Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Naijua Tanzania vizuri, nawajua Watanzania vizuri, nawajua viongozi vizuri na ninawajua vijana wanyoa punk vizuri.
Uwezo wao wa kufikiri hawa vijana wanyoa punk ni mdogo sana hasa wakiwa kwenye land cruiser. Wanaona washamaliza. Hawaoni mbele.
Wangewapoteza milele wanaharakati wageni walioachiwa majuzi.
Baada ya mapigo ya vijana wa Kenya jamaa viongozi wao kuaibishwa wakaambiwa wawaachie haraka.
Bila hivyo wangewapoteza kama desturi yao.
Kumbe mgeni hapotezwi kienyeji kama kumpoteza mdude. Mgeni ukimpoteza umeliangusha Taifa lako
Uwezo wao wa kufikiri hawa vijana wanyoa punk ni mdogo sana hasa wakiwa kwenye land cruiser. Wanaona washamaliza. Hawaoni mbele.
Wangewapoteza milele wanaharakati wageni walioachiwa majuzi.
Baada ya mapigo ya vijana wa Kenya jamaa viongozi wao kuaibishwa wakaambiwa wawaachie haraka.
Bila hivyo wangewapoteza kama desturi yao.
Kumbe mgeni hapotezwi kienyeji kama kumpoteza mdude. Mgeni ukimpoteza umeliangusha Taifa lako