Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Leo hii John Heche ameandika Twitter kulalamika mawakala wake kuvamiwa majumbani mwao na kupelekwa Polisi.
Kilichonishangaza ni jinsi Heche alivyoshambuliwa huku wahusika wakionenekana kuchukizwa na hali ya kuendelea kulalamika bila kuchukua hatua na zaidi kwa kutozingatia onyo alilotoa kigogo siku kadhaa zilizopita kuwa wawalinde mawakala.
Kama kweli zile comments ambazo ni karibu zote zinamshambulia ni za wafuasi wa CHADEMA ,basi ni wazi watu sasa wanataka action na si malalamiko tena na hili linspaswa kuwa ni agenda kwa viongozi wa upinzani nchini.
Tweet ya Heche iliyofanya ashambuliwe ni hii:
Usiku huu nyumba nyingi za mawakala wetu zimevamiwa, wengi wamekamatwa wako vituo mbalimbali vya polisi-John Heche
Kilichonishangaza ni jinsi Heche alivyoshambuliwa huku wahusika wakionenekana kuchukizwa na hali ya kuendelea kulalamika bila kuchukua hatua na zaidi kwa kutozingatia onyo alilotoa kigogo siku kadhaa zilizopita kuwa wawalinde mawakala.
Kama kweli zile comments ambazo ni karibu zote zinamshambulia ni za wafuasi wa CHADEMA ,basi ni wazi watu sasa wanataka action na si malalamiko tena na hili linspaswa kuwa ni agenda kwa viongozi wa upinzani nchini.
Tweet ya Heche iliyofanya ashambuliwe ni hii:
Usiku huu nyumba nyingi za mawakala wetu zimevamiwa, wengi wamekamatwa wako vituo mbalimbali vya polisi-John Heche