trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Au unamwagizia chipsi mayai a.k.a zege halafu wewe unaenda kibandani kula mihogo ya kukaanga aisee huu ni utumwa
Yaani tunatoka mbali...
Halafu mwanamke naye unakuta hajali hata kukuuliza we kama ushakula...