Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,752
Apo umenenaHili swala ni dogo wala halipaswi kukuzwa hivi.
Suluhu ni wataalzmu kutoka Kenya na Tanzania wangepima sample chache na waseme walichoona.
Pili wafanye uchunguzi kuhusu ununuzi, uhifadhi na usafirishaji na muda.
Wakulima na wafanya biashara wanaumia huku wakubwa wanalumbana. Haisaidii zaidi ya kuzidisha bifu.