Kwa jinsi mbunge Tabasamu alivyomchongea DED Magesa kwa waziri Jafo ni wazi kuwa Wakurugenzi hawakupendelea CCM!

Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.

Source Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Tabasam kajisahau.
Malipo ni hapa hapa wewe subiri usiwe na harak tulia
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.

Source Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Yani wewe ni kichwa maji
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.

Source Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Nini maana ya kumchongea, kwamba aliyosema sio kweli ? Kwamba ulitaka awe bubu ilhali uozo upo ?
 
Kwani wakurugenzi waliipendelea ccm kwa makubaliano? Wao waliagizwa wawatangaze wagombea wote wa ccm, na kama mtu hataki aache kazi. Sasa huyo Tabasamu yeye hajui maagizo hayo, yeye kwake anatengeneza kiki yake maana hakuna wapinzani wa kumpatia credits.
Huo mstari wa mwisho ndio nimeuelewa!
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.

Source Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Shetani huwa hana rafiki wa kudumu, hawa walipendelea kwa lazima siyo kwa hiari.
 
Kilichofanywa na wakurugenzi kupitia uchaguzi mkuu kuibeba ccm wakishirikiana na watendaji kata ni majanga.yako maeneo kura za wapinzani zilipaswa kuharibiwa na wasimamizi makusudi
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.

chanzo: Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Uchaguzi wa wabunge si wa taifa ni wa jimbo husika tu. Wakurugenzi hawana mamlaka ya kumtangaza mshindi kama tume haimtaki.
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.

Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.

chanzo: Clouds tv

My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!

Maendeleo hayana vyama.
Uchaguzi mkuu 2025 ni vita Kati ya CCM na DEDs.
 
Back
Top Bottom