TEC walijadili hatma ya lissu kikao cha juzi?

TEC walijadili hatma ya lissu kikao cha juzi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,802
Reaction score
60,648
Katika kikao cha hivi karibuni kati ya TEC na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, je, suala la kesi ya Tundu Lissu lilijadiliwa?

Kwa kuwa Lissu amekaa gerezani kwa muda mrefu, wengi tunaona sasa umefika wakati wa jambo hili kupata suluhisho. Kauli yake ya “tutakiwasha” ilichukuliwa kama kosa, lakini je, kosa hilo linafaa kuendelea kumweka gerezani kwa muda wote huu?

Nilitegemea kikao cha TEC na Mheshimiwa Rais kingeligusia suala hili, na ikiwezekana kutoa majibu yenye matumaini kwa Watanzania kuhusu hatma yake.

Je, TEC ilimfikishia Mama suala hili? Na kama ndiyo, kuna matumaini gani kuhusu kuachiwa kwake?
 
Hiyo kesi ya Lissu iko wazi kabisa ,kuna jambo yeye analeta ugumu wakati ushahidi uko wazi ..Ni vile wafuasi wake wanampa kichwa ,ila angeconfess nyuma ya pazia yakaisha ila anadanganywa na wafuasi wake.

Kesi imeisha hiyo ila anakaza kishamba .Huyo jamaa alikuwa ameshakimbia nchi mpaka kupokelewa huko kama mkimbizi wa kisiasa ,akarudishwa na Mother ,tena mtu kajitoa kuwapa pesa zake binafsi..Jamaa akiona watu anajifanya ana conscious sana ,jeuri yake imemfikisha hapo.
 
Katika kikao cha hivi karibuni kati ya TEC na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, je, suala la kesi ya Tundu Lissu lilijadiliwa?

Kwa kuwa Lissu amekaa gerezani kwa muda mrefu, wengi tunaona sasa umefika wakati wa jambo hili kupata suluhisho. Kauli yake ya “tutakiwasha” ilichukuliwa kama kosa, lakini je, kosa hilo linafaa kuendelea kumweka gerezani kwa muda wote huu?

Nilitegemea kikao cha TEC na Mheshimiwa Rais kingeligusia suala hili, na ikiwezekana kutoa majibu yenye matumaini kwa Watanzania kuhusu hatma yake.

Je, TEC ilimfikishia Mama suala hili? Na kama ndiyo, kuna matumaini gani kuhusu kuachiwa kwake?
Hatutaki mjadala wa kinafiki Lissu ameshawafokonyoa tayari kwenye kesi na hawana shahidi zimebaki porojo tu na atatoka kishujaa ambapo nchi itasimama hio siku.
 
Hiyo kesi ya Lissu iko wazi kabisa ,kuna jambo yeye analeta ugumu wakati ushahidi uko wazi ..Ni vile wafuasi wake wanampa kichwa ,ila angeconfess nyuma ya pazia yakaisha ila anadanganywa na wafuasi wake.

Kesi imeisha hiyo ila anakaza kishamba .Huyo jamaa alikuwa ameshakimbia nchi mpaka kupokelewa huko kama mkimbizi wa kisiasa ,akarudishwa na Mother ,tena mtu kajitoa kuwapa pesa zake binafsi..Jamaa akiona watu anajifanya ana conscious sana ,jeuri yake imemfikisha hapo.
Mashoga mmeshapigwa kama mnabisha pelekeni mashahidi nguruwe wa kizimkazi nyinyi.
 
Unalia ,jama yenu kasanda ,ushahidi uko wazi ..Hampendi ukweli ,jmaa yenu anaporoka..Shoga ni wewe .!

Tangia lini uhani ukapangwa na mtu mmoja ambae hana kiapo cha serikali? Tangia lini Lissu akawa muhaini kesi za kisiasa za kishamba Lissu ni mpenda haki mpenda haki tangia akawa muhaini?
 
Hiyo kesi ya Lissu iko wazi kabisa ,kuna jambo yeye analeta ugumu wakati ushahidi uko wazi ..Ni vile wafuasi wake wanampa kichwa ,ila angeconfess nyuma ya pazia yakaisha ila anadanganywa na wafuasi wake.

Kesi imeisha hiyo ila anakaza kishamba .Huyo jamaa alikuwa ameshakimbia nchi mpaka kupokelewa huko kama mkimbizi wa kisiasa ,akarudishwa na Mother ,tena mtu kajitoa kuwapa pesa zake binafsi..Jamaa akiona watu anajifanya ana conscious sana ,jeuri yake imemfikisha hapo.
Mwaipopo tulia basi, jilambe mdomo tena
 
Hiyo kesi ya Lissu iko wazi kabisa ,kuna jambo yeye analeta ugumu wakati ushahidi uko wazi ..Ni vile wafuasi wake wanampa kichwa ,ila angeconfess nyuma ya pazia yakaisha ila anadanganywa na wafuasi wake.

Kesi imeisha hiyo ila anakaza kishamba .Huyo jamaa alikuwa ameshakimbia nchi mpaka kupokelewa huko kama mkimbizi wa kisiasa ,akarudishwa na Mother ,tena mtu kajitoa kuwapa pesa zake binafsi..Jamaa akiona watu anajifanya ana conscious sana ,jeuri yake imemfikisha hapo.
TAL keshaanza kuwapiga miti kilicho baki ni DPP kusitisha kuendelea na kesi, hivi umeifuatilia kesi vizuri? Kukinukisha kwanza ni nini? Kukinukisha ndo uhaini wenyewe si ndiyo
 
Tangia lini uhani ukapangwa na mtu mmoja ambae hana kiapo cha serikali? Tangia lini Lissu akawa muhaini kesi za kisiasa za kishamba Lissu ni mpenda haki mpenda haki tangia akawa muhaini?
Usipoteze muda na nguvu zako bure, nimejifunza nianze kukaa kimya niangalie Lissu anavyo wapiga miti ( in mambaz 24 voice) kwa mwenye akili timamu hata atokee kizimkazi akisikiliza hapo kuna kesi ya uhaini au uchochezi?
 
Tangia lini uhani ukapangwa na mtu mmoja ambae hana kiapo cha serikali? Tangia lini Lissu akawa muhaini kesi za kisiasa za kishamba Lissu ni mpenda haki mpenda haki tangia akawa muhaini?
Ushahidi uko wazi ,wanamuonea huruma tu 😅
 
TAL keshaanza kuwapiga miti kilicho baki ni DPP kusitisha kuendelea na kesi, hivi umeifuatilia kesi vizuri? Kukinukisha kwanza ni nini? Kukinukisha ndo uhaini wenyewe si ndiyo
Ujinga unaambukiza ,ushaanbukizwa na iko wazi .

CCM wanamuonea huruma sana ,alipewa pesa na bi mdashi ,alikuwa kachoka analelewa na wazungu huko 😅😅..Aliogopa nchi yake ,huyo haweza kumbwekea mama ni mbwa aliyemfunga mwenyewe...Alimtoa huko utumwani ,akiwa na nabii yule wa Arusha .
 
Katika kikao cha hivi karibuni kati ya TEC na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, je, suala la kesi ya Tundu Lissu lilijadiliwa?

Kwa kuwa Lissu amekaa gerezani kwa muda mrefu, wengi tunaona sasa umefika wakati wa jambo hili kupata suluhisho. Kauli yake ya “tutakiwasha” ilichukuliwa kama kosa, lakini je, kosa hilo linafaa kuendelea kumweka gerezani kwa muda wote huu?

Nilitegemea kikao cha TEC na Mheshimiwa Rais kingeligusia suala hili, na ikiwezekana kutoa majibu yenye matumaini kwa Watanzania kuhusu hatma yake.

Je, TEC ilimfikishia Mama suala hili? Na kama ndiyo, kuna matumaini gani kuhusu kuachiwa kwake?
Ripoti ya Kurasa NNE(Plain/Hazijulikani maandishi)..Kwa Mujibu wa Mwana Harakati Kitima..
 
Back
Top Bottom