Kwa hiyo Mchengerwa kaja na Wizara ya Afya kufuta ushahidi wa idadi ya vifo wakati wa uchaguzi?

Kwa hiyo Mchengerwa kaja na Wizara ya Afya kufuta ushahidi wa idadi ya vifo wakati wa uchaguzi?

Hata angechaguliwa wiazara nyingine pia mge hoji...mavi yenu🚮
 
Hiyo wizara inachezewa kweli
Anawekwa mtu asiye na ufahamu wa masuala ya afya ...

Ova
 
Nafikiri ndio sababu ya msingi ya mbavu nene akili kisoda kupelekwa wizara ya afya.

Amebeba ajenda muhimu moja tu, nayo nikupoteza ushahidi wa idadi za vifo na miili ya wahanga wa Mo29!!
Ushahidi hautoki nje ya Gen Z, kuwa na Amani
 
Nchi ya familia utaiweza ushuzi mtupu wacha wajikaange
 
Nafikiri ndio sababu ya msingi ya mbavu nene akili kisoda kupelekwa wizara ya afya.

Amebeba ajenda muhimu moja tu, nayo nikupoteza ushahidi wa idadi za vifo na miili ya wahanga wa Mo29!!
Upo sahihi,Familia imewekwa kupoteza uwhahidi
 
Back
Top Bottom