zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwa juhudi maksudi na za dhamira njema zilizofanywa na JMK za kuinuwa Michezo, Hususan kandanda, leo tutashuhudia Tanzania ikinyakuwa kombe la Challenge baada ya miaka mingi sana.
Hongera Kilimanjaro Stars, Hongera wa Tanzania wote, Hongera JMK.
Kazi yako tunaiona ikizaa matunda.
Hongera Kilimanjaro Stars, Hongera wa Tanzania wote, Hongera JMK.
Kazi yako tunaiona ikizaa matunda.