AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,915
- 6,155
Ha ha ha ha waingie mtaani wakione kilichomtoa kanga manyoja. Mkisikia tumejipanga mjue tumejipanga.Mwisho wa ma keyboard warriors umewadia.......viongozi wanalia kwenye keyboard...wafuasi nao wanalia kwenye keyboard hamna hata mmoja anaetaka kuingia mtaani.......labda watoe rais wa mitandaoni ila rais wa huku uraiani ni ndoto kabisa kwa ma keyboard warriors