Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
umeongea vyema cc mzeewa tengeru,mbowe
Cc ya cdm wewe wa chama cha mizigo inawahusu nini?
Zitto hata mumtete vipi, lazima tumtimue!
umeongea vyema cc mzeewa tengeru,mbowe
Sheikh Takadir alikua na nguvu ndani ya TANU pia
Rostam aliweza kuandaa umati wa kulia na kuzimia
Unapoenda kwenye mkutano Kigoma ukaambatana na wasanii wazawa wa Kigoma All Stars unaleta mvuto wa kipekee maana wananchi watadhani kuna show na hayo ya kamati kuu na baraza kuu sidhani kama wanayajua
By the way nguvu ya mtu Kigoma ingesababisha tuwe na wabunge na madiwani wengi wa CHADEMA
Jitihada hizi za dharura za CCM haziwezi kubadili muelekeo wa maamuzi ya CHADEMA
Hata Yesu alikuwa na wafuasi ila alisulubiwa,
Ni bora kuwa na kundi la watu wachache waadilifu kuliko kuwa na watu wengi mamlyki, wasaliti, nimesoma risala yake, hajalaumu maana anajua alilotenda
inaonesha upo upset
Kwahiyo NI NANI wanaosema CHADEMA ni CHAMA CHA WACHAGGA? Sasa Kama ZITTO KABWE Amepokelewa VIZURI KIGOMA Basi na Mwakyembe atapokelewa VIZURI sana MKOANI KWAKE na pia KAGASHEKI atapokelewa kwa nderemo akirudi BUKOBA...
Mtaanza kujiuliza ni kina nani wameigawa nchi nzuri na salama kama Tanzania?
Iliyokuwa inasifika DUNIANI kote hadi kwenye KILIO cha MANDELA rais wao pamoja na kutokumpenda Rais wa kwanza NYERERE alipewa heshima na hekima za juu kwa kutoa hotuba zilizoushangaza VIONGOZI wa ULIMWENGU MZIMA jinsi nchi kama Tanzania ilivyokuwa na MOYO
Na haikuacha kusamehe wabaya wake... na ilijenga UMOJA nchini Mwake kwa kutumia LUGHA MOJA kiswahili pamoja na kuwa na makabila 130
Sasa ni nani anaanzisha UTENGANO CHUKI ndani ya nchi hii?
Kwahiyo kila Mwanasiasa atakwenda kwao kuhamasisha watu wa kwao? Ndio Mwisho wa UMOJA wa NCHI HII?
Na YOTE HAYO YALIANZISHWA na RAIS wa SASA wa nchi HII ambaye ni kipenzi wa ZITTO KABWE
GO FIGURE
Sheikh Takadir alikua na nguvu ndani ya TANU pia
Rostam aliweza kuandaa umati wa kulia na kuzimia
Unapoenda kwenye mkutano Kigoma ukaambatana na wasanii wazawa wa Kigoma All Stars unaleta mvuto wa kipekee maana wananchi watadhani kuna show na hayo ya kamati kuu na baraza kuu sidhani kama wanayajua
By the way nguvu ya mtu Kigoma ingesababisha tuwe na wabunge na madiwani wengi wa CHADEMA
Jitihada hizi za dharura za CCM haziwezi kubadili muelekeo wa maamuzi ya CHADEMA
inaonesha upo upset
Ben hapo hao wananchi wanamsikiliza Zitto au wasanii? je baada ya wasaniii kumaliza show wananchi wanaondoka? haya ni mawazo mfu uliyonayo unasubiri wamfukuze
unasumbuliwa na wivuKwasababu vitu vidogo vidogo kama hivi visipokemewa ndio Mwisho wa AMANI nchini ni kwanini asingeenda Mkoa Mwingine kwanza au aanzie Dar? Ina Maana asingepata washabiki?
Sasa ina Maana Kwenda kwao lazima watamuunga Mkono hiyo ina Maana gani? KATIBA yetu inaruhusu ?
Sasa na yeye ni wa kikabila kidogo na watu wa Makabila Makubwa wakianza kufanya hivyo na kudai URAIS na kuanzia Makwao?
And All this was CREATED and MADE by CCM but what GOES AROUND comes BACK to BITE YOU HARD
uko sahihi mkutano huu unonyesha dhahiri watu waliandaliwa kabla waje kwa staili ya kuwa mkutano si wa chama bali wa kimkoa na hituba imeaksi muonekano wa hadhirakwahiyo ni nani wanaosema chadema ni chama cha wachagga? Sasa kama zitto kabwe amepokelewa vizuri kigoma basi na mwakyembe atapokelewa vizuri sana mkoani kwake na pia kagasheki atapokelewa kwa nderemo akirudi bukoba... Mtaanza kujiuliza ni kina nani wameigawa nchi nzuri na salama kama tanzania? Iliyokuwa inasifika duniani kote hadi kwenye kilio cha mandela rais wao pamoja na kutokumpenda rais wa kwanza nyerere alipewa heshima na hekima za juu kwa kutoa hotuba zilizoushangaza viongozi wa ulimwengu mzima jinsi nchi kama tanzania ilivyokuwa na moyo na haikuacha kusamehe wabaya wake... Na ilijenga umoja nchini mwake kwa kutumia lugha moja kiswahili pamoja na kuwa na makabila 130 sasa ni nani anaanzisha utengano chuki ndani ya nchi hii? Kwahiyo kila mwanasiasa atakwenda kwao kuhamasisha watu wa kwao? Ndio mwisho wa umoja wa nchi hii? Na yote hayo yalianzishwa na rais wa sasa wa nchi hii ambaye ni kipenzi wa zitto kabwe go figure
nWapumbv msitusumbuee sasaa ulisikia OBAMA anahutubia huku 50cents anatumbuiza??? achenijinga huu, na sio tabia y CDM ni ya CCM, labda kama yuko mbioni kwenda huko
wanaoshindana nanyi ni akina nani? huyo zitto si mwana chadema mwenzenu?? sasa anajikusanya nani dhidi ya nani?? tunasubiri mazishi tuWatajikusanya lakini hawatashinda, CDM IMARA KAMA NA KULIKO ZAMANI
Mi nimewaza baada ya mkutano na "mapokezi makubwa" what's next?
Hivi unaweza kuintimidate taasisi kubwa kwa kustage mapokezi. What is he trying to achieve really....
NAPENDA KuWASHAURI VIONGOZI WAKUU CHADEMA wasipuuzie mapokezi makubwa alioyapata mbunge wa kigoma kaskazini na kuonyesha kuwa bado anaushawishi mkubwa chamani.
kuna taarifa kubwa za kinteligensia kuwa mh zito anamtandao mkubwa katika mikoa ya kusini,kigoma,tabora,singida,tanga,shinyanga na tayari ameeanza kulobby wajumbe wa baraza kuu nahivo kama kesi yake itafika baraza kuu huenda kukaibuka mgawanyiko wa kutisha hivyo kwa busara ya chama ni bora kumvua vyeo vyote anavyoshiilia lakini si kumfukuza mh zito
mbona hamumfukuzi? kila siku tambo na vitisho mbona hamchukui hatua?? nani atamfunga paka kengele?? au mnasogeza siku za kulikaribia kaburi?? hell is yoursCc ya cdm wewe wa chama cha mizigo inawahusu nini?
Zitto hata mumtete vipi, lazima tumtimue!