Mashimba Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,114
- 1,368
Utaondoka na 840,000/
Umelipa kwa miaka mingapWaongo Mimi nimemaliza mwaka jana
1.5m ni mshahara mnono??Lengo lako ni kutuonesha kuwa umepata kazi yenye mshahara mnono wa shs. 1,549,000/=, hongera boss.
Hivi ukitaka kujua limebak kiasi gan unacheki wap?Waongo Mimi nimemaliza mwaka jana
Huyo ni mpumbavu..Kuna jamaa namjua analipwa 12M ila katikati ya mwezi hana kitu
Inaongezeka badala ya kupungua mkuu?Ingia kwenye website ya TRA angalia utakatwa PAYE ya kiasi Gani
Hata hivyo utakatwa pia Bima ya Afya pamoja na hiyo Bodi ya Mikopo bila kusahau NSSF ya 10% hivi
Roughly unaweza kurudi home na shilingi 930,000 hivi
Ni noma, anahonga hadi gari...akienda bar anakuwa na washkaji zake hata 6 na analipia Kila ki2 na ni mzee wa viwanja Kila sikuHuyo ni mpumbavu..
Hivi hio nssf wanavokata hela nikistaafu Tena wananipa pungufu ya hio hela mbona Ni wizi wa wazi wazi huu232,350/= loan board avg.15% of BS.
154,900/= NSSF 10% of BS.
+246,230/= PAYE: after BS - NSSF .
633,480/= Makato kwa ujumla
Pesa mkononi/benki:
1,549,000/= - 633,480/= = 915, 520/=
Take home avg: 915, 520/=
Kama hakuna nyongeza ya malupulupu mengine au makato ya chama cha wafanyakazi au mambo yahusuyo misiba.
NB: BS.=Basic salary
Kivipi iongezeke wakati imepungua kutoka 1.56M alizotaja hadi 930kInaongezeka badala ya kupungua mkuu?
Utaujua kuwa ni mshahara siku ukiambiwa kazi basi, ila kwa sasa fanya dharau.1.5m ni mshahara mnono??
Yakawaida bado, Kwa uzoefu ulionao.Ila maisha yanatofautiana sana, PAYE yangu ipo 3m+ ila tulianzia level za mtoa mada more than 10 years ago.
Mkuu umesoma Cuba au Data sky ya Mwembechai?Ingia kwenye website ya TRA angalia utakatwa PAYE ya kiasi Gani
Hata hivyo utakatwa pia Bima ya Afya pamoja na hiyo Bodi ya Mikopo bila kusahau NSSF ya 10% hivi
Roughly unaweza kurudi home na shilingi 930,000 hivi
Kwanini unasema hivyo Mkuu?Mkuu umesoma Cuba au Data sky ya Mwembechai?
Mtu mwenye PAYE ya 3M+ analipwa shingapi basic?Yakawaida bado, Kwa uzoefu ulionao.
Ameshataja gross sasa take ni baada ya deductions. Inakuwaje take home iwe kubwa kuliko gross?Kwanini unasema hivyo Mkuu?
Labda kama alifanya editing ya andiko lake ila mwanzoni lilisoma 1,582,000 ndiyo maana ilishuka hadi 930kAmeshataja gross sasa take ni baada ya deductions. Inakuwaje take home iwe kubwa kuliko gross?
Ndo nmemalza form 4, matokeo yametoka Jana leo nmepata kazi
Nna 1 ya 6 mkuuVipi Ndugu Yangu Wewe Umefaulu Mimi Nimezungusha Mkuu.
Bodi hapo wataanza na kama 130,000 hawana dogoHello wajuvi nimepewa offer huko private sector naomba mnisaidie calculation ya takehome kwa huu mshahara: 582,000/=.
Nadaiwa HESLB.