Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />TAARIFA KWA MTOA MADA!CEO WA TBA,muda wa kukaa pale umeisha tangu mwaka huu mwanzoni,na nafasi hiyo iliishatangazwa kwenye magazeti.kwa hiyo kutolewa kwake sio kuonewa hata kidogo.
<br />Habari imejaa chuki binafsi dhidi ya Magufuli.
Umentia shaka sana baada ya kumtaja E.MREMA kuwa ni mtu muadilifu aliyekumbwa na kumbakumba ya Magufuli....Kwani si ndo aliyekuwa akituhumiwa kwa ufisadi ndani TANROADS?au nimechanganya mambo!
Habari imejaa chuki binafsi dhidi ya Magufuli.
Sijaelewa hapa, ina maana Magufuri yupo juu ya sheria? au una maana hao uliowataja ndio hawajui haki zao? na kama kumwamisha mtu kwenda Kigoma kuna ubaya gani?
Kuhusu swala la Mrema si kweli kwamba aliondolewa na Magufuri wala Magufuri hakuwa na uwezo huo ni nyie mnaoongea mambo ya mtaani ndio mnapindisha ukweli, ni kweli kuwa Mrema hakuwa na kosa lolote na pia alikuwa mtendaji mzuri lakini ujuwe kuwa muda wa mkataba wake TANROADS uliisha hata kabla ya Uchaguzi ni kwa vile Rais alisitisha mchakato wa kujaza nafasi yake ili kupisha uchaguzi hivyo ilikuwa ni lazima baada ya uchaguzi nafasi ijazwe, sheria ilikuwa inaruhusu extension ya mkataba ila tayari jamii ilikwisha potoshwa mengi juu ya Mrema na watu kama wewe wanaoongea bila kujuwa ukweli.
Unachosema hapa hakitoshi kumtoa CE wa Agency, ujuwe kuwa CEO wa Agency siyo mfanyakazi wa wakawaida wa Wizara hivyo hawezi kuamishiwa wizarani maana anafanya kazi kwa mkataba maalum, labda rudi utafute ukweli zaidi utuelete, maana hapa umechanganya ukweli na uongo kwahiyo habari nzima imekuwa uongo. Huyo CEO ama hana qualification au kuna kosa lilofanya ambalo wewe ulijui maana yeye na Magufuli wapo sawa kimadaraka na kisheria hakuna ambaye anaweza kunyea mwingine kiasi hicho kama hakuna mkondo wa sheria uliopita hapo.
Ni kweli ni Magufuri ni Bogus lakini unayosema hapa hayawezekani hata siku mmoja katika ofisi ya Umma, hata kama ungesema amemfanyia house boy wake bado ningeshangaa maana nao wana haki zao
Penye blue pamenistua sana. Kuna kila dalili kwamba Magufuli amekugusa pabaya....... any way sisi masikio yetu, tutasikia akiwajibishwa maana kama kweli hafuati utawala wa sheria lazima itakula. Unajua nimejiuliza sana yaani magufuli katukana na kupiga teke milango ya serikali???????? This is too much bwana.[/QUOTE
Hapo penye blue ulipopa-cite hata mimi kwa kweli pamenishtua!! sipati picha, waziri anayeheshimika anafika kwenye ofisi halafu anapiga teke mlango huku akimwaga matusi???!!! gimme a break banaa!!! is it possible? am afraid kwamba mengi yaliyoelezwa hata kama ni ya kweli lakini yameongezwa chumvi!! Also, jinsi story yenyewe ilivyotolewa haioneshi kulenga kutoa taarifa kwa wadau bali inaonekana ni kama inayolenga kutaka kuongea mambo on behalf ya wale waliokuwa wanatakiwa kutoa kilio hicho! it sounds like mtoa mada ameathirika kutokana na kuondolewa kwa wale walioondolewa na magufuri----it's like ana maslahi nao fulani! anyway, inawezekana kilichoongelewa ni sahihi but my concern is over the tone of the writer!
TAARIFA KWA MTOA MADA!CEO WA TBA,muda wa kukaa pale umeisha tangu mwaka huu mwanzoni,na nafasi hiyo iliishatangazwa kwenye magazeti.kwa hiyo kutolewa kwake sio kuonewa hata kidogo.
Na wewe "mwanitakiani", hayo yote uliyoyaeleza yakitokea ulikuwa ukifatana na magufuli bega kwa bega au ndio majungu yasiyo na mpango hayo? msituletee humu fitina zenu za kijinga. Unaelezea habari za watu kama upo nao bega kwa bega yanapotokea yote hayo? Huu ni umbea na usengenyaji wa hali ya juu.
Zomba mimi sina maslahi yoyote, mwenyewe pia nilipata mshtuko kwa mtu mzito kama yule kutatua matatizo kwa namna ile japo najua ndio tabia yake, ila last week alizidisha kwa sababu haikuwa siri. Nakushauri ufanye utafiti mdogo tu juu ya hilo linaloongelewa. Mtu akifanya vizuri asifiwe na akikosea akosolewe pia hata kama unampenda kiasi gani! Kwa kufanya hivyo ndio utamsaidia.
Kwani kuna mtu amewahi kusema Magufulu ni muadilifu? Muadilifu angesimamia wizi wa nyumba za serikali? Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa muadilifu na kuwa mchapa kazi!
unaweza kufupisha mkuu? All in all magufuli ni mtu makini sana
i dont think as you explained
anyway wakuu watasema
Haya na yawe majungu hebu jibu yafuatayo:Hamna cha utafiti wala nini, hayo ni majungu yasiyo na mpamgo. Hivi unakaa kufanya utafiti wa kusengenya mtu? badala ya kuwa busy kufanya utafiti wa kulisaidia taifa au kujisaidia mwenyewe> Mtaacha lini nyinyi kuwa na akili hizi mbovu na kuanza kuwa straight? kwani huko hamna wizi kweli? wizi watupu. mnaididimiza nchi kwa kufata maslahi yenu kiwizi na kusengenyana na kutiliana fitna na majungu kila kukicha, watu kama wewe hawatoki kwa sangoma kuroga wenzao. Wanasema "akumulikae mchana usiku atakuchoma", hao ndio watu kama wewe, wanaoacha kazi zao wakaanza kumulika ya watu. halafu unasema nakwenda kazini kufanya kazi kumbe anaemda kufanya umbea na kuja kulalamika JF. Huoni hata haya wala hujui vibaya? kuchunguza wenzako na kuwasengenya ni kama kula nyama ya nduguyo.