Kwa jinsi 'Bwana fulani' alivyonuna Nchimbi kukosa Umakamu wa Rais, yawezekana madai ya Musiba yalikuwa na msingi

NCHIMBI YUKO BRAZIL TOKA LINI? ALIKUWEPO KWENYE VIUNGA VYA DAR, PENGINE AWE AMEONDOKA BAADA YA JINA LAKE KUTUPWA KWENYE DUST BIN!! MKWERE ALIJIFANYA YEYE NDIO MWENYE CCM KUMBE CCM YA LEO HAIJUI!!!
HATA AKIZIRA KUHUDHULIA MIKUTANO MIKUU INAYOANDALIWA, YOU SHOULD REST BE ASSURED HE WILL NOT BE MISSED AND EVERYTHING WILL GO ON AS PLANNED.
Dah! Kwahiyo Jana hakuwepo kikaoni?
Nalog off
 
Kwa kweli Bwana Fulani amepata makasiriko sio ya dunia hii. Inashangaza kidogo, cheo cha VP hakina madhara makubwa mpaka pale Rais anapopata shida. Sijui kwanini watu wamekwa wakali kiasi hiki. Kama mtu ni mbovu, ni bora kawekwa huko VPO kuliko kuwa MoF. Yaani mtu hata kuapishwa bado, watu wametoka povu lote.
 
Kwa kweli Bwana Fulani amepata makasiriko sio ya dunia hii. Inashangaza kidogo, cheo cha VP hakina madhara makubwa mpaka pale Rais anapopata shida. Sijui kwanini watu wamekwa wakali kiasi hiki. Kama mtu ni mbovu, ni bora kawekwa huko VPO kuliko kuwa MoF. Yaani mtu hata kuapishwa bado, watu wametoka povu lote.
Pengine na Mama walitaka atangulie, makamu wao awe Rais
 
Halfu umakamu ni position ambayo unaweza kumutiwa kirahisi sana.
Mkuu akiamua kupuuzia ushauri wako utamfanyaje.
Unabaki unakula na kunenepa bila kazi.
 
View attachment 1739057
Mtu mmoja hawezi kufikia limit ya tweet....

Kwa saa unatakiwa upost tweets 100 ambapo mara 24 ndio zinakuwa 2400

Ili upost tweet 100 kwa saa inabidi utumie wastani wa dk 0.6 kuandika.

Sasa imagine ndani ya saa moja ana andika ana retweet ana interact na services zingine za twitter, hii picha nyingine inaonesha aliandika tweets 20 ndani ya saa(tweet moja kila baada ya dk 3) this is impossiple per person

View attachment 1739060
Nimekukubali
 
Kukosea imo lkn tukiweka mzani tupime he is not human been, ukitaka kusadiki waulize makamanda wa tz wanavyotabishwa na kivuli chake
 
Hapa Mh SSH kaona, maana Nchimbi ni Fisadi NO 2 baada ya mamvi. Hapa kacheza pele. Nch imbi angemsumbua sana Mh SSH
 
Wewe unafuata mkumbo tu.mabilioni yamechotwa badala ya kuhoji unaleta habari za Musiba,sijui akina Nchimbi na wengineo.Kwa taarifa yako Nchimbi yupo Brazil kama Balozi wetu.Kule kuna lockdown ya corona hivyo yupo huko.Jamani muandike vitu vinavyoeleweka.Mjadala wa VP ushafungwa.Tunachoomba ili kuwadhibiti hao wanaojiita Vigogo ni Serikali ya Sasa kuachia uhuru wa vyombo vya habari,kuwaruhusu wapinzani kunadi sera zao bila bugudha,Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi,kuwe na demokrasia ya kweli,kukubali kukoselewa(constructive criticism)n.k
Hapa mwishoni umemalizia vibaya ndugu. At the moment Nobody is ready for that
 
Hivi unadhani serikali haitambui walo nyuma ya Kigogo2014?

Usishangae raisi wa sasa akipata ushirikiano wa karibu.
Hahaha...ukisha kula nyama ya binadamu kamwe huwezi kuacha!
Wameanza kuchimba familia ya mama, wameanza kulinganisha cv yake na mzee Ruksa....wanaendelea hatujuhi kipo kitafuata...hawa ni wa kuangamiza maana njaa ya vyeo na pesa imewazidia!
 
Back
Top Bottom