JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,710
- 6,108
Wakati ukiwa Chuo una pewa hela za HELSB bodi ya mikopo.... Ulidhani ule ni nchango wa harusi wanakupa!? Ama zile hela zilikuwa zinatoka mfukoni mwa babayako!?Sawa, ila wakuu mbona shida sana hiyo ....au nyie mshazoea? Yani uliowe 1.5 upokee laki9? Zingine zote znaenda serikalin!!!
Zile ni hela za watu!... Ulizotumia kupata elimu... Sasa elimu unayo... Itumie hiyo elimu kwa Ajira iliyokupa , kurudisha pesa hizo!... Isikuume!