Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,180
Kabudi akiwa anahutubia wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania wa wizara ya mambo ya nje huku niliko, Ameeleza wazi hamna nyongeza ya mshahara kwa mwaka na malipo ya masaa ya ziada yanaondolewa, Kwa vile yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri sitilii shaka kusema yawezekana huu ndio msimamo wa serikali.
Sasa Ili wafanyakazi muendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho muanze process kuondoa makato ya TUGHE kwenye salary slip zenu,
Maana hiki kikombe ni kizito na lazma mkinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua za watu kuanzi kesho.
parabora
Geneva - Switzerland
Sasa Ili wafanyakazi muendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho muanze process kuondoa makato ya TUGHE kwenye salary slip zenu,
Maana hiki kikombe ni kizito na lazma mkinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua za watu kuanzi kesho.
parabora
Geneva - Switzerland