johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,966
- 141,975
Kasi imekuwa ni kubwa mno na wagombea ni wengi kuliko ilivyotarajiwa kwa upande wa CCM.
Ikumbukwe kuwa Mzee Cheyo aliomba mbele ya Mwenyekiti wa CCM kwamba waachiwe majimbo mawili au matatu.
Kadhalika NCCR Mageuzi ilitegemewa kupata majimbo kadhaa kuwahifadhi wahamiaji kutoka CHADEMA.
Lakini kiukweli mambo yanaenda kasi kila mtu apambane na hali yake hakuna wa kulaumiwa.
Maendeleo hayana vyama!
Ikumbukwe kuwa Mzee Cheyo aliomba mbele ya Mwenyekiti wa CCM kwamba waachiwe majimbo mawili au matatu.
Kadhalika NCCR Mageuzi ilitegemewa kupata majimbo kadhaa kuwahifadhi wahamiaji kutoka CHADEMA.
Lakini kiukweli mambo yanaenda kasi kila mtu apambane na hali yake hakuna wa kulaumiwa.
Maendeleo hayana vyama!