kichefuchefu kama mna mimba ..mtajuta kumfahamu mxxxxxxxx...hivi hamuoni ujinga mnamsema weee miaka 8 sasa yeye kaka kimya tu anawaangalia ....

Mkuu bado unaendelea kutembea na barmaids wa kirangi bila Kinga?
 
Wanajamvi huu ni ukweli toka ndani ya cc ya ccm ni kwamba lowasa hatopitishwa kugombea urais kwakua anakashfa nyingi lakini pia afya yake sio imara kupambana na ukawa ndani ya siku 90 za kampeni kupita kijiji kwa kitongoji hapa tz,naomba kumbu kumbu hizi tuziweke humu


Sasa kama unajua hilo unachohangaikia hapa wewe ni kitu gani?kwanza mtu mwenyewe umejoin jumvini hivi majuzi juzi alafu unaleta vitu hakuna,u better go home and sleep,umsubirie huyo unayetaka awe rais aje ulingoni kuzitwanga na lowasa ndo ujue mziki wa jamaa ni mwepesi au mzito kiasi gani
 
Maneno mazito hayo kutoka kwa mzee mwenye umri unaozidi umri wa baba yangu. Anasema CCM kisipompitisha Lowassa kitazikwa 2015. Kwa maneno mengine babu huyu aliekula chumvi nyingi anasema ponapona ya CCM ni kumuacha mzee wa Monduli agombee urais wa Jamhuri. Hakuna ujanja-ujanja this time.

Mzee amemshangaa Jakaya kuwarubuji Watanzania kuipigia kura katiba ya Chenge wakati ma CCM waliwahi kumvuruga na kumdhalilisha Mzee Warioba kwa madai kuwa anajadili katiba kabla ya wakati.

Pia ameshangaa CCM kulazimisha katiba ya Chenge ipite kwa kiharamia na ametaja baadhi ya mbinu zilizotumika ni pamoja na jina la kada wa Chadema aliyefariki kupiga kura ya kuikubali katiba ya chenge plus Bi Zakia Meghji kupiga kura kama Mzanzibari hali si mzanzibari. Amesema katiba ya chenge haitapata thuluthi mbili huko Zanzibar. Katiba hii haramu ya Chenge haitapita subirini muone.
 
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?

Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.

Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?

Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.

Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
Nyambaf
 
Anagawa pesa makanisani na misikitini kwa ajili gani? Na kama hajatangaza nia,alipewa adhabu ya nini? Hajasema hadharani lakini utamjua kwa kauli zake
Sijawahi kusikia popote kwamba Lowassa anautaka URAIS wa inji hii, sasa kama mtu hajatangaza nia lakini Lumumba nzima inaweweseka, je siku akiita wandishi wa habari na kutamka hadharani kwamba anautaka itakuwaje??

Mlishaonywa tangu mwanzo kwamba kujaribu kulikata jina la huyu mkongwe wa chama ni sawa na kuanza kufukia udongo wa kaburi la chama chenu ili ki-RIP.
 
Kumbuka na utahakikisha magamba ya nyoka waamue mambo 2. Wamnyime comred lowasa chama kife au wampe lowasa ukawa ishindwe. Msumali ni wa jk. Kutema na kumeza anashinswa.
 
Wanasema ni mtu wa maamuzi magumu,kwa kujiuzulu? Kama ni suala la kujiuzulu,basi Shamsi Vuai,Chenge,Kagasheki,Rostam,Ole Medeye,Muhongo nk wanfaa kuwa marais wa JMT.
Lowasa kafanya nini la maana zaidi ya kuliingiza taifa katika hasara? Mnasema alijenga shule za kata,kwani alitumia pesa yake mfukoni? Mnasema alfanikisha mradi wa maji kutoka ziwa victoria mpaka wapi sijui? Sasa ninyi mlitaka afanye nini wakati hayo yalikuwa sehemu ya wajibu/majukumu yake? Mlitaka akae tu?
Kwa nini watu mnapenda kuwapa sifa hata katika majukumu yao? Mimi najua mtu anapofanya jambo nje ya jukumu lake huyo ndio mtu wa kusifiwa nk. Tuache kupotosha umma.
 
Argue plz!
Sorry wakati mwingine unashindwa uargue nini wakati watz wanatoa machozi ya mamba baharini kuhusu issue ya Rushwa hapohapo wanashoboka na manyangumi Yale yale ya rushwa. Naamini kwa IQ zetu watanzania zinavyoshindwa kutukomboa hata Mh Chenge aka change ya rada akijitokeza na change yake atazoa nyingi tu. Hao ndo watz viumbe adimu kwenye universe
 
Lowasa Raisi 2015, mimi kwa upeo wangu sioni kabisa mtu anayefaa kulipeleka hili gurudumu tena kwa speed 180 per hour.Tulitembea 50 per hour kwa muda mrefu sana sasa muda umefika tupate mtu atakaye tupeleka peleka kwa style ya mzee Mrema enzi zile au marehemu Edward Sokoine nchi ilinyooka basi na kwamba sio raisi sembuse Lowasa aje awe mkuu wa nchi akae pale magogoni??? wanaosema ni mgonjwa ni wanga maana hata mh.anayemaliza muda si muda si mrefu alikua kitandani kwa wek kadhaaa hata aliyepita mnakumbuka kakaa hospital kwa muda shida mguu, ugonjwa ni ugonjwa tu
 
Hii ni campain mpya kabisa inayo lenga kuwa komboa ndugu na jaama zetu wote nchin ya kukataa ufisad kuongoza nchi(LOWASA) tunatambua kuwa ccm ni kundi la miba au mbigiri ila lowasa ni mwiba mkali zaid ametumia zaidi ya BILLION 13 sasa katika kuutafuta urahisi kwa pesa yake yeye mwenyewe kawanunua vijana wachumia tumbo wanao fikiria matumbo yao na kuwa sahau mama wajawazito wanaokufa kwa kukosa huduma, wanawasahau vijana wenzie walikosa ajira miaka mitano sasa wanawasahau wanafunzi wanaokaa chini mashuleni kwa sababu ya pesa bhaaaas apite yeyote mwenye pesa na kujikomba wajepewa u DC vijana hawa sio wa wazalendo ni wadhalimu wakubwa wasitumie kundi lao hilo la matapeli wa uma kuwakilisha vijana HIVYO BASI TUTAANZA CAMPAIGN rasmi kaulimbiu SAY NO TO LOWASA KAMAVIJANA HALISIA WAZALENDO KUZUNGUKA NCHI NZIMA VIJANA WAWEZE JUA ATHAR YA FISADI ATAKAPOSHIKA DOLA CAMPAIN HIZI ZITAANZIA MOROGORO KWENDA MIKOA MINGINE KAMA UNAUNGA UMKONO HILI COMMENT "SAY NO TO LOWASA"
 
Ngojeni waje wakumiminieni mitusi huku wakitokwa mipovu!
 
Back
Top Bottom