Apo umenenaHili swala ni dogo wala halipaswi kukuzwa hivi.
Suluhu ni wataalzmu kutoka Kenya na Tanzania wangepima sample chache na waseme walichoona.
Pili wafanye uchunguzi kuhusu ununuzi, uhifadhi na usafirishaji na muda.
Wakulima na wafanya biashara wanaumia huku wakubwa wanalumbana. Haisaidii zaidi ya kuzidisha bifu.
Mtawala wa hapa nae ujahili ni fimbo ya naniUhuru ni kama fimbo kwenye mkono wa mtawala jahili wa London & Washington
Jibu tuhuma acha kuandika utopolo,mahindi yenu yamejaa sumu mle wenyewe mataga kwanzaHivi karibuni kumetolewa madai na kenya kuhusu mahindi yetu kuwa na sumu kuvu. Swala la milipuko ya watu kuugua na kufa kwa kula mahindi yenye viwango vya juu vya aflatoxin limekuwepo nchini kenya tangu mwaka 1981. Mfano, mwaka 2004 wakenya 317 waliugua na 125 walifariki kutokana na kutumia mahindi yenye viwango vya juu vya sumu kuvu aina ya aflatoxin.
Chanzo cha tatizo yalikuwa ni mahindi yaliyokuwa yamezalishwa na wakulima wenyewe na kuhifadhiwa katika mazingira mabovu. Kwa hiyo utaona hayo mahindi hayakutoka Tanzania.
Nchini kenya kumekuwa na kawaida ya Wafanyabiashara wakubwa kuagiza na kuhodhi mahindi kwa muda mrefu hali inayopelekea sumu kuvu kuendelea kuzalishwa yakiwa yamehifadhiwa, na baadaye kutolewa kwa bei chee kwa watu maskini ambao wanakuwa wamekumbwa na uhaba mkubwa wa chakula, na hivyo kutokea milipuko ya aflatoxin.
Haiwezekani uagize na kuhifadi mahindi, miaka mitano baadaye useme hayo mahindi yenye aflatoxin yametoka Tanzania. Utafiti umeonyesha mahindi yaliyovunwa maeneo mbalimbali nchini Tanzania yana viwango vya chini sana vya aflatoxin ambavyo ni chini ya viwango vya wastani vinavyopendekezwa na mamlaka za usalama wa chakula nchini Tanzania.
Kenya wanapokuja na tuhuma zisizokuwa na mashiko maana yake wana ajenda nyingine ambazo wanakuwa wamebeba na hii si mara ya kwanza. Kwa hiyo ili kuweka mazingira ya kuheshimiana ni bora serikali ichukue hatua mathubuti dhidi ya hizi sarakasi za kila mara kutokea Kenya.
Mtawala wa hapa nae ujahili ni fimbo ya nani
Kwanini sasa avuruge UchaguziFimbo inayowacharaza mafisadi, wazembe, wabadhirifu, wapiga-dili, na vibwenga wenzio
Kwanini sasa avuruge Uchaguzi
IQ yako ni hafifu sanaAliyevuruga uchaguzi ni Mr Mzungu wako amekimbilia zake LGBTQ huko Belgium
Circles, which circles?? Ni kazi sana kufanya majadiliano na half-learned?
Ukweli mtupu, hayo mahindi ya kulisha mifugo, serikali ilime mashamba yake, ni mara mia mkulima auze 30,000 gunia cash mkononi, kuliko kukopwa kwa sh50,000 gunia na serikali ambayo kila siku mtaambiwa inahakiki madeni.Serikali ipi? kwani kila mwaka si huwa wananunua kwa kumkopa mkulima? kwa shilingi 500@kilo!? Mwaka juzi nilikuwa mkoa wa katavi, NFRA, hawapati watu wa kupeleka mahindi, yaani mkulima aache kuuza kwa cash, apeleke akakopwe tena kwa bei iliyochini ya bei ya soko? Tusidanganyane serikali haina uwezo wa kununua mahindi yote yalimwayo nchini!!
Unatafuta mabwana..Jibu tuhuma acha kuandika utopolo,mahindi yenu yamejaa sumu mle wenyewe mataga kwanza
Dada nimeskia sauti yako tu mnara wng unasoma 5G,uje umevaa bikiniUnatafuta mabwana..
Ni mwaka gani tanzania na kenya walikwenda vitani?Serikali ya Tanzania ina waangalia tu afu inasema hihiiii... vita Tanzania na Kenya, Kenya huwa haishindagi 🤣🤣🤣
Nimeshaoa, pambana na hali yako...Dada nimeskia sauti yako tu mnara wng unasoma 5G,uje umevaa bikini
Hao ni watumwa wa diktetaUmefanya vipimo kwa sampuli husika, au na wewe unaleta uzushi kwa kutuhumu tu?!
Hujawahi kumwona hapa waziri wa kilimo wa kenya akija kuomba mahindi? naona kwa sasa wamefanikiwa kudhibiti njaa huko kwao, muda utaongea.....natarajia serikali ianze mapema kuchukua hatua madhubuti..Mmelazimishwa kuwauzia wakenya?
Unaombea wapate matatizo lakini nyie hamtaki wa kwenu apate matatizoHujawahi kumwona hapa waziri wa kilimo wa kenya akija kuomba mahindi? naona kwa sasa wamefanikiwa kudhibiti njaa huko kwao, muda utaongea.....natarajia serikali ianze mapema kuchukua hatua madhubuti..
Hili ni genge la wanya'nganyiUkweli mtupu, hayo mahindi ya kulisha mifugo, serikali ilime mashamba yake, ni mara mia mkulima auze 30,000 gunia cash mkononi, kuliko kukopwa kwa sh50,000 gunia na serikali ambayo kila siku mtaambiwa inahakiki madeni.
Everyday is Saturday...............................