Kwa huu uzushi Serikali ipige marufuku mahindi kwenda Kenya, badala yake mahindi ya ziada yatumike kuzalisha vyakula vya mifugo

Apo umenena
 
Jibu tuhuma acha kuandika utopolo,mahindi yenu yamejaa sumu mle wenyewe mataga kwanza
 
Grass fed animals ndicho kitu ninachokula,hizo grain-fed animals nimewaachia wengine.
 
Ukweli mtupu, hayo mahindi ya kulisha mifugo, serikali ilime mashamba yake, ni mara mia mkulima auze 30,000 gunia cash mkononi, kuliko kukopwa kwa sh50,000 gunia na serikali ambayo kila siku mtaambiwa inahakiki madeni.

Everyday is Saturday...............................
 
Mawazo finyu kabisa, lakini hey watu kama nyinyi ndio mnaopewa uongozi maana badala ya kutumia akili na diplomasia na kuangalia kila jambo kwa upeo mkubwa mnakurupuka tu na kutoa amri za ajabu ajabu.
 
Mmelazimishwa kuwauzia wakenya?
Hujawahi kumwona hapa waziri wa kilimo wa kenya akija kuomba mahindi? naona kwa sasa wamefanikiwa kudhibiti njaa huko kwao, muda utaongea.....natarajia serikali ianze mapema kuchukua hatua madhubuti..
 
Hujawahi kumwona hapa waziri wa kilimo wa kenya akija kuomba mahindi? naona kwa sasa wamefanikiwa kudhibiti njaa huko kwao, muda utaongea.....natarajia serikali ianze mapema kuchukua hatua madhubuti..
Unaombea wapate matatizo lakini nyie hamtaki wa kwenu apate matatizo
 
Hili ni genge la wanya'nganyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…