- Thread starter
- #41
Ni wapi nimefanya maombi..Unaombea wapate matatizo lakini nyie hamtaki wa kwenu apate matatizo
Ni wapi nimefanya maombi..Unaombea wapate matatizo lakini nyie hamtaki wa kwenu apate matatizo
Wakenya wapate njaaNi wapi nimefanya maombi..
Mnataka vifaa vya nuclear sio majirani zetu, kwanza muwe na uwezo wa kutengeneza viwanda vya uzalishaji wa hiyo nuclear(ka nimekosea sijui 😂) pili kuweza kuitunza ili isiwadhuru nyie na majirani zenu na hiyo yote ni hela ya raia wa chini inatumika, so think twice before acting on something new. Nafikiri unakumbuka mkasa wa Japan na nuclear power plants zao wakati kulipotokea Tsunami, leo ndio wameadhimisha miaka sijui mingapi toka itokee hilo janga. Radiation hatari ili leak na hadi wa leo watu hawajawahi kurudi makwao na ni mpaka miaka ka 20 ndio hali hiyo iwe shwari. Tafakari (au nenda YouTube ucheki mambo ya nuclear, sio kila nchi inamfaa)Tz tunahitaji Nuclear Capable weapons.
Tukifanikiwa. tutakua na uwezo wa kujilinda na kuwalinda mataifa mengine ya Kiafrica.
Kenya usaliti wao kwa tz haujaanza leo.
Ukitaka kujua, Rejea ya Nyerere na kenya juu ya EAC ya kipindi kile.
Kwa hili huyu kijana Kenyata anatumiwa na mabeberu.
Wapate njaa mara ngapi? njaa ni sehemu ya maisha ya wakenya wengi maana maeneo yenye ardhi nzuri ya kilimo imeshikiliwa na wafanyabiashara na wanasiasa wachache...ndo maana huwa wanakula hadi mahindi yaliyooza na kufa kwa sumu kuvu karibia kila mwaka. Ndo maana nauliza kiburi cha wakenya kukataa mahindi kutoka Tanzania wamekipata wapi?Wakenya wapate njaa
Kiburi cha nyie kukataa kinga ya corona mnakitoa wapi?Wapate njaa mara ngapi? njaa ni sehemu ya maisha ya wakenya wengi maana maeneo yenye ardhi nzuri ya kilimo imeshikiliwa na wafanyabiashara na wanasiasa wachache...ndo maana huwa wanakula hadi mahindi yaliyooza na kufa kwa sumu kuvu karibia kila mwaka. Ndo maana nauliza kiburi cha wakenya kukataa mahindi kutoka Tanzania wamekipata wapi?
Kwa sababu bado ipo kwenye majaribio na sisi siyo panya wa majaribio....majaribio yoyote ya dawa au chanjo huwa hayahusishi watu wote duniani, ni wale wachache wanaojitolea na hulipwa fidia, nyie mnafanyiwa majaribio bure kabisa..Kiburi cha nyie kukataa kinga ya corona mnakitoa wapi?
Kwani mi nikipewa chanjo nikafa wewe una hasara ngani?Kwa sababu bado ipo kwenye majaribio na sisi siyo panya wa majaribio....majaribio yoyote ya dawa au chanjo huwa hayahusishi watu wote duniani, ni wale wachache wanaojitolea na hulipwa fidia, nyie mnafanyiwa majaribio bure kabisa..
Sina hasara, panya wa majaribio akifa ni sehemu ya matokeo ya utafiti..Kwani mi nikipewa chanjo nikafa wewe una hasara ngani?
Mi nikifa wewe na dikteta mtapungukiwa nini?Sina hasara, panya wa majaribio akifa ni sehemu ya matokeo ya utafiti..
Kama a useless person dies hakuna cha kupoteza..Mi nikifa wewe na dikteta mtapungukiwa nini?
So acheni tupate chanjo sisi nyie mpige vyunguKama a useless person dies hakuna cha kupoteza..
Kuenda shule muhimu kumbe, yaani hivi unadhani bado chanjo yafanyiwa majaribio, dah? 😂Kwa sababu bado ipo kwenye majaribio na sisi siyo panya wa majaribio....majaribio yoyote ya dawa au chanjo huwa hayahusishi watu wote duniani, ni wale wachache wanaojitolea na hulipwa fidia, nyie mnafanyiwa majaribio bure kabisa..
😂 😂 😂Kwani mi nikipewa chanjo nikafa wewe una hasara ngani?
Ona panya jingine hili...Kuenda shule muhimu kumbe, yaani hivi unadhani bado chanjo yafanyiwa majaribio, dah? 😂
✌️