Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!

bw. John pombe magufuli amekosea! Tumesikia mabadiliko yaliyotokea katika wakala wa majengo tanzania (tba) kuondolewa kwa ceo wake bw. Makumba kimweri na kupelekwa wizarani.

Magufuli amejizolea sifa nyingi miongoni mwa watz kama kiongozi mzuri na mchapakazi hasa kwa staili yake anayoitumia ya ufuatiliaji na udikteta. Kwani wakati mwingine sifa hiyo ni nzuri, lkn kuna nyakati inaweza pia kuleta madhara kwa sababu haizingatii utawala wa sheria (rule of law).

Magufuli kwa waliofanya naye kazi kwa karibu wanaweza kukupa story tofauti na usiweze kuamini kama huyu ndiye yule magufuli anayepambanuliwa miongoni mwa viongozi wengi kuwa ni muadilifu. La hasha! Magufuli hayupo hivyo, ni mnafiki anayevaa ngozi ya kondoo kuwahadaa watz. Ni fisadi na mpenda majungu kupita kiasi.

Magufuli anaweza kufanyia kazi hearsay as if amepewa taarifa za kweli na zilizothibitishwa, inategemea nani kawahi kumpa majungu na ni nani kwake.

Kuondolewa kwa mkurugenzi mkuu wa tba bw. Kimweri kulianza kama mchezo. Chokochoko ilianzia kwa mtumishi mmoja wa idara ya uhasibu bw. Kapongo ambaye ni jamaa yake magufuli, wengine wanasema ni mjomba wake alipopewa uhamisho kwenda wizarani baada ya kuwepo kutoelewana na wafanyakazi wenzie.

Kapongo alipopata barua ya uhamisho alianza kuwapiga mkwara wenzie kuwa wasubiri watakiona cha mtema kuni waziri magufuli akirudi toka bungeni, kwamba wamefanya kosa kumhamisha.

Ukweli ni kwamba kapongo hana sifa na hata wenzie wana-doubt kama ana cheti hata cha form iv tu achilia mbali cha taaluma ya uhasibu. Maana hajuwi kazi yoyote zaidi ya kusaini cheque tu, hata kuandaa vote book hafahamu!

Magufuli alipoingia dar toka bungeni dodoma, kapongo kwa kuujua udhaifu wa waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi wake aitwaye lyatuu na nyinginezo (god knows kama ni za kweli au si za kweli!) akamjaza maneno mengi sana kuwa bosi wake bw. Lyatuu ni mwizi sana anaiba pesa za serikali etc.

Magufuli bila kuuliza akatoa amri kapongo arudishwe tba na akaufuta uhamisho wake, at the same time akatoa amri kuwa kesho yake anataka lyatuu aripoti kigoma na bw. Nsangalo aliyekuwa mwanza aripoti dar haraka sana. Bw. Kapongo aliporudishwa tba akawatambia wenzie kuwa "si nilisema? Mmeona nini kimefanyika?"

baada ya tukio hilo ambalo magufuli hakumshirikisha katibu mkuu wake wala naibu katibu mkuu wake, bw. Kimweri alimuandikia barua kapongo ya utovu wa nidhamu, kwa kitendo chake cha kuruka ngazi zote hadi kwa waziri ilhali uongozi wa tba haufahamu kama kulikuwa na matatizo hayo aliyodai kapongo.

Mbaya zaidi wiki iliyopita mwishoni baada ya kupokea barua toka kwa ceo wake kimweri, kapongo aliibeba barua hiyo na kwenda moja kwa moja kwa magufuli kushtaki, kuwa kimweri kamwandikia barua ya kumuonya.

Magufuli bila kuuliza kitu alifunga safari hadi tba, ambako aliingia kwa mkwara mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi, alipofika mlangoni akafungua mlango kwa kuupiga teke. Akamaka "tba mmejaa majizi matupu, hili lijizi likubwa liko wapi…" maneno hayo aliyaropoka mbele ya wafanyakazi waliopigwa na butwaa.

Akapiga simu kwa katibu mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka kumuona bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya wafanyakazi kuwa akiamka kesho yake kimweri u-ceo atausikia tu. Kwakweli ilikuwa ni hali ya udhalilishaji kazini na mtu kama magufuli kwa nafasi yake hakupaswa ku-handle situation hiyo kwa staili ya mithili ya mtu aliyepagawa.

Kweli, kesho yake magufuli akatoa amri bw. Kimweri aondolewe tba na kupelekwa wizarani na nafasi yake akakaimishwa msaidizi wake. Kama haitoshi sasa magufuli anampigia debe swahiba wake aitwaye mwakalinga ndio achukue nafasi ya kimweri. Mwakalinga ambaye hana uwezo wa kushika nafasi hiyo jina lake kalipeleka kwenye bodi na bodi imekataa kupitisha jina hilo.

Bodi ya wakandarasi sasa inatishia kufanya mgomo kupinga maamuzi ya kidikteta ya magufuli. Hali si shwari tena tba, ukali na njia anazotumia magufuli bila utaratibu zinawafanya watu kuwa waoga, maana hawajuwi nani atasingiziwa nini wapi iwapo watatofautiana na waziri wao. Magufuli anampigia debe mwakalinga kwa sababu ya uswahiba walio nao na pia kwa sababu huyo mwakalinga kwa kushirikiana na kapongo ndio waliomjengea nyumba yake.

Magufuli ili awe kiongozi mzuri inabidi afuate taratibu na sheria zilizopo, kama kuna wizi umefanyika anapaswa kuitisha auditing team kubaini tatizo na si kukurupuka tu kwa majungu anayopelekewa na kuumiza wengine wasio na hatia. Mbona yeye mwenyewe ni fisadi? Kiongozi anayetumia nafasi yake vibaya ni ufisadi.

Magufuli ameshindwa kuangalia rekodi ya utendaji kazi ya bw. Lyatuu ambaye tangu ameshika nafasi hiyo tba ameingiza miradi mingi na fedha nyingi kuliko alipokuwepo bw. Nsangano (aliyerudishwa tena) aliyeiacha tba na sh. 4m tu wakati lyatuu ameiinua tba kwa ukusanyaji mzuri wa madeni na kutafuta miradi inayoifanya tba kujiendesha yenyewe.

Magufuli amemrudisha nsangalo aliyeshindwa kabla na ambaye hana pr yoyote kuwezesha tba kupata miradi na kujiendesha. Alipohamishiwa mwanza tba huko imekufa, haina kitu kabisa na sasa kamrudisha dar aiue pia.

magufuli tutamuamini vipi kuwa ni msafi baada ya kujijengea magorofa manne (4) yaliyopo kitalu 172 upper kinondoni, magorofa aliyojengewa kwa msaada wa mwakalinga na nsangalo, magorofa aliyowapangisha wakandarasi aliowapa kazi mwenyewe! Magufuli anawezaje kufuta hisia zetu kuwa hachukuwi 10% za wakandarasi hao?

ndio maana pia magufuli aliharakisha zoezi la kumuondoa ephraem mrema wa tanroads, aliyetengenezewa zengwe na aliyekuwa katibu mkuu wa miundombinu by then bw. Omar chambo na kumpa nafasi hiyo bw. Mfugale – swahiba wake pia. Ndio maana hadi leo tanroads tangu aondoke mrema bado hakujatulia. Hii ni kwasababu ya maamuzi yasiyozingatia sheria ya watawala wetu wanaoangalia interest zao kwanza. This is not health for our country's development.

Magufuli anapaswa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo akishauriana na subordinates wake kama katibu mkuu, naibu katibu mkuu, menejimenti, bodi etc. Alichokifanya tba is very unethical and it is against good governance and rule of law.

Kwani mtu kama kapongo kama si majungu baada ya matukio hayo hakupaswa kumrudisha tena tba, ambako hata yeye amechangia machafuko. Kama ni kuhamisha alipaswa ahamishe wote, kumrudisha kapongo tba tafsiri yake ni nini? Vyombo vinavyohusika fuatilieni hili na mtabaini mengi yaliyo nyuma ya pazia.

Hayo ni maoni yangu.

mwandishi wa habari hii anaonekana kama mmoja wa waathrika wa maamuzi ya kibabe ya magufuli. Lakini kama ilivyokuwa uda mara tu walidhulumiana ndipo wataznania wengine tukaamshwa kuwa nshirika la umma linauzwa kinyemela. Japo mwandishi ni mwathirika hapo kwenye red juu panastahili kufutiliwa na magufuli atueleze amepata wai fedha za kujenga maghorofa manne kwa mshahara huu wa uwaziri paqmoja na nyumba kibao huko chato alizipangisha kwa halamshauri
 
<br />
<br />
Kafie mbele mnafiki mkubwa weye...unasubiri ufukuzwe wewe ndo uje na mashairi yako ili jukwaa liwe sympathetic na wizi wako. Magufuli ni waziri ambaye mziki wake wananchi wanaukubali. So far wewe kama wewe umelifanyia nini Taifa compared na Magufuli alcoholic John. Kweli watanzania wengi wanapenda viongozi nyolonyolo. Mlete mzee wako awe waziri...lakini mind you mpaka wananchi wamkubali jimboni kwake.

Nakusamehe bure kwa sababu hujuwi unachokisema wala humjuwi Magufuli. Mie sijafukuzwa kazi na wala sifanyi kazi TBA! I stand with those who are marginalized! Kwa taarifa yako Magufuli ni mwizi kuliko unavyofikiria! Yeye ni mmoja kati ya waliochagiza kuuzwa nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa! Ni hasara kiasi gani serikali imeingizwa? Nyerere angeuza nyumba hizo akina Magufuli wangeuza nini? Magufuli alihonga nyumba za serikali kwa mahawara zake 2 na mdogo wake aliyekuwa mwanafunzi by then lkn nyie hamuyaoni?! ndio maana hatuendelei Watz kwa kuwa kuna watu vipofu hawaoni raslimali zao zinavyoliwa kazi kusifia ujinga! Tuambieni yale magorofa 4 ya Magufuli aliyoyapangisha kwa Wakandarasi aliowapa mwenyewe kazi aliyajenga kwa fedha gani? Kutoa mawazo yangu ni kusaidia vyombo husika vifanye uchunguzi. La haviwezi kutokana na mfumo tulio nao basi Watz wawaelewe viongozi wao.
 
Nakusamehe bure kwa sababu hujuwi unachokisema wala humjuwi Magufuli. Mie sijafukuzwa kazi na wala sifanyi kazi TBA! I stand with those who are marginalized! Kwa taarifa yako Magufuli ni mwizi kuliko unavyofikiria! Yeye ni mmoja kati ya waliochagiza kuuzwa nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa! Ni hasara kiasi gani serikali imeingizwa? Nyerere angeuza nyumba hizo akina Magufuli wangeuza nini? Magufuli alihonga nyumba za serikali kwa mahawara zake 2 na mdogo wake aliyekuwa mwanafunzi by then lkn nyie hamuyaoni?! ndio maana hatuendelei Watz kwa kuwa kuna watu vipofu hawaoni raslimali zao zinavyoliwa kazi kusifia ujinga! Tuambieni yale magorofa 4 ya Magufuli aliyoyapangisha kwa Wakandarasi aliowapa mwenyewe kazi aliyajenga kwa fedha gani? Kutoa mawazo yangu ni kusaidia vyombo husika vifanye uchunguzi. La haviwezi kutokana na mfumo tulio nao basi Watz wawaelewe viongozi wao.

tUWEKEE PICHA ZA MAGOROFA HAYO, KWANI WATU WENGU HUAMINI KWA KUONA NA SIO KUSIKIA TU
 
Penye blue pamenistua sana. Kuna kila dalili kwamba Magufuli amekugusa pabaya....... any way sisi masikio yetu, tutasikia akiwajibishwa maana kama kweli hafuati utawala wa sheria lazima itakula. Unajua nimejiuliza sana yaani magufuli katukana na kupiga teke milango ya serikali???????? This is too much bwana.

Me nasema usi hofu sana ila all in all hawa wahusika kama walizoa vya kula kila mara imewakuta ndio thawabu zake hizo hawa viongozi wakila huwa twataka ati wapewe uchunguzi me nadhani ni kuwa fulumusha huko waliko walikuwa mandezi sana walijisahau wacha maghufuli afanya kazi yake mbona Mwl.Nyerere alikuwa anawatobokezea na uanasikia mtu chali leo hii wakifanyiwa hivyo na maghufuli kosa khaaa
 
Inawezekana mhusika ametoa maneno ambayo yanaweza kuonekana kama chuki binafsi au hana uelewano vizuri na Mhe.Magufuli.. Lakin kabla sijasema pointi yanguniulize hivi ni kweli Magufuli anaaminika? je Magufuli ni msafi? au watu wengi ni washabiki wake kwa sababu ya kusoma vizuri takwimu bungeni kwa njia ya kukariri hili ndo linawafanya watanzania tumuone ni mtu safi? sikatai magufuli amejitahidi kwa kiasi chake na amefanya mambo mengi tu ambayo yanaonekana lakin nataka wadau wajue kuwa Magufuli si kama anavyoonekana machoni pa watu si msafi hata kidogo..na kuna mambo mengi yako nyuma ya pazia lakini magufuli si mtu ambaye anaweza kuaminiwa ila naweza kusema yuko smart kwa mambo yake anayoyafanya . Haonekani kama mmilikiwa wa kitu lakin anatumia jamaa zake na rafiki zake katika idara nyingi katika makampuni mbalimbali.

Nashukuru kuwa ume-summarize kwa kiasi fulani. Watz wengi ni mashabiki wa magufuli ila hawamuelewi! Anapotoa takwimu za kukariri utampa 5! lkn rudi kaangalie kwa utulivu mara nyingi huwa hakuna kitu cha namna hiyo! Ni msanii mzuri sana na anafahamu Watz wavivu hawafanyi reference! mara nyingi huwa anachapia vibaya sana - Wadanganyika wanaona bonge ya Hero! Miradi mingi ya Magufuli inaendeshwa na maswahiba wake, he is very smart hataki kuonekana mchafu. Kuna incident moja miaka ya nyuma akiwa waziri wa ujenzi alimuwekea bifu Waziri Mwandosya (Uchukuzi) wakati wa zile Lake fast Ferries I and II, akafanya kila njia kuwakwamisha akina Dewji wasisafirishe meli hizo kwa barabara kwa madai ya kuharibu barabara. Ukweli ni kuwa alikasirika wakati wa uzinduzi alialikwa Mwandosya kama waziri wa Uchukuzi akakasirika. Walipoenda kuomba kibali ujenzi cha kusafirisha meli hizo akawaambia wenye meli kamwambieni Mwandosya awape kibali si ndio mlimualika. Akawaapia kwa kusema "over my dead body meli hizo hazitasafirishwa kwa barabara". Kweli jamaa walisota, wakazikata na kuzikata, miaka ikapita, wakajaribu kupitishia Mombasa, magufuli akampigia simu swahiba wake Waziri wa Ujenzi wa wakati huo Kenya ( kama sikosei ni raila Odinga) kwamba asiwakubalie kabisa na kweli. Zile meli hadi zinafika Mwanza hazikufanya kazi muda mrefu zilikufa. Huyo ni Magufuli! Watz wa Mwanza wakiwa na shida ya usafiri ziwani yeye anakwamisha - si roho ya kizalendo! anayebisha amuulize Mhe. Adam Malima alivyokuwa akisota akizipigania meli hizo zifike Mwanza.

Magufuli amejua Watz ni wadanganyika ndio maana hata Rais au PM akijaribu kumpunguza speed anatishia kujiuzuru akiaamini Watz wengi wasiojua upande mwingine wa shilingi watamtetea kama wafanyavyo baadhi humu jamvini. Maskini Watz wenzangu!
 
tUWEKEE PICHA ZA MAGOROFA HAYO, KWANI WATU WENGU HUAMINI KWA KUONA NA SIO KUSIKIA TU

Picha za nini ?! nenda kashangae mwenyewe pale 172 Upper Kinondoni. Alijiuzia nyumba ya serikali na sasa kabomoa na kujenga maghorofa hayo.
 
..hata Nalaila Kiula na Dr.George Mlingwa walipokuwa wizara ya Ujenzi walikuwa wachapa kazi na wafuatiliaji kwelikweli. lakini watu walipokuja kuwachunguza kwa undani wakaibua madudu kuishia kuburuzwa mahakamani.

..kwa mtizamo wangu Magufuli ana rekodi mbaya kushinda ya Nalaila Kiula. anza tu hasara aliyotuingiza ktk uuzwaji wa nyumba za serikali. halafu nenda angalia ile kesi ya kuvunja kituo cha mafuta mwanza ambapo serikali imelazimika kulipa fidia. malizia na jinsi alivyolipendelea jimbo lake ktk mradi wa barabara.

..Nalaila Kiula alituingiza hasara ndogo kulinganisha na hii aliyosababisha Magufuli ktk kuuza nyumba za serikali. nashangaa kwanini Magufuli haburuzwi mahakamani. labda kosa la Nalaila Kiula ni kutojisifia ktk vyombo vya habari.
 
Ndugu zangu, twende mbele na turudi nyuma, hivi ninani ndani ya serikali hii ni nafuu. Magufuri ninafuu kwani yeye anataka ule lakini ukifanya kazi. Ndiyo maana Tanroads makao makuu zamani waliwakatalia ma reional manager kusimamia miradi ili wao wapate kula zaidi .Lakini magufuri amesema hapana, wote wasimamie ili kama ni kula basi kila mtu ale kidogo huku akifanya kazi. Tatizo la watanzania tunapenda kula bila kufanya kazi hata kidogo na hii inamuumiza magufuri.
Tuseme ukweli, ninani ndani ya serikali hii akiwa kiongozi hatakula dili wakati mabosi wake wanakula. Waziri mkuu mwenyewe na kikwete ndo usiseme kwa madili. lakini angalau Magufuri anajitahidi, licha ya watu kula lakini kazi zinaoneka. Ndugu zangu, watu wanmulaumu kuwa ameiingiza serikali hasara kwa kukamta wezi wa samaki. Je mnataka tuendelee kuibiwa . Kama tunashindwa na wezi kwa sheria zetu
mbovu je mnadhani Magufuri afanye nini??
Hata ingekuwa mimi ningefanya kama magufuri, fanya kazi sana ila pia nikipata changu kinachojitokeza nachukua. Viongozi wa Tanzania wangekuwa kama Magufuri tungekuwa Mbali, lakini wengine ni wazee wa kula tu halafu hawafanyi kazi.
Ninakataa sana watu wanosema yeye alijipendele lami ikapita jimboni kwake. Je watu wa jimbo lake siyo watanzania? Mbona hatulaumu wachanga ambao kila kitu walijipendelea????


K
 
kama magufuli kafanyia haya madudu ya kwenda kutukana ofisini na kupiga mlango mateke basi
huyu inafaa kabisa rais amtimue kazi mara mmoja ni mlevi au anavuta bangi na akapimwe akili
nimesema kama waziri mkubwa kama huyu kafanyia huo ujinga ni mleviii? hakuna wa kumtete
 
Kitendo cha mheshimiwa Maghufuli kumng'oa bwanaa Kimweri pale TBA naa kabla ya hapo kuthubutu kumng'oa Mrema pale Tanroads kimedhihirisha Maghufuli ni mtu wa msimamo na hatetereki katika maamuzi yake anafaa kupata pongezi nyingi sana kwa ushujaa wake huo, na kama pale TBA atateuliwa Mwakalinga itakuwa jambo zueri sana kwani huyu kijana anafahamika kwa uchapa kazi wake anastahiki kabisa kupewa nafasi hiyo, kuna vibaraka wa Kimweri wanahaha kuchafua mambo ili kumtakasa bwana wao kwa senti tu alizowahonga ama kweli mpiga zumari humwandama muajiri wake. watu mwausaliti ukweli kwa sababu ya njaa za kijinga.
 
Ndugu zangu, twende mbele na turudi nyuma, hivi ninani ndani ya serikali hii ni nafuu. Magufuri ninafuu kwani yeye anataka ule lakini ukifanya kazi. Ndiyo maana Tanroads makao makuu zamani waliwakatalia ma reional manager kusimamia miradi ili wao wapate kula zaidi .Lakini magufuri amesema hapana, wote wasimamie ili kama ni kula basi kila mtu ale kidogo huku akifanya kazi. Tatizo la watanzania tunapenda kula bila kufanya kazi hata kidogo na hii inamuumiza magufuri.
Tuseme ukweli, ninani ndani ya serikali hii akiwa kiongozi hatakula dili wakati mabosi wake wanakula. Waziri mkuu mwenyewe na kikwete ndo usiseme kwa madili. lakini angalau Magufuri anajitahidi, licha ya watu kula lakini kazi zinaoneka. Ndugu zangu, watu wanmulaumu kuwa ameiingiza serikali hasara kwa kukamta wezi wa samaki. Je mnataka tuendelee kuibiwa . Kama tunashindwa na wezi kwa sheria zetu
mbovu je mnadhani Magufuri afanye nini??
Hata ingekuwa mimi ningefanya kama magufuri, fanya kazi sana ila pia nikipata changu kinachojitokeza nachukua. Viongozi wa Tanzania wangekuwa kama Magufuri tungekuwa Mbali, lakini wengine ni wazee wa kula tu halafu hawafanyi kazi.
Ninakataa sana watu wanosema yeye alijipendele lami ikapita jimboni kwake. Je watu wa jimbo lake siyo watanzania? Mbona hatulaumu wachanga ambao kila kitu walijipendelea????


K

Ndugu yangu wizi ni wizi tu! unajua kwanini hatuendelei? ni kutokana na dhana hiyo ya kila mtu ale kidogokidogo pale alipo. Anzia na hizo 10% watu wanazozichukua, kwani wanamuibia nani? ni kujiibia mwenyewe. Unapomsifia magufuli kuwa anakula huku anafanya kazi mie sikuelewi kabisa. hakupewa dhamana hiyo ili ale kidogo kidogo. Kwa taarifa yako wanakomba bilions! hospitali zetu mama zetu wanalala wanne wanne wakati wa kujifungua na bado dawa hakuna, watoto wetu wanakaa chini kwa kukosa madawati, wananchi walio wengi hawapati maji safi na salama....wewe unasema kila mtu ale kidogokidogo?! u must be sick!
 
  • HTML:
    nitakiani  
        22nd August 2011 05:58 PM   #1                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Senior Member 					               Join Date : 18th April 2008Posts : 119 Rep Power : 								24        Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Bw.  John Pombe Magufuli amekosea! Tumesikia mabadiliko yaliyotokea katika  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuondolewa kwa CEO wake Bw. Makumba  Kimweri na kupelekwa Wizarani. 
     
    Magufuli amejizolea sifa nyingi miongoni mwa watz kama kiongozi mzuri na  mchapakazi hasa kwa staili yake anayoitumia ya ufuatiliaji na udikteta.  Kwani wakati mwingine sifa hiyo ni nzuri, lkn kuna nyakati inaweza pia  kuleta madhara kwa sababu haizingatii utawala wa sheria (rule of law). 
     
    Magufuli kwa waliofanya naye kazi kwa karibu wanaweza kukupa story  tofauti na usiweze kuamini kama huyu ndiye yule Magufuli  anayepambanuliwa miongoni mwa viongozi wengi kuwa ni muadilifu. La  hasha! Magufuli hayupo hivyo, ni mnafiki anayevaa ngozi ya kondoo  kuwahadaa Watz. Ni fisadi na mpenda majungu kupita kiasi. 
     
    Magufuli anaweza kufanyia kazi hearsay as if amepewa taarifa za kweli na  zilizothibitishwa, inategemea nani kawahi kumpa majungu na ni nani  kwake.
     
    Kuondolewa kwa Mkurugenzi mkuu wa TBA Bw. Kimweri kulianza kama mchezo.  Chokochoko ilianzia kwa mtumishi mmoja wa idara ya uhasibu Bw. Kapongo  ambaye ni jamaa yake Magufuli, wengine wanasema ni mjomba wake alipopewa  uhamisho kwenda Wizarani baada ya kuwepo kutoelewana na wafanyakazi  wenzie. 
     
    Kapongo alipopata barua ya uhamisho alianza kuwapiga mkwara wenzie kuwa  wasubiri watakiona cha mtema kuni Waziri Magufuli akirudi toka bungeni,  kwamba wamefanya kosa kumhamisha. 
     
    Ukweli ni kwamba Kapongo hana sifa na hata wenzie wana-doubt kama ana  cheti hata cha form IV tu achilia mbali cha taaluma ya uhasibu. Maana  hajuwi kazi yoyote zaidi ya kusaini cheque tu, hata kuandaa vote book  hafahamu!
     
    Magufuli alipoingia Dar toka bungeni Dodoma, Kapongo kwa kuujua udhaifu  wa Waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi wake  aitwaye Lyatuu na nyinginezo (God knows kama ni za kweli au si za  kweli!) akamjaza maneno mengi sana kuwa Bosi wake Bw. Lyatuu ni mwizi  sana anaiba pesa za Serikali etc. 
     
    Magufuli bila kuuliza akatoa amri Kapongo arudishwe TBA na akaufuta  uhamisho wake, at the same time akatoa amri kuwa kesho yake anataka  Lyatuu aripoti Kigoma na Bw. Nsangalo aliyekuwa Mwanza aripoti Dar  haraka sana. Bw. Kapongo aliporudishwa TBA akawatambia wenzie kuwa "si  nilisema? Mmeona nini kimefanyika?"
     
    Baada ya tukio hilo ambalo Magufuli hakumshirikisha Katibu Mkuu wake  wala Naibu katibu Mkuu wake, Bw. Kimweri alimuandikia barua Kapongo ya  utovu wa nidhamu, kwa kitendo chake cha kuruka ngazi zote hadi kwa  Waziri ilhali uongozi wa TBA haufahamu kama kulikuwa na matatizo hayo  aliyodai Kapongo. 
     
    Mbaya zaidi wiki iliyopita mwishoni baada ya kupokea barua toka kwa CEO  wake Kimweri, Kapongo aliibeba barua hiyo na kwenda moja kwa moja kwa  Magufuli kushtaki, kuwa Kimweri kamwandikia barua ya kumuonya. 
     
    Magufuli bila kuuliza kitu alifunga safari hadi TBA, ambako aliingia kwa  mkwara mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi, alipofika mlangoni  akafungua mlango kwa kuupiga  teke. Akamaka "TBA mmejaa majizi matupu,  hili lijizi likubwa liko wapi&#8230;" maneno hayo aliyaropoka mbele ya  wafanyakazi waliopigwa na butwaa. 
     
    Akapiga simu kwa Katibu Mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka  kumuona Bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya  wafanyakazi kuwa akiamka kesho yake Kimweri u-CEO atausikia tu. Kwakweli  ilikuwa ni hali ya udhalilishaji kazini na mtu kama Magufuli kwa nafasi  yake hakupaswa ku-handle situation hiyo kwa staili ya mithili ya mtu  aliyepagawa.
     
    Kweli, kesho yake Magufuli akatoa amri Bw. Kimweri aondolewe TBA na  kupelekwa wizarani na nafasi yake akakaimishwa msaidizi wake. Kama  haitoshi sasa Magufuli anampigia debe swahiba wake aitwaye Mwakalinga  ndio achukue nafasi ya Kimweri. Mwakalinga ambaye hana uwezo wa kushika  nafasi hiyo jina lake kalipeleka kwenye Bodi na Bodi imekataa kupitisha  jina hilo. 
     
    Bodi ya wakandarasi sasa inatishia kufanya mgomo kupinga maamuzi ya  kidikteta ya Magufuli. Hali si shwari tena TBA, ukali na njia anazotumia  Magufuli bila utaratibu zinawafanya watu kuwa waoga, maana hawajuwi  nani atasingiziwa nini wapi iwapo watatofautiana na Waziri wao. Magufuli  anampigia debe Mwakalinga kwa sababu ya uswahiba walio nao na pia kwa  sababu huyo Mwakalinga kwa kushirikiana na Kapongo ndio waliomjengea  nyumba yake. 
     
    Magufuli ili awe kiongozi mzuri inabidi afuate taratibu na sheria  zilizopo, kama kuna wizi umefanyika anapaswa kuitisha Auditing team  kubaini tatizo na si kukurupuka tu kwa majungu anayopelekewa na kuumiza  wengine wasio na hatia. Mbona yeye mwenyewe ni fisadi? Kiongozi  anayetumia nafasi yake vibaya ni ufisadi. 
     
    Magufuli ameshindwa kuangalia rekodi ya utendaji kazi ya Bw. Lyatuu  ambaye tangu ameshika nafasi hiyo TBA ameingiza miradi mingi na fedha  nyingi kuliko alipokuwepo Bw. Nsangano (aliyerudishwa tena) aliyeiacha  TBA na sh. 4m tu wakati Lyatuu ameiinua TBA kwa ukusanyaji mzuri wa  madeni na kutafuta miradi inayoifanya TBA kujiendesha yenyewe. 
     
    Magufuli amemrudisha Nsangalo aliyeshindwa kabla na ambaye hana PR  yoyote kuwezesha TBA kupata miradi na kujiendesha. Alipohamishiwa Mwanza  TBA huko imekufa, haina kitu kabisa na sasa kamrudisha Dar aiue pia.
     
    Magufuli tutamuamini vipi kuwa ni msafi baada ya kujijengea magorofa  manne (4) yaliyopo kitalu 172 Upper Kinondoni, magorofa aliyojengewa kwa  msaada wa Mwakalinga na Nsangalo, magorofa aliyowapangisha Wakandarasi  aliowapa kazi mwenyewe! Magufuli anawezaje kufuta hisia zetu kuwa  hachukuwi 10% za wakandarasi hao? 
     
    Ndio maana pia Magufuli aliharakisha zoezi la kumuondoa Ephraem Mrema wa  TANROADS, aliyetengenezewa zengwe na aliyekuwa Katibu Mkuu wa  Miundombinu by then Bw. Omar Chambo na kumpa nafasi hiyo Bw. Mfugale &#8211;  swahiba wake pia. Ndio maana hadi leo TANROADS tangu aondoke Mrema bado  hakujatulia. Hii ni kwasababu ya maamuzi yasiyozingatia sheria ya  watawala wetu wanaoangalia interest zao kwanza. This is not health for  our country's development.
     
    Magufuli anapaswa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo  akishauriana na subordinates wake kama Katibu Mkuu, naibu katibu Mkuu,  Menejimenti, Bodi etc. alichokifanya TBA is very unethical and it is  against good governance and rule of law. 
     
    Kwani mtu kama Kapongo kama si majungu baada ya matukio hayo hakupaswa  kumrudisha tena TBA, ambako hata yeye amechangia machafuko. Kama ni  kuhamisha alipaswa ahamishe wote, kumrudisha Kapongo TBA tafsiri yake ni  nini? Vyombo vinavyohusika fuatilieni hili na mtabaini mengi yaliyo  nyuma ya pazia. 
     
    Hayo ni maoni yangu.
          Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          THE PERFECT      22nd August 2011 06:25 PM   #2                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Member 					               Join Date : 22nd June 2011Posts : 24 Rep Power : 								0        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     unaweza kufupisha mkuu? all in all Magufuli ni mtu makini sana
     I dont think as you explained 
    anyway wakuu watasema     Like   CHEZEA MSHAHARA USICHEZE KAZI        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          chiungutwa      22nd August 2011 06:35 PM   #3                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Junior Member 					               Join Date : 11th April 2011Posts : 5 Rep Power : 								0        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!      inavyoonekana kuna jambo hapo ila mdau kama ulivyotoa wazo tuache vyombo  husika wafuatilie mwisho wa siku tutajua tu mbivu na mbichi.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          ndetichia      22nd August 2011 06:40 PM   #4                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Premium Member 					               Join Date : 18th March 2011Location : Mwime - BuswangiliPosts : 1,972 Rep Power : 								24        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     kaka ndefu mno halafu wabongo wengi wavivu kusoma ungeongeza haya ingekuwa nzuri zaidi..     Like   " kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha ubinafsi!.. ''        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Nazjaz      22nd August 2011 06:46 PM   #5                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 20th January 2011Posts : 1,418 Rep Power : 								24        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Habari imejaa chuki binafsi dhidi ya Magufuli.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          TEMPOLALE      22nd August 2011 06:52 PM   #6                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Member 					               Join Date : 18th August 2011Posts : 26 Rep Power : 								0        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!           By Wanitakiani   Bw.  John Pombe Magufuli amekosea! Tumesikia mabadiliko yaliyotokea katika  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuondolewa kwa CEO wake Bw. Makumba  Kimweri na kupelekwa Wizarani. Magufuli amejizolea sifa nyingi miongoni  mwa watz kama kiongozi mzuri na mchapakazi hasa kwa staili yake  anayoitumia ya ufuatiliaji na udikteta. Kwani wakati mwingine sifa hiyo  ni nzuri, lkn kuna nyakati inaweza pia kuleta madhara kwa sababu  haizingatii utawala wa sheria (rule of law). Magufuli  kwa waliofanya naye kazi kwa karibu wanaweza kukupa story tofauti na  usiweze kuamini kama huyu ndiye yule Magufuli anayepambanuliwa miongoni  mwa viongozi wengi kuwa ni muadilifu. La hasha! Magufuli hayupo hivyo, ni mnafiki anayevaa ngozi ya kondoo kuwahadaa Watz.  Ni fisadi na mpenda majungu kupita kiasi. Magufuli anaweza kufanyia  kazi hearsay as if amepewa taarifa za kweli na zilizothibitishwa,  inategemea nani kawahi kumpa majungu na ni nani kwake.
     
     Kuondolewa  kwa Mkurugenzi mkuu wa TBA Bw. Kimweri kulianza kama mchezo. Chokochoko  ilianzia kwa mtumishi mmoja wa idara ya uhasibu Bw. Kapongo ambaye ni  jamaa yake Magufuli, wengine wanasema ni mjomba wake alipopewa uhamisho  kwenda Wizarani baada ya kuwepo kutoelewana na wafanyakazi wenzie.  Kapongo alipopata barua ya uhamisho alianza kuwapiga mkwara wenzie kuwa  wasubiri watakiona cha mtema kuni Waziri Magufuli akirudi toka bungeni,  kwamba wamefanya kosa kumhamisha. Ukweli ni kwamba Kapongo hana sifa na  hata wenzie wana-doubt kama ana cheti hata cha form IV tu achilia mbali  cha taaluma ya uhasibu. Maana hajuwi kazi yoyote zaidi ya kusaini  cheque tu, hata kuandaa vote book hafahamu!
     
     Magufuli  alipoingia Dar toka bungeni Dodoma, Kapongo kwa kuujua udhaifu wa  Waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi wake  aitwaye Lyatuu na nyinginezo (God knows kama ni za kweli au si za  kweli!) akamjaza maneno mengi sana kuwa Bosi wake Bw. Lyatuu ni  mwizi sana anaiba pesa za Serikali etc. Magufuli bila kuuliza akatoa  amri Kapongo arudishwe TBA na akaufuta uhamisho wake, at the same time  akatoa amri kuwa kesho yake anataka Lyatuu aripoti  Kigoma............................................   ......................
    Mbaya zaidi wiki iliyopita mwishoni baada ya kupokea barua toka kwa CEO  wake Kimweri, Kapongo aliibeba barua hiyo na kwenda moja kwa moja kwa  Magufuli kushtaki, kuwa Kimweri kamwandikia barua ya kumuonya. Magufuli  bila kuuliza kitu alifunga safari hadi TBA, ambako aliingia kwa mkwara  mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi,  alipofika mlangoni akafungua mlango kwa kuupiga teke. Akamaka "TBA  mmejaa majizi matupu, hili lijizi likubwa liko wapi&#8230;" maneno  hayo aliyaropoka mbele ya wafanyakazi waliopigwa na butwaa. Akapiga  simu kwa Katibu Mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka kumuona  Bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya wafanyakazi  kuwa akiamka kesho yake Kimweri u-CEO atausikia tu. Kwakweli  ilikuwa ni hali ya udhalilishaji kazini na mtu kama Magufuli kwa nafasi  yake hakupaswa ku-handle situation hiyo kwa staili ya mithili ya mtu  aliyepagawa.
     
    Kweli, kesho yake Magufuli akatoa amri Bw. Kimweri aondolewe TBA na  kupelekwa wizarani na nafasi yake akakaimishwa msaidizi wake. Kama  haitoshi sasa Magufuli anampigia debe swahiba wake aitwaye Mwakalinga  ndio achukue nafasi ya Kimweri. Mwakalinga ambaye hana uwezo wa kushika  nafasi hiyo jina lake kalipeleka kwenye Bodi na Bodi imekataa kupitisha  jina hilo.......................
     
    Magufuli tutamuamini vipi kuwa ni msafi baada ya kujijengea magorofa  manne (4) yaliyopo kitalu 172 Upper Kinondoni, magorofa aliyojengewa kwa  msaada wa Mwakalinga na Nsangalo, magorofa aliyowapangisha Wakandarasi  aliowapa kazi mwenyewe! Magufuli anawezaje kufuta hisia zetu kuwa  hachukuwi 10% za wakandarasi hao?    Penye blue  pamenistua sana.  Kuna kila dalili kwamba Magufuli amekugusa  pabaya....... any way sisi masikio yetu, tutasikia akiwajibishwa maana  kama kweli hafuati utawala wa sheria lazima itakula. Unajua nimejiuliza  sana yaani magufuli katukana na kupiga teke milango ya serikali????????  This is too much bwana.     Like Nanu likes this.  Napenda sana Futari ya nguruwee!!!!!!        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Kimbunga      22nd August 2011 07:06 PM   #7                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 4th October 2007Location : LokichogioPosts : 1,133 Rep Power : 								26        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Duh Mkuu umeongea maneno mazito sana. Kama ni hivyo kweli ndivyo alivyo magufuli basi tena!!     Like   Nachukia Ufisadi: Matusi, Uongo, Tetesi na Majungu pia ni Ufisadi; Tujitenge Navyo        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Henge      22nd August 2011 07:15 PM   #8                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 14th May 2009Posts : 2,982 Rep Power : 								28        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!      unajua kunawatu wanamwamini sana magufuli ni kwa sababu ni nafuu kati ya  magamba lakini kumbukeni magamba hakuna msafi ni system waliojijengea!
    ndo maana tunasema ili nchi iendelee ccm idondoke kwanza!     Like Mkirua likes this.  ''Kwanza, serikali haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe''.BY JAKAYA KIKWETE.        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Mwita Maranya      22nd August 2011 07:22 PM   #9                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Premium Member 					               Join Date : 1st July 2008Location : Nyamuma Kijijini!!!Posts : 1,603 Rep Power : 								27        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!           By Wanitakiani   Bw.  John Pombe Magufuli amekosea! Tumesikia mabadiliko yaliyotokea katika  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuondolewa kwa CEO wake Bw. Makumba  Kimweri na kupelekwa Wizarani. Magufuli amejizolea sifa nyingi miongoni  mwa watz kama kiongozi mzuri na mchapakazi hasa kwa staili yake  anayoitumia ya ufuatiliaji na udikteta. Kwani wakati mwingine sifa hiyo  ni nzuri, lkn kuna nyakati inaweza pia kuleta madhara kwa sababu  haizingatii utawala wa sheria (rule of law). Magufuli kwa waliofanya  naye kazi kwa karibu wanaweza kukupa story tofauti na usiweze kuamini  kama huyu ndiye yule Magufuli anayepambanuliwa miongoni mwa viongozi  wengi kuwa ni muadilifu. La hasha! Magufuli hayupo hivyo, ni mnafiki  anayevaa ngozi ya kondoo kuwahadaa Watz. Ni fisadi na mpenda majungu  kupita kiasi. Magufuli anaweza kufanyia kazi hearsay as if amepewa  taarifa za kweli na zilizothibitishwa, inategemea nani kawahi kumpa  majungu na ni nani kwake.
     
    Kuondolewa kwa Mkurugenzi mkuu wa TBA Bw. Kimweri kulianza kama mchezo.  Chokochoko ilianzia kwa mtumishi mmoja wa idara ya uhasibu Bw. Kapongo  ambaye ni jamaa yake Magufuli, wengine wanasema ni mjomba wake alipopewa  uhamisho kwenda Wizarani baada ya kuwepo kutoelewana na wafanyakazi  wenzie. Kapongo alipopata barua ya uhamisho alianza kuwapiga mkwara  wenzie kuwa wasubiri watakiona cha mtema kuni Waziri Magufuli akirudi  toka bungeni, kwamba wamefanya kosa kumhamisha. Ukweli ni kwamba Kapongo  hana sifa na hata wenzie wana-doubt kama ana cheti hata cha form IV tu  achilia mbali cha taaluma ya uhasibu. Maana hajuwi kazi yoyote zaidi ya  kusaini cheque tu, hata kuandaa vote book hafahamu!
     
    Magufuli alipoingia Dar toka bungeni Dodoma, Kapongo kwa kuujua udhaifu  wa Waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi wake  aitwaye Lyatuu na nyinginezo (God knows kama ni za kweli au si za  kweli!) akamjaza maneno mengi sana kuwa Bosi wake Bw. Lyatuu ni mwizi  sana anaiba pesa za Serikali etc. Magufuli bila kuuliza akatoa amri  Kapongo arudishwe TBA na akaufuta uhamisho wake, at the same time akatoa  amri kuwa kesho yake anataka Lyatuu aripoti Kigoma na Bw. Nsangalo  aliyekuwa Mwanza aripoti Dar haraka sana. Bw. Kapongo aliporudishwa TBA  akawatambia wenzie kuwa "si nilisema? Mmeona nini kimefanyika?". Baada  ya tukio hilo ambalo Magufuli hakumshirikisha Katibu Mkuu wake wala  Naibu katibu Mkuu wake, Bw. Kimweri alimuandikia barua Kapongo ya utovu  wa nidhamu, kwa kitendo chake cha kuruka ngazi zote hadi kwa Waziri  ilhali uongozi wa TBA haufahamu kama kulikuwa na matatizo hayo aliyodai  Kapongo. 
     
    Mbaya zaidi wiki iliyopita mwishoni baada ya kupokea barua toka kwa CEO  wake Kimweri, Kapongo aliibeba barua hiyo na kwenda moja kwa moja kwa  Magufuli kushtaki, kuwa Kimweri kamwandikia barua ya kumuonya. Magufuli  bila kuuliza kitu alifunga safari hadi TBA, ambako aliingia kwa mkwara  mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi, alipofika mlangoni  akafungua mlango kwa kuupiga teke. Akamaka "TBA mmejaa majizi matupu,  hili lijizi likubwa liko wapi&#8230;" maneno hayo aliyaropoka mbele ya  wafanyakazi waliopigwa na butwaa. 
     
    Akapiga simu kwa Katibu Mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka  kumuona Bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya  wafanyakazi kuwa akiamka kesho yake Kimweri u-CEO atausikia tu. Kwakweli  ilikuwa ni hali ya udhalilishaji kazini na mtu kama Magufuli kwa nafasi  yake hakupaswa ku-handle situation hiyo kwa staili ya mithili ya mtu  aliyepagawa.
     
    Kweli, kesho yake Magufuli akatoa amri Bw. Kimweri aondolewe TBA na  kupelekwa wizarani na nafasi yake akakaimishwa msaidizi wake. Kama  haitoshi sasa Magufuli anampigia debe swahiba wake aitwaye Mwakalinga  ndio achukue nafasi ya Kimweri. Mwakalinga ambaye hana uwezo wa kushika  nafasi hiyo jina lake kalipeleka kwenye Bodi na Bodi imekataa kupitisha  jina hilo. 
     
    Bodi ya wakandarasi sasa inatishia kufanya mgomo kupinga maamuzi ya  kidikteta ya Magufuli. Hali si shwari tena TBA, ukali na njia anazotumia  Magufuli bila utaratibu zinawafanya watu kuwa waoga, maana hawajuwi  nani atasingiziwa nini wapi iwapo watatofautiana na Waziri wao. Magufuli  anampigia debe Mwakalinga kwa sababu ya uswahiba walio nao na pia kwa  sababu huyo Mwakalinga kwa kushirikiana na Kapongo ndio waliomjengea  nyumba yake. 
     
    Magufuli ili awe kiongozi mzuri inabidi afuate taratibu na sheria  zilizopo, kama kuna wizi umefanyika anapaswa kuitisha Auditing team  kubaini tatizo na si kukurupuka tu kwa majungu anayopelekewa na kuumiza  wengine wasio na hatia. Mbona yeye mwenyewe ni fisadi? Kiongozi  anayetumia nafasi yake vibaya ni ufisadi. 
     
    Magufuli ameshindwa kuangalia rekodi ya utendaji kazi ya Bw. Lyatuu  ambaye tangu ameshika nafasi hiyo TBA ameingiza miradi mingi na fedha  nyingi kuliko alipokuwepo Bw. Nsangano (aliyerudishwa tena) aliyeiacha  TBA na sh. 4m tu wakati Lyatuu ameiinua TBA kwa ukusanyaji mzuri wa  madeni na kutafuta miradi inayoifanya TBA kujiendesha yenyewe. Magufuli  amemrudisha Nsangalo aliyeshindwa kabla na ambaye hana PR yoyote  kuwezesha TBA kupata miradi na kujiendesha. Alipohamishiwa Mwanza TBA  huko imekufa, haina kitu kabisa na sasa kamrudisha Dar aiue pia.
     
    Magufuli tutamuamini vipi kuwa ni msafi baada ya kujijengea magorofa  manne (4) yaliyopo kitalu 172 Upper Kinondoni, magorofa aliyojengewa kwa  msaada wa Mwakalinga na Nsangalo, magorofa aliyowapangisha Wakandarasi  aliowapa kazi mwenyewe! Magufuli anawezaje kufuta hisia zetu kuwa  hachukuwi 10% za wakandarasi hao? 
     
    Ndio maana pia Magufuli aliharakisha zoezi la kumuondoa Ephraem Mrema wa  TANROADS, aliyetengenezewa zengwe na aliyekuwa Katibu Mkuu wa  Miundombinu by then Bw. Omar Chambo na kumpa nafasi hiyo Bw. Mfugale &#8211;  swahiba wake pia. Ndio maana hadi leo TANROADS tangu aondoke Mrema bado  hakujatulia. Hii ni kwasababu ya maamuzi yasiyozingatia sheria ya  watawala wetu wanaoangalia interest zao kwanza. This is not health for  our country's development.
     
    Magufuli anapaswa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo  akishauriana na subordinates wake kama Katibu Mkuu, naibu katibu Mkuu,  Menejimenti, Bodi etc. alichokifanya TBA is very unethical and it is  against good governance and rule of law. 
     
    Kwani mtu kama Kapongo kama si majungu baada ya matukio hayo hakupaswa  kumrudisha tena TBA, ambako hata yeye amechangia machafuko. Kama ni  kuhamisha alipaswa ahamishe wote, kumrudisha Kapongo TBA tafsiri yake ni  nini? Vyombo vinavyohusika fuatilieni hili na mtabaini mengi yaliyo  nyuma ya pazia. 
     
    Hayo ni maoni yangu.    Suala la magufuli kupewa ten percent kwenye miradi ya barabara limekuwa likitajwa tajwa mara nyingi, inawezekana ni kweli.
     
    Hata hivyo hili la udikteata na kuhamisha watu linahitaji ufuatiliaji  zaidi manake isije kuwa mdau unayelalamika nawe ni muathirika wa  kumbakumba ya magufuli. Nadhani ukweli utajulikana tu muda si mrefu  ngoja tuuutafute.     Like   "Information is just on your finger tips, use it and be useful in your society".        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          UmkhontoweSizwe      22nd August 2011 08:21 PM   #10                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 19th December 2008Posts : 558 Rep Power : 								24        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Mkuu,  inawezekana kweli kuna jambo hapo, lakini jinsi ulivyoipresent hii  issue inaonekana kama una chuki binafsi na Magufuli. Mtu akisoma aya ya  kwanza tu ya story yako, kabla hata hujaeleza kisa chenyewe, anagundua  moja kwa moja kwamba wewe na Magufuli ni mbalimbali. Pre-judgemental  presentation imekuinflunce sana ktk kuileta hii habari. Sielewi kama  kweli umemtendea haki Magufuli.     Like   "Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely." (Lord Acton, 1887)        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          The Priest      22nd August 2011 08:26 PM   #11                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 8th December 2010Location : KimanzichanaPosts : 471 Rep Power : 								21        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Mtaisha wote!mmetafuna sn nchi yetu,mkipewa demo ndio mnajua kama kuna kanuni na taratibu ktk ajira,magufuli safi sana.big up!     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Arafat      22nd August 2011 08:48 PM   #12                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Premium Member 					               Join Date : 17th November 2009Posts : 1,838 Rep Power : 								25        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Sijaelewa  hapa, ina maana Magufuri yupo juu ya sheria? au una maana hao  uliowataja ndio hawajui haki zao? na kama kumwamisha mtu kwenda Kigoma  kuna ubaya gani?
     
    Kuhusu swala la Mrema si kweli kwamba aliondolewa na Magufuri wala  Magufuri hakuwa na uwezo huo ni nyie mnaoongea mambo ya mtaani ndio  mnapindisha ukweli, ni kweli kuwa Mrema hakuwa na kosa lolote na pia  alikuwa mtendaji mzuri lakini ujuwe kuwa muda wa mkataba wake TANROADS  uliisha hata kabla ya Uchaguzi ni kwa vile Rais alisitisha mchakato wa  kujaza nafasi yake ili kupisha uchaguzi hivyo ilikuwa ni lazima baada ya  uchaguzi nafasi ijazwe, sheria ilikuwa inaruhusu extension ya mkataba  ila tayari jamii ilikwisha potoshwa mengi juu ya Mrema na watu kama wewe  wanaoongea bila kujuwa ukweli.
     
    Unachosema hapa hakitoshi kumtoa CE wa Agency, ujuwe kuwa CEO wa Agency  siyo mfanyakazi wa wakawaida wa Wizara hivyo hawezi kuamishiwa wizarani  maana anafanya kazi kwa mkataba maalum, labda rudi utafute ukweli zaidi  utuelete, maana hapa umechanganya ukweli na uongo kwahiyo habari nzima  imekuwa uongo. Huyo CEO ama hana qualification au kuna kosa lilofanya  ambalo wewe ulijui maana yeye na Magufuli wapo sawa kimadaraka na  kisheria hakuna ambaye anaweza kunyea mwingine kiasi hicho kama hakuna  mkondo wa sheria uliopita hapo. 
     
    Ni kweli ni Magufuri ni Bogus lakini unayosema hapa hayawezekani hata  siku mmoja katika ofisi ya Umma, hata kama ungesema amemfanyia house boy  wake bado ningeshangaa maana nao wana haki zao     Like   [CENTER]He  that would make his own liberty secure, must guard even his enemy from  opposition; for if he violates this duty he establishes a precedent that  will reach himself[/CENTER]        Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Mapujds      22nd August 2011 09:10 PM   #13                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 12th May 2011Location : Dar es salaamPosts : 855 Rep Power : 								22        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!      Samahani ndugu inaonekana kuna maslahi yako yamebanwa kulingana na  maamuzi ya magufuli.umeanza kwa chuki za waziwazi juu yake,hata kama ni  uswahiba yeye atawasimamia na watafanya kazi,uswahiba umejaa serikali  mfano wizara ya maliasili.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          FJM      22nd August 2011 09:21 PM   #14                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					                Join Date : 11th April 2011Posts : 1,392 Rep Power : 								26        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!           By Wanitakiani   Magufuli  alipoingia Dar toka bungeni Dodoma, Kapongo kwa kuujua udhaifu wa  Waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi ....
     Magufuli bila kuuliza kitu alifunga safari hadi TBA, ambako aliingia  kwa mkwara mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi, alipofika  mlangoni akafungua mlango kwa kuupiga teke. Akamaka "TBA mmejaa majizi matupu, hili lijizi likubwa liko wapi&#8230;" maneno hayo aliyaropoka mbele ya wafanyakazi waliopigwa na butwaa. Akapiga simu kwa Katibu Mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka kumuona Bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya wafanyakazi kuwa akiamka kesho yake Kimweri u-CEO atausikia tu
     .    Kwenye red: Burudani tosha kwangu.  Magufuli mwanaume sio hawa wanaoshindwa kufanya maamuzi magumu. Fanya  maaumizi na kama ni kulaumiwa ulaumiwe kuliko kukaa kimya. Hongera  Magufuli.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Rugas      22nd August 2011 09:40 PM   #15                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Senior Expert Member 					               Join Date : 8th January 2009Location : Arusha,TanzaniaPosts : 459 Rep Power : 								23             TAARIFA KWA MTOA MADA!CEO WA TBA,muda wa kukaa pale umeisha tangu mwaka  huu mwanzoni,na nafasi hiyo iliishatangazwa kwenye magazeti.kwa hiyo  kutolewa kwake sio kuonewa hata kidogo.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Magogwajr      22nd August 2011 10:03 PM   #16                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Senior Member 					               Join Date : 16th November 2010Location : Behind uPosts : 189 Rep Power : 								21        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!      whistle blower! Endelea kutupa detail hata km watu watakuwa wagumu  kuamini lakini kuna ukweli ktk baadhi ya mambo uliyosema. Me sio mara ya  kwanza kusikia hizo habari. Ya jairo yanafanyika hata kwa magufuli kila  idara inatenga 20 ml kusaidia kupitisha budget so hakuna msafi ccm wote  wezi tu.     Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Njowepo      22nd August 2011 10:11 PM   #17                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Premium Member 					                  Join Date : 26th February 2008Location : SantiagoPosts : 3,930 Rep Power : 								2031        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Isije ikawa Pombe amegusa maslai ya mtoa mada!
    Time will tell!     Like Shomari likes this.         Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          king11      22nd August 2011 10:23 PM   #18                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Senior Member 					               Join Date : 7th June 2010Posts : 90 Rep Power : 								22        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     lakini huna la kufanya kwani mkitaka kuhoji tu magufuli anamtishia rais kwamba yeye atajiuzulu na rais anamuogopa sana
     
    kumbukeni kipindi cha uteuzi wa chief Tanroads( bw.mfugale) alisema kama  si mfugale basi mr president mimi sitaki kuwa katika serikali yako na  ndivyo ilivyokuwa
          Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          LATTICE BOND      22nd August 2011 10:41 PM   #19                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						Senior Member 					               Join Date : 30th May 2011Posts : 57 Rep Power : 								21        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     Mtoa Mada
    Moja: article yako umeiandika kwa jazba.
    Mbili: maelezo yako yamekaa kimajungu pia.
    Tatu: TBA haijawahi kuwa na mafanikio kama unavyoinadi!! haiyumkini hata  humu jamvini kuna wachache saana wanaofahamu kazi za TBA!!!
    Kwa hayo matatu:- Si huyo Lyatuu wala hao unaowasema wameisogeza TBA!!  Kwa jinsi ninavyofahamu kazi za TBA nathubutu kusema kuwa utendaji wa  Taasisi hiyo ni Mzigo kwa walipa kodi wa nchi hii!!!
     
           By Wanitakiani   Bw.  John Pombe Magufuli amekosea! Tumesikia mabadiliko yaliyotokea katika  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuondolewa kwa CEO wake Bw. Makumba  Kimweri na kupelekwa Wizarani. Magufuli amejizolea sifa nyingi miongoni  mwa watz kama kiongozi mzuri na mchapakazi hasa kwa staili yake  anayoitumia ya ufuatiliaji na udikteta. Kwani wakati mwingine sifa hiyo  ni nzuri, lkn kuna nyakati inaweza pia kuleta madhara kwa sababu  haizingatii utawala wa sheria (rule of law). Magufuli kwa waliofanya  naye kazi kwa karibu wanaweza kukupa story tofauti na usiweze kuamini  kama huyu ndiye yule Magufuli anayepambanuliwa miongoni mwa viongozi  wengi kuwa ni muadilifu. La hasha! Magufuli hayupo hivyo, ni mnafiki  anayevaa ngozi ya kondoo kuwahadaa Watz. Ni fisadi na mpenda majungu  kupita kiasi. Magufuli anaweza kufanyia kazi hearsay as if amepewa  taarifa za kweli na zilizothibitishwa, inategemea nani kawahi kumpa  majungu na ni nani kwake.
     
    Kuondolewa kwa Mkurugenzi mkuu wa TBA Bw. Kimweri kulianza kama mchezo.  Chokochoko ilianzia kwa mtumishi mmoja wa idara ya uhasibu Bw. Kapongo  ambaye ni jamaa yake Magufuli, wengine wanasema ni mjomba wake alipopewa  uhamisho kwenda Wizarani baada ya kuwepo kutoelewana na wafanyakazi  wenzie. Kapongo alipopata barua ya uhamisho alianza kuwapiga mkwara  wenzie kuwa wasubiri watakiona cha mtema kuni Waziri Magufuli akirudi  toka bungeni, kwamba wamefanya kosa kumhamisha. Ukweli ni kwamba Kapongo  hana sifa na hata wenzie wana-doubt kama ana cheti hata cha form IV tu  achilia mbali cha taaluma ya uhasibu. Maana hajuwi kazi yoyote zaidi ya  kusaini cheque tu, hata kuandaa vote book hafahamu!
     
    Magufuli alipoingia Dar toka bungeni Dodoma, Kapongo kwa kuujua udhaifu  wa Waziri alimfuata akiwa na some docs zenye signature yake na bosi wake  aitwaye Lyatuu na nyinginezo (God knows kama ni za kweli au si za  kweli!) akamjaza maneno mengi sana kuwa Bosi wake Bw. Lyatuu ni mwizi  sana anaiba pesa za Serikali etc. Magufuli bila kuuliza akatoa amri  Kapongo arudishwe TBA na akaufuta uhamisho wake, at the same time akatoa  amri kuwa kesho yake anataka Lyatuu aripoti Kigoma na Bw. Nsangalo  aliyekuwa Mwanza aripoti Dar haraka sana. Bw. Kapongo aliporudishwa TBA  akawatambia wenzie kuwa "si nilisema? Mmeona nini kimefanyika?". Baada  ya tukio hilo ambalo Magufuli hakumshirikisha Katibu Mkuu wake wala  Naibu katibu Mkuu wake, Bw. Kimweri alimuandikia barua Kapongo ya utovu  wa nidhamu, kwa kitendo chake cha kuruka ngazi zote hadi kwa Waziri  ilhali uongozi wa TBA haufahamu kama kulikuwa na matatizo hayo aliyodai  Kapongo. 
     
    Mbaya zaidi wiki iliyopita mwishoni baada ya kupokea barua toka kwa CEO  wake Kimweri, Kapongo aliibeba barua hiyo na kwenda moja kwa moja kwa  Magufuli kushtaki, kuwa Kimweri kamwandikia barua ya kumuonya. Magufuli  bila kuuliza kitu alifunga safari hadi TBA, ambako aliingia kwa mkwara  mkali, alianza kutukana kuanzia nje ya ofisi, alipofika mlangoni  akafungua mlango kwa kuupiga teke. Akamaka "TBA mmejaa majizi matupu,  hili lijizi likubwa liko wapi&#8230;" maneno hayo aliyaropoka mbele ya  wafanyakazi waliopigwa na butwaa. 
     
    Akapiga simu kwa Katibu Mkuu wake akisema akifumba na kufumbua anataka  kumuona Bw. Nsangalo kakalia kiti chake. Aliendelea kubwata mbele ya  wafanyakazi kuwa akiamka kesho yake Kimweri u-CEO atausikia tu. Kwakweli  ilikuwa ni hali ya udhalilishaji kazini na mtu kama Magufuli kwa nafasi  yake hakupaswa ku-handle situation hiyo kwa staili ya mithili ya mtu  aliyepagawa.
     
    Kweli, kesho yake Magufuli akatoa amri Bw. Kimweri aondolewe TBA na  kupelekwa wizarani na nafasi yake akakaimishwa msaidizi wake. Kama  haitoshi sasa Magufuli anampigia debe swahiba wake aitwaye Mwakalinga  ndio achukue nafasi ya Kimweri. Mwakalinga ambaye hana uwezo wa kushika  nafasi hiyo jina lake kalipeleka kwenye Bodi na Bodi imekataa kupitisha  jina hilo. 
     
    Bodi ya wakandarasi sasa inatishia kufanya mgomo kupinga maamuzi ya  kidikteta ya Magufuli. Hali si shwari tena TBA, ukali na njia anazotumia  Magufuli bila utaratibu zinawafanya watu kuwa waoga, maana hawajuwi  nani atasingiziwa nini wapi iwapo watatofautiana na Waziri wao. Magufuli  anampigia debe Mwakalinga kwa sababu ya uswahiba walio nao na pia kwa  sababu huyo Mwakalinga kwa kushirikiana na Kapongo ndio waliomjengea  nyumba yake. 
     
    Magufuli ili awe kiongozi mzuri inabidi afuate taratibu na sheria  zilizopo, kama kuna wizi umefanyika anapaswa kuitisha Auditing team  kubaini tatizo na si kukurupuka tu kwa majungu anayopelekewa na kuumiza  wengine wasio na hatia. Mbona yeye mwenyewe ni fisadi? Kiongozi  anayetumia nafasi yake vibaya ni ufisadi. 
     
    Magufuli ameshindwa kuangalia rekodi ya utendaji kazi ya Bw. Lyatuu  ambaye tangu ameshika nafasi hiyo TBA ameingiza miradi mingi na fedha  nyingi kuliko alipokuwepo Bw. Nsangano (aliyerudishwa tena) aliyeiacha  TBA na sh. 4m tu wakati Lyatuu ameiinua TBA kwa ukusanyaji mzuri wa  madeni na kutafuta miradi inayoifanya TBA kujiendesha yenyewe. Magufuli  amemrudisha Nsangalo aliyeshindwa kabla na ambaye hana PR yoyote  kuwezesha TBA kupata miradi na kujiendesha. Alipohamishiwa Mwanza TBA  huko imekufa, haina kitu kabisa na sasa kamrudisha Dar aiue pia.
     
    Magufuli tutamuamini vipi kuwa ni msafi baada ya kujijengea magorofa  manne (4) yaliyopo kitalu 172 Upper Kinondoni, magorofa aliyojengewa kwa  msaada wa Mwakalinga na Nsangalo, magorofa aliyowapangisha Wakandarasi  aliowapa kazi mwenyewe! Magufuli anawezaje kufuta hisia zetu kuwa  hachukuwi 10% za wakandarasi hao? 
     
    Ndio maana pia Magufuli aliharakisha zoezi la kumuondoa Ephraem Mrema wa  TANROADS, aliyetengenezewa zengwe na aliyekuwa Katibu Mkuu wa  Miundombinu by then Bw. Omar Chambo na kumpa nafasi hiyo Bw. Mfugale &#8211;  swahiba wake pia. Ndio maana hadi leo TANROADS tangu aondoke Mrema bado  hakujatulia. Hii ni kwasababu ya maamuzi yasiyozingatia sheria ya  watawala wetu wanaoangalia interest zao kwanza. This is not health for  our country's development.
     
    Magufuli anapaswa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo  akishauriana na subordinates wake kama Katibu Mkuu, naibu katibu Mkuu,  Menejimenti, Bodi etc. alichokifanya TBA is very unethical and it is  against good governance and rule of law. 
     
    Kwani mtu kama Kapongo kama si majungu baada ya matukio hayo hakupaswa  kumrudisha tena TBA, ambako hata yeye amechangia machafuko. Kama ni  kuhamisha alipaswa ahamishe wote, kumrudisha Kapongo TBA tafsiri yake ni  nini? Vyombo vinavyohusika fuatilieni hili na mtabaini mengi yaliyo  nyuma ya pazia. 
     
    Hayo ni maoni yangu.         Like          Reply    Reply With Quote         					  					 					      					   					 					 					 					 			          Godwine      22nd August 2011 10:46 PM   #20                                                                                                                           					 				       					                                                                                                                                                                                                               						JF Premium Member 					               Join Date : 15th January 2010Location : darPosts : 844 Rep Power : 								23        Re: Kwa hili la TBA Mhe. Magufuli umekosea!     napita  wakuu     Like
              Reply    Reply With Quote
    Hupo hapo
 
[Magufuli naye yumo kwenye list of shame!!!!
CCM kwisha.]
TBA, CEO Architect Mkumba Togolai Kimweri had to go!
Dr. John Pombe Magufuli, Mwalimu wa Kemia, atamwaminije mtu aliyetoa siri kuwa Bw. Pombe (wakati huo hajawa daktari wa falsafa ktk Kemia), amemuuzia nyumba kidumu wake(ukipenda ita nyumba ndogo), wakati wa himaya ya Dr. Benjamin William Mkapa, Ph.D., honoris causa, OUT?
Unajua sifa za ziada zilizowafanya Naibu Katibu Mkuu (Dr. Ndunguru) na Tanroads CEO (Eng. Mfugale) wapate vyeo?

KILA SIKU ASUBUHI WALIKUWA WANAENDA KUMSALIMIA MZEE Pombe OFISINI, KABLA YA KUANZA KAZI,call it PROFESSIONAL BOOTLICKING!

Eng. Mfugale is a good engineer, but the same can not be said about Eng. Dr. Ndunguru, a former boss of the LONG TIME DEAD TEMESA.

Watanganyika tuna laana. Tunawezaje kumsifia Dr. John Pombe Magufuli aliyesimamia uuzaji wa NYUMBA ZETU ZA OYSTERBAY na kwingineko Tanzania?

Uliza kabla ya Dr. JP Magufuli kuwa Naibu Waziri alikuwa wapi akiwa na nini! Compare with what and who he is now? A real millionare in dollar currency!

Magufuli ni fisadi na mtu anayejikomba sana kwa wakubwa zake! Daraja la Rufiji kaliita MKAPA BRIDGE, wakati pesa za kulijenga zilitafutwa na Rais Mzee Alli Hassan Mwinyi. Lile la Malagarasi kakimbilia kuliita KIKWETE BRIDGE! What is your reading in those matters?

That my friends is called BOOTLICKING,
and there is a reason for that; KUFICHA MADHAMBI, kama yale ya kumuuzia mwanamke wake wa nje ya ndoa nyumba ya Serikali, ambayo sasa imemuondoa CEO Kimweri kazini na kuanzisha thread hii.

Talk of clean people in CCM!
 
[Magufuli naye yumo kwenye list of shame!!!!
CCM kwisha.]
TBA, CEO Architect Mkumba Togolai Kimweri had to go!
Dr. John Pombe Magufuli, Mwalimu wa Kemia, atamwaminije mtu aliyetoa siri kuwa Bw. Pombe (wakati huo hajawa daktari wa falsafa ktk Kemia), amemuuzia nyumba kidumu wake(ukipenda ita nyumba ndogo), wakati wa himaya ya Dr. Benjamin William Mkapa, Ph.D., honoris causa, OUT?
Unajua sifa za ziada zilizowafanya Naibu Katibu Mkuu (Dr. Ndunguru) na Tanroads CEO (Eng. Mfugale) wapate vyeo?

KILA SIKU ASUBUHI WALIKUWA WANAENDA KUMSALIMIA MZEE Pombe OFISINI, KABLA YA KUANZA KAZI,call it PROFESSIONAL BOOTLICKING!

Eng. Mfugale is a good engineer, but the same can not be said about Eng. Dr. Ndunguru, a former boss of the LONG TIME DEAD TEMESA.

Watanganyika tuna laana. Tunawezaje kumsifia Dr. John Pombe Magufuli aliyesimamia uuzaji wa NYUMBA ZETU ZA OYSTERBAY na kwingineko Tanzania?

Uliza kabla ya Dr. JP Magufuli kuwa Naibu Waziri alikuwa wapi akiwa na nini! Compare with what and who he is now? A real millionare in dollar currency!

Magufuli ni fisadi na mtu anayejikomba sana kwa wakubwa zake! Daraja la Rufiji kaliita MKAPA BRIDGE, wakati pesa za kulijenga zilitafutwa na Rais Mzee Alli Hassan Mwinyi. Lile la Malagarasi kakimbilia kuliita KIKWETE BRIDGE! What is your reading in those matters?

That my friends is called BOOTLICKING,
and there is a reason for that; KUFICHA MADHAMBI, kama yale ya kumuuzia mwanamke wake wa nje ya ndoa nyumba ya Serikali, ambayo sasa imemuondoa CEO Kimweri kazini na kuanzisha thread hii.

Talk of clean people in CCM!

Huyo ndio magufuli! ukitaka akupende na akubebe msifie kidogo tu, lkn ukionyesha kutokubaliana naye kwenye chochote the next morning u r gone!
 
TBA haina jipya, pia majungu huanzishwa na maCEO acha naye yampate kwani hata mimi nilifukuzwa kazi serikalini kwa majungu ya CEO aliyapeleka kwa Katibu Mkuu wizarani, ndo zao, kwani akifanya kazi wizarani anapungukiwa na nini kama si wizi mtupu
 
Back
Top Bottom