Mlumendo obeid
Member
- Sep 22, 2011
- 33
- 2
Jamani wana JF poleni kwa kazi ya kutafuta DINARI, Nipo janvini kuomba kusaidiwa swala hili hivi ukifuta text kwenye simu inaenda wapi? Naomba maelezo ya kina! Asanteni!
Kwani umeshawahi kujiuliza vilevile inakuwaje unaenda dukani kununua 'hela',hiyo hela unaiweka kwenye simu,kadri unavyoongea ndipo hela yako inavyopungua kwenye simu..
Ile hela inaenda wapi wakati uliingiza kwenye simu?
kitendoo cha kutumia anga kwa maana ya masafa ya netwk yanagarama tena kwa sekunde
Unaifuta juu ya simu lakini inabaki ndani ya simu!So ukifuta kwenye simu inaenda wap?