kunguni masta
Senior Member
- Sep 10, 2016
- 140
- 180
Mkuu piga namba hii 0752500400 utapata msaada huyo sio hakimu ni mdangajiBinafsi Sina uelewa wa sheria kabisa, ila naomba hizi mahakama za mwanzo ziondolewe au zifutwe kabisa kwani huku ndio kimbilio letu sisi masikini na wajinga na sisi tusio na akili,
Kwa mfano Mimi Kuna kesi nimeenda kumdhamini mtu anadaiwa kiasi kisichazidi mil 1 Nina barua anayonitambua mtendaji wa Kijiji, pia Kuna mtumishi wa serikali anakitambulisho Cha kazi wote tumeoneka hatuna vigezo vya kumdhamini mtuhumiwa Sasa sisi tukimbilie wapi kwani mtuhumiwa alipelekwa mahabusu unaona kabisa hakimu nae ni mlalamikaji wa kesi, hakimu aendesha kesi huku anakula chipsi alizoagiziwa na aliefungua kesi na anamuagizia mbele yenu hizo chipsi mayai na anawaambia mnaedhamini lazima aende magereza!!
Na kweli hatimae anaenda magereza, hii nchi inaenda wapi nduguzangu narudia Tena hii nchi inapelekwa wapi!!? Hata kama mnadharau hiyo mamlaka ya nchi Sasa imepitiliza!! MH Jaji mkuu kwanza hao walio mkopesha ni hao huyo mtuhumiwa ni hao kausha damu ambao dhamana Yao ni kadi ya benki na uhakika benki kuu haiwatambui pamoja na ujinga wangu naomba Sana ujinga huu usiachwe ukitamalaki.
Kwa mtoa mada, nakazia piga hiyo namba uliyopewa na mdau hapoMkuu piga namba hii 0752500400 utapata msaada huyo sio hakimu ni mdangaji
Tanzania tuko na sheria ambazo ziko well documented lakini katika uhalisi hakuna kituAisee, huyo hakimu ana shida. Anyway, kama unataka uyo hakimu ashughulikiwe basi unatakiwa upeleke malalamiko yako katika Kamati ya Maadili ya Mahakama ngazi ya wilaya. Kamati hii ndio yenye mamlaka kisheria kusikiliza malalamiko yeyote juu ya vitendo vya hakimu wa Mahakama ya mwanzo katika wilaya husika.
View attachment 3009098
Kifungu cha 51 cha Sheria ya Utumishi wa Mahakama.
Kwa lugha rahisi ni kwamba, kuwasilisha malalamiko dhidi ya hakimu wa mahakama ya mwanzo kulingana na vifungu tajwa hapo juu, unaweza kufuata hatua zifuatazo:
Andika Malalamiko Yako: Anza kwa kuandika malalamiko yako kwa usahihi na kwa undani, ukielezea tukio au matukio yaliyokufanya uamue kuchukua hatua hii. Hakikisha unaeleza kwa uwazi matendo au mienendo ya hakimu ambayo unaamini inakiuka maadili ya kazi yake. Wasilisha kwa Kamati ya Maadili: Malalamiko yako yanapaswa kuwasilishwa kwa Kamati ya Maadili ya Mahakama ya Wilaya. Kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 51(4), mtu yeyote mwenye malalamiko dhidi ya Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo anapaswa kuwasilisha malalamiko hayo kwa Katibu wa kamati hiyo.
Ushahidi na Maelezo: Jumuisha ushahidi wowote unaoweza kusaidia kesi yako, kama vile nyaraka, picha, au ushahidi wa mashahidi. Pia, toa maelezo ya kina kuhusu kwa nini unaamini hakimu huyo anapaswa kuchunguzwa au kuchukuliwa hatua za kinidhamu.
Fuata Taratibu za Kisheria: Hakikisha unafuata taratibu zote za kisheria zilizowekwa kwa ajili ya kuwasilisha malalamiko. Hii inajumuisha kuhakikisha kuwa malalamiko yako yanakidhi vigezo vyote vya kisheria na kwamba yamefuata mfumo sahihi wa kisheria.
Subiri Matokeo ya Uchunguzi: Baada ya kuwasilisha malalamiko yako, subiri matokeo ya uchunguzi. Kamati ya Maadili itachunguza malalamiko na kutoa ripoti kwa Jaji Mfawidhi, ambaye ataiwasilisha kwa Tume ya Utumishi wa Mahakama.
Mawasiliano na Jaji Mkuu: Ikiwa malalamiko yako ni mazito na unaamini kwamba yana athari kubwa kwa haki za kisheria, unaweza kuwasiliana moja kwa moja na Jaji Mkuu au Jaji Kiongozi. Hii inaweza kufanyika baada ya kujaribu njia zingine zilizotajwa hapo juu bila mafanikioKumbuka kwamba, ni muhimu kudumisha utulivu na kufuata taratibu hizi kwa njia ya heshima na ya kisheria. Usisite kutafuta ushauri wa kisheria ikiwa unahitaji msaada zaidi katika mchakato huu.
Ni kwasababu wanaotakiwa kuzitumi/wahusika (wananchi) hawazifahamu.Tanzania tuko na sheria ambazo ziko well documented lakini katika uhalisi hakuna kitu
Na wale wanao zifahamu hizo sheria, huwa wanazipindisha ili kuwadhulumu wasio zifahamu!!Ni kwasababu wanaotakiwa kuzitumi/wahusika (wananchi) hawazifahamu.
Asante mkuu🙏🙏🙏Aisee, huyo hakimu ana shida. Anyway, kama unataka uyo hakimu ashughulikiwe basi unatakiwa upeleke malalamiko yako katika Kamati ya Maadili ya Mahakama ngazi ya wilaya. Kamati hii ndio yenye mamlaka kisheria kusikiliza malalamiko yeyote juu ya vitendo vya hakimu wa Mahakama ya mwanzo katika wilaya husika.
View attachment 3009098
Kifungu cha 51 cha Sheria ya Utumishi wa Mahakama.
Kwa lugha rahisi ni kwamba, kuwasilisha malalamiko dhidi ya hakimu wa mahakama ya mwanzo kulingana na vifungu tajwa hapo juu, unaweza kufuata hatua zifuatazo:
Andika Malalamiko Yako: Anza kwa kuandika malalamiko yako kwa usahihi na kwa undani, ukielezea tukio au matukio yaliyokufanya uamue kuchukua hatua hii. Hakikisha unaeleza kwa uwazi matendo au mienendo ya hakimu ambayo unaamini inakiuka maadili ya kazi yake. WAsilisha kwa Kamati ya Maadili: Malalamiko yako yanapaswa kuwasilishwa kwa kamati ya Maadili ya Mahakama ya Wilaya. Kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 51(4), mtu yeyote mwenye malalamiko dhidi ya Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo anapaswa kuwasilisha malalamiko hayo kwa Katibu wa kamati hiyo. Ushahidi na Maelezo: Jumuisha ushahidi wowote unaoweza kusaidia kesi yako, kama vile nyaraka, picha, au ushahidi wa mashahidi. Pia, toa maelezo ya kina kuhusu kwa nini unaamini hakimu huyo anapaswa kuchunguzwa au kuchukuliwa hatua za kinidhamu. Fuata Taratibu za Kisheria: Hakikisha unafuata taratibu zote za kisheria zilizowekwa kwa ajili ya kuwasilisha malalamiko. Hii inajumuisha kuhakikisha kuwa malalamiko yako yanakidhi vigezo vyote vya kisheria na kwamba yamefuata mfumo sahihi wa kisheria. Subiri Matokeo ya Uchunguzi: Baada ya kuwasilisha malalamiko yako, subiri matokeo ya uchunguzi. Kamati ya Maadili itachunguza malalamiko na kutoa ripoti kwa Jaji Mfawidhi, ambaye ataiwasilisha kwa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Mawasiliano na Jaji Mkuu: Ikiwa malalamiko yako ni mazito na unaamini kwamba yana athari kubwa kwa haki za kisheria, unaweza kuwasiliana moja kwa moja na Jaji Mkuu au Jaji Kiongozi. Hii inaweza kufanyika baada ya kujaribu njia zingine zilizotajwa hapo juu bila mafanikio.Kumbuka kwamba, ni muhimu kudumisha utulivu na kufuata taratibu hizi kwa njia ya heshima na ya kisheria. Usisite kutafuta ushauri wa kisheria ikiwa unahitaji msaada zaidi katika mchakato huu.
SitakiTafuta Mwanasheria
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Kwa mtoa mada, nakazia piga hiyo namba uliyopewa na mdau hapo
Mkuu toa ufafanuzi kidogo , hii namba ya nani maana wengi tunashinda nyingi sana zinazohitaji msaada kisheriaMkuu piga namba hii 0752500400 utapata msaada huyo sio hakimu ni mdangaji
HIZI MAHAKAMAAA ZA KIHUNI HAKIMU WENGI WANAPENDA RUSHWA HASA WA MOSHI ARUSHA CHAFUKABISA NILIWAHI WEKA HAPA KESI MOJA KAMA SIO KUSAMBAZA UCHAFU ULIOEBinafsi Sina uelewa wa sheria kabisa, ila naomba hizi mahakama za mwanzo ziondolewe au zifutwe kabisa kwani huku ndio kimbilio letu sisi masikini na wajinga na sisi tusio na akili,
Kwa mfano Mimi Kuna kesi nimeenda kumdhamini mtu anadaiwa kiasi kisichazidi mil 1 Nina barua anayonitambua mtendaji wa Kijiji, pia Kuna mtumishi wa serikali anakitambulisho Cha kazi wote tumeoneka hatuna vigezo vya kumdhamini mtuhumiwa Sasa sisi tukimbilie wapi kwani mtuhumiwa alipelekwa mahabusu unaona kabisa hakimu nae ni mlalamikaji wa kesi, hakimu aendesha kesi huku anakula chipsi alizoagiziwa na aliefungua kesi na anamuagizia mbele yenu hizo chipsi mayai na anawaambia mnaedhamini lazima aende magereza!!
Na kweli hatimae anaenda magereza, hii nchi inaenda wapi nduguzangu narudia Tena hii nchi inapelekwa wapi!!? Hata kama mnadharau hiyo mamlaka ya nchi Sasa imepitiliza!! MH Jaji mkuu kwanza hao walio mkopesha ni hao huyo mtuhumiwa ni hao kausha damu ambao dhamana Yao ni kadi ya benki na uhakika benki kuu haiwatambui pamoja na ujinga wangu naomba Sana ujinga huu usiachwe ukitamalaki.
Huo muda wote wa kusubiri wakati mwenzake yupo gerezani anautoa wapi ? Aanze juu kwanza utaratibu utafutatwa baadaeAisee, huyo hakimu ana shida. Anyway, kama unataka uyo hakimu ashughulikiwe basi unatakiwa upeleke malalamiko yako katika Kamati ya Maadili ya Mahakama ngazi ya wilaya. Kamati hii ndio yenye mamlaka kisheria kusikiliza malalamiko yeyote juu ya vitendo vya hakimu wa Mahakama ya mwanzo katika wilaya husika.
View attachment 3009098
Kifungu cha 51 cha Sheria ya Utumishi wa Mahakama.
Kwa lugha rahisi ni kwamba, kuwasilisha malalamiko dhidi ya hakimu wa mahakama ya mwanzo kulingana na vifungu tajwa hapo juu, unaweza kufuata hatua zifuatazo:
Andika Malalamiko Yako: Anza kwa kuandika malalamiko yako kwa usahihi na kwa undani, ukielezea tukio au matukio yaliyokufanya uamue kuchukua hatua hii. Hakikisha unaeleza kwa uwazi matendo au mienendo ya hakimu ambayo unaamini inakiuka maadili ya kazi yake. WAsilisha kwa Kamati ya Maadili: Malalamiko yako yanapaswa kuwasilishwa kwa kamati ya Maadili ya Mahakama ya Wilaya. Kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 51(4), mtu yeyote mwenye malalamiko dhidi ya Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo anapaswa kuwasilisha malalamiko hayo kwa Katibu wa kamati hiyo. Ushahidi na Maelezo: Jumuisha ushahidi wowote unaoweza kusaidia kesi yako, kama vile nyaraka, picha, au ushahidi wa mashahidi. Pia, toa maelezo ya kina kuhusu kwa nini unaamini hakimu huyo anapaswa kuchunguzwa au kuchukuliwa hatua za kinidhamu. Fuata Taratibu za Kisheria: Hakikisha unafuata taratibu zote za kisheria zilizowekwa kwa ajili ya kuwasilisha malalamiko. Hii inajumuisha kuhakikisha kuwa malalamiko yako yanakidhi vigezo vyote vya kisheria na kwamba yamefuata mfumo sahihi wa kisheria. Subiri Matokeo ya Uchunguzi: Baada ya kuwasilisha malalamiko yako, subiri matokeo ya uchunguzi. Kamati ya Maadili itachunguza malalamiko na kutoa ripoti kwa Jaji Mfawidhi, ambaye ataiwasilisha kwa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Mawasiliano na Jaji Mkuu: Ikiwa malalamiko yako ni mazito na unaamini kwamba yana athari kubwa kwa haki za kisheria, unaweza kuwasiliana moja kwa moja na Jaji Mkuu au Jaji Kiongozi. Hii inaweza kufanyika baada ya kujaribu njia zingine zilizotajwa hapo juu bila mafanikio.Kumbuka kwamba, ni muhimu kudumisha utulivu na kufuata taratibu hizi kwa njia ya heshima na ya kisheria. Usisite kutafuta ushauri wa kisheria ikiwa unahitaji msaada zaidi katika mchakato huu.
Huo muda wote wa kusubiri wakati mwenzake yupo gerezani anautoa wapi ? Aanze juu kwanza utaratibu utafutatwa baadae
We piga watajitambulisha wenyeweMkuu toa ufafanuzi kidogo , hii namba ya nani maana wengi tunashinda nyingi sana zinazohitaji msaada kisheria
Hiko hivi kwa Sasa hawa kausha damu wamebuni mbinu ya wizi kwa kuwatumia mahakimu wahuni kama huyo anaemtaja mleta mada hapo ananyimwa dhamana anenda magereza Alafu kama alikopa lakiTano alafu wale kausha damu wanampanga alipe na riiba million 15.wanamsainisha kibabe mwisho wa siku hakimu anapewa Asante yakeHIZI MAHAKAMAAA ZA KIHUNI HAKIMU WENGI WANAPENDA RUSHWA HASA WA MOSHI ARUSHA CHAFUKABISA NILIWAHI WEKA HAPA KESI MOJA KAMA SIO KUSAMBAZA UCHAFU ULIOE