mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,839
kumbe na wewe Ni ZERO
Unaelewa maana ya " kumchongea" lakini?"Amemchongea"?Ikidhibitika kuwa kweli anatumia vibaya fedha hizo,utakuja ufute hili neno "AMEMCHONGEA".
Mjingawewe!kumbe na wewe Ni ZERO
Tabasam kajisahau.Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.
Source Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Yani wewe ni kichwa majiWaziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.
Source Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Hahahaaaa....... kila jambo na wakati wake!Tabasam kajisahau.
Malipo ni hapa hapa wewe subiri usiwe na harak tulia
Kwi....kwi...kwi...!Yani wewe ni kichwa maji
Nini maana ya kumchongea, kwamba aliyosema sio kweli ? Kwamba ulitaka awe bubu ilhali uozo upo ?Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.
Source Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Huo mstari wa mwisho ndio nimeuelewa!Kwani wakurugenzi waliipendelea ccm kwa makubaliano? Wao waliagizwa wawatangaze wagombea wote wa ccm, na kama mtu hataki aache kazi. Sasa huyo Tabasamu yeye hajui maagizo hayo, yeye kwake anatengeneza kiki yake maana hakuna wapinzani wa kumpatia credits.
Tofautisha kati ya Kumchongea na Kumsingizia!Nini maana ya kumchongea, kwamba aliyosema sio kweli ? Kwamba ulitaka awe bubu ilhali uozo upo ?
Shetani huwa hana rafiki wa kudumu, hawa walipendelea kwa lazima siyo kwa hiari.Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi swala hilo Takukuru.
Source Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Acha wauane wao kwa wao
Sugu la 7, Kibajaj la 4 na Jah people chekechea!Walikuambia ni std 7
Uchaguzi wa wabunge si wa taifa ni wa jimbo husika tu. Wakurugenzi hawana mamlaka ya kumtangaza mshindi kama tume haimtaki.Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.
chanzo: Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Kumchongea,ni kumtengenezea mtu kitu kisicho asili (Cha kubumba)Unaelewa maana ya " kumchongea Lakini?
Uchaguzi mkuu 2025 ni vita Kati ya CCM na DEDs.Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.
chanzo: Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Hahahaaaa...... hayo ndio madhara ya kutosoma shule ya Chekechea ulipokuwa mtoto!Kumchongea,ni kumtengenezea mtu kitu kisicho asili (Cha kubumba)