Kwa hili la simu, Anne Makinda ameonewa..!

Kwa hili la simu, Anne Makinda ameonewa..!

Maggid,
What is a parliament?
The House of Commons (Bunge) is the democratically elected house of the UK Parliament, responsible for making laws and checking the work of Government House of Commons Information Office - UK Parliament

Sasa Maggid demokrasia haiishii wakati wa kumaliza uchaguzi wa Wabunge kwa kura, bali demokrasia ni muendelezo toka kumalizika kwa kura na pia Spika, wabunge, kamati za bunge kuendelea kupata mrejesho toka kwa wapiga kura kwa njia mbalimbali iwe mikutano kati ya mbunge na wapiga kura, kuwasiliana/kupokea mrejesho kwa barua-pepe, simu, txt-msg, maandamano, JF n.k listi ni ndefu.

Hivyo CHADEMA na wananchi wanaompatia Spika na Naibu spika mrejesho kwa njia ya aina yoyote ile ni haki ya kidemokrasia, maana demokrasia haihitimishwi na kumalizika zoezi la kura bali ni zoezi endelevu la kuwashirikisha wapiga kura kwa kama nilivyoainisha ktk para hapo juu.

Pia kuonesha Bunge live ni sehemu ya zoezi endelevu la demokrasia ya wapiga kura kupata mrejesho wa nini wabunge wao wanafanya Bungeni.
 
viongozi wa chadema walitoa namba ya simu ya spika na naibu spika(kama viongozi wa bunge) wa bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania sio kama ana makinda na ndugai,,,,,,na hizo namba ziko kwenye tovuti ya bunge,,,so acheni kelele ujumbe umefika kwa wahusika maana hii nchi inaendeshwa kihuni
 
unachoandika mkuu mjengwa ni kujaribu kuangalia maumivu ya upande mmoja, kumbuka wananchi wamechoshwa na huu uhaini wa spika, kama tutakubali huyu mama awe untouchable tutaangamiza taifa , rejea hotuba ya zitto mwembe yanga.Ni vema madamu speaker akaelewa kwamba jamii inachukizwa na utawala wake pale mjengoni.Hata wiki haijaisha tangu atoe habari kuwa ametukanwa, jana ofisi yake imetoka na single mpya NO LIVE COVERAGE ON BUNGE NEWS, hiki wanachokifanya hakina tofauti na hao wanaoandika sms kumtukana, kumbuka na yeye tayari kawatukana watanzania kwa kutunyima haki ya kikatiba ya kupata habari.Mr. mjengwa huyu madam speaker ana shida kubwa na totally ameshindwa kutoa proof kwa usemi wao kuwa Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.Kumbe wanawake hata wakiwezeshwa hawawezi, hilo hata wanawake wenzake wamekubali kuwa HAJAWAWAKILISHA vilivyo.

anamtetea mnyarukolo mwenzake!
 
Inafika wakati journalist wa Tanzania japo muende shule mfunguke. Nafurahishwa sana na journalist wa Kenya, they are very analytical. Kama hujagundua watu wengi siku hizi tunapenda sana kuangalia taarifa za Habari toka Kenya kuliko hata Tanzania. Hebu tizana interview zinazofanywa na waandishi wa habari wa ITV, TBC nk. mambo ya kupiga vi certificate na Diploma au kuwa MC tu wa Mharusi afu unakua mtangazaji kama kina Kibonde mnatuangausha sana watanzania hasa tunapokuaa ktk zama hizi za kutegemea role ya media toward social and democratic advancement
 
unachoandika mkuu mjengwa ni kujaribu kuangalia maumivu ya upande mmoja, kumbuka wananchi wamechoshwa na huu uhaini wa spika, kama tutakubali huyu mama awe untouchable tutaangamiza taifa , rejea hotuba ya zitto mwembe yanga.Ni vema madamu speaker akaelewa kwamba jamii inachukizwa na utawala wake pale mjengoni.Hata wiki haijaisha tangu atoe habari kuwa ametukanwa, jana ofisi yake imetoka na single mpya NO LIVE COVERAGE ON BUNGE NEWS, hiki wanachokifanya hakina tofauti na hao wanaoandika sms kumtukana, kumbuka na yeye tayari kawatukana watanzania kwa kutunyima haki ya kikatiba ya kupata habari.Mr. mjengwa huyu madam speaker ana shida kubwa na totally ameshindwa kutoa proof kwa usemi wao kuwa Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.Kumbe wanawake hata wakiwezeshwa hawawezi, hilo hata wanawake wenzake wamekubali kuwa HAJAWAWAKILISHA vilivyo.

Naunga mkono hoja zako. Upo sahihi kabisa. Hapo majjid mjengwa ameteleza. Msamehe.
 
Maggid,
What is a parliament?
The House of Commons (Bunge) is the democratically elected house of the UK Parliament, responsible for making laws and checking the work of Government House of Commons Information Office - UK Parliament

Sasa Maggid demokrasia haiishii wakati wa kumaliza uchaguzi wa Wabunge kwa kura, bali demokrasia ni muendelezo toka kumalizika kwa kura na pia Spika, wabunge, kamati za bunge kuendelea kupata mrejesho toka kwa wapiga kura kwa njia mbalimbali iwe mikutano kati ya mbunge na wapiga kura, kuwasiliana/kupokea mrejesho kwa barua-pepe, simu, txt-msg, maandamano, JF n.k listi ni ndefu.

Hivyo CHADEMA na wananchi wanaompatia Spika na Naibu spika mrejesho kwa njia ya aina yoyote ile ni haki ya kidemokrasia, maana demokrasia haihitimishwi na kumalizika zoezi la kura bali ni zoezi endelevu la kuwashirikisha wapiga kura kwa kama nilivyoainisha ktk para hapo juu.

Pia kuonesha Bunge live ni sehemu ya zoezi endelevu la demokrasia ya wapiga kura kupata mrejesho wa nini wabunge wao wanafanya Bungeni.

Naunga mkono hoja zako 100%

 
Hili ni tusi kwa wanaume, yaani uwe na hisia za ngono kwa mama Makinda?. Maggid unamsafisha Makinda kwa kutumia maji taka. Najua mnatoka wote sehemu moja.
 
Ndugu zangu,

Nimesoma maoni yote. Nimependezwa na tunavyoutumia vema uhuru wetu wa kujieleza. Katika haya yote kuna kukubaliana na kutokubaliana kwenye baadhi ya maeneo. Na hii ndio demokrasia. Kuna hata waliopata nafasi ya kupunguza frustrations zao kwa kunishambulia na hata kunitukana mimi binafsi, nao pia walihitaji hilo ili waende mbele.

Kwangu mimi sina tatizo na hata anayeamua kunitukana kuanzia sentesi ya kwanza hadi ya mwisho, na nitahakikisha, kuwa nitasoma yote, maana, naamini, hata kwenye lugha ya matusi kuna ya kujifunza. Kama ukisoma kwa makini.
Na kejeli nyingine kwangu zimenivunja mbavu kwa kucheka. Hakika watu wanajua kukejeli!
Sijaufunga mjadala.
Jioni Njema.:target:
Maggid,
Iringa.
 
Mjengwa wewe ni mnafiki sana tu sasa hivi tangu Mwangosi ametutoka umekuwa ukifanya mambo mengi kinafiki sana hapa Mkoani kwetu sijui unataka kurithi nn mana hata ueleweki.Dhihaka zako na unafiki wako una mwisho. Juu ya mada husika huo uungwana umeuvaa lini umejadili mwenyewe na umetoa suluhisho mwenyee binafsi nakuona nawe ni pumbala tu sijui ata kwenye blog yako kama bado unaendeleza unafiki mana nimeacha kuitembelea baada ya kuona unafiki umezidi
 
Hivyo, unapotoa hadharani namba ya simu ya mkononi ya mwanamke, basi, unaweza pia kumuingiza katika hatari ya kupokea simu za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya wanaume. Wako wapi wanaharakati wa haki za kibinadamu na kijinsia wa kumtetea Anne Makinda?

Mjengwa umetumwa? Makala yako inatoa picha kuwa wanawake (wa Tanzania?) hawana uwezo kwa sababu tu ya jinsia yao, hivyo they should be handled with care! Kuna kudhalilisha wanawake zaidi ya hapo?

Labda nikukumbushe, maamuzi ya kimagumashi anayofanya Makinda (mwanamke) yanawaathiri wanawake pengine zaidi kuliko wanaume. Mfano moja ya hoja binafsi zilizondolewa ni ile ya maji. Hivi kuna wahanga wa maji zaidi ya wanawake?

Na katika hali ya masikitiko, mbunge wa kwanza kuchangia kwa kuunga mkono utendaji mbovu wa wizara ya maji ni mwanamke - Zarina Madabiba (CCM-viti maalum). Hawa ndio wanaimba kila siku kuwa wanawake wakiwezeshwa wanaweza, lakini wakifika bungeni wanasahau yote.

Makinda kama mwanamke amefanya nini kuwasadia wanawake wenziwe? U-spika ni nafasi kubwa sana na ikitumiwa vizuri inaweza kuleta mabadiliko makubwa katika jamii. Makinda amefanya nini tangu awe Spika 2011? Wanawake wa Tanzania wana cha kumshukuru huyu mama?
 
Menyekiti Maggid, Sikutegemea wewe, Kama mkufunzi, kuandia article hii.
 
Na katika hili kinachonisikitisha zaidi ni ukweli kuwa, anayeumia ni mwananchi mnyonge aliyetuma sms ya matusi kwa Anne Makinda. Na sasa wanadakwa mmoja baada ya mwingine kwa vile namba zao zimesajiliwa. Hawa wanyonge watafunguliwa mashtaka na kuna watakaoingia gerezani. Kama kijana yule mwanajeshi wa Arusha, ambaye akiwa kwenye sare ya jeshi alionyesha alama ya Chadema akiwa kwenye picha na viongozi wa Chadema. Naye yuko jela sasa. Wakati haya yakiwatokea wanyonge , waheshimiwa wenye kutaja namba za simu za waheshimiwa wenzao hadharani, wataendelea ' kusakata-rhumba' - Kwa Raha Zao!

Maggid

Nime jitahidi nisi comment kwenye topic ya kitoto kama hii ila ume nilazimisha.
Kuna kosa gani kwa yule "mwanajeshi" kupiga picha na viongozi wa chadema na kuonesha
alama ya "V"?

Kafungwa,sawa,kwanini yule polisi wa morogoro aliye kua ana gombea nafasi ya uongozi
ccm hajafungwa na bado ni polisi?

Jibu ni moja tu,nyie mabwanyenye ni waonevu,mkiambiwa ukweli mkun** inawasha mnaanza kubweka.
 
Mjengwa umetumwa? Makala yako inatoa picha kuwa wanawake (wa Tanzania?) hawana uwezo kwa sababu tu ya jinsia yao, hivyo they should be handled with care! Kuna kudhalilisha wanawake zaidi ya hapo?

Labda nikukumbushe, maamuzi ya kimagumashi anayofanya Makinda (mwanamke) yanawaathiri wanawake pengine zaidi kuliko wanaume. Mfano moja ya hoja binafsi zilizondolewa ni ile ya maji. Hivi kuna wahanga wa maji zaidi ya wanawake?

Na katika hali ya masikitiko, mbunge wa kwanza kuchangia kwa kuunga mkono utendaji mbovu wa wizara ya maji ni mwanamke - Zarina Madabiba (CCM-viti maalum). Hawa ndio wanaimba kila siku kuwa wanawake wakiwezeshwa wanaweza, lakini wakifika bungeni wanasahau yote.

Makinda kama mwanamke amefanya nini kuwasadia wanawake wenziwe? U-spika ni nafasi kubwa sana na ikitumiwa vizuri inaweza kuleta mabadiliko makubwa katika jamii. Makinda amefanya nini tangu awe Spika 2011? Wanawake wa Tanzania wana cha kumshukuru huyu mama?

Ahsante sana mkuu FJM,kuna watu kama Majid mjengwa wanafikiri wanamsaidia spika na wanawake wenzake,kumbe wana wapoteza kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Maggid umepotoka.
Rudi kafanye jogging tena uendelee kupiga picha na kuweka kwenye blog yako tutakuja kuziangalia.

Hapa umechemka big time.
 
Hivi chadema huwa wanapiga mswaki kweli? Manake matusi ni Kama sera zao vile
 
Tafadhali endeleeni kutoa maoni yenu,
huyu kada Mjegwa asiwazingue, njaa tu inamsumbua.

Namba ya Anna Makinda ni 0784465226 na namba ya Ndugai ni 0655605951

Ni haki yetu,
 
Hili ni tusi kwa wanaume, yaani uwe na hisia za ngono kwa mama Makinda?. Maggid unamsafisha Makinda kwa kutumia maji taka. Najua mnatoka wote sehemu moja.
mi ni mwanaume,
hata nikikaa miez 6 sijagegeda, siwezi pata hisia yeyote kwa kumwona /kumsikia supika wa bunge.

Du!! kweli duniani tunatofautina , so magid kazima kwa maza!!!!!!!
 
inaonekana mjengwa majidi unataka kuteuliwa nini kwenye nyadhifa flani baadae nini mbona kama unatetea uovu kwa nguvu zako zote!!.unasema ametukanwa unaushahidi wewe na kama makinda akisema hadharani jatukanwa utakuwa na lakusema? makinda sugu yule wewe angetukanwa fasta watu wangewajibishwa mkuu!! ila yeye ndiye mwenye makosa sehemu mhimu yeye anafanya masihara wakati sisi tunaumia,,
 
Ndugu zangu,

Nimesoma maoni yote. Nimependezwa na tunavyoutumia vema uhuru wetu wa kujieleza. Katika haya yote kuna kukubaliana na kutokubaliana kwenye baadhi ya maeneo. Na hii ndio demokrasia. Kuna hata waliopata nafasi ya kupunguza frustrations zao kwa kunishambulia na hata kunitukana mimi binafsi, nao pia walihitaji hilo ili waende mbele.

Kwangu mimi sina tatizo na hata anayeamua kunitukana kuanzia sentesi ya kwanza hadi ya mwisho, na nitahakikisha, kuwa nitasoma yote, maana, naamini, hata kwenye lugha ya matusi kuna ya kujifunza. Kama ukisoma kwa makini.
Na kejeli nyingine kwangu zimenivunja mbavu kwa kucheka. Hakika watu wanajua kukejeli!
Sijaufunga mjadala.
Jioni Njema.:target:
Maggid,
Iringa.

Nimejaribu kuufuatilia mjadala huu tangu mwanzo na maoni mengi si mageni kutokana na tabia ya baadhi ya wa jf kushindwa kujibu hoja kwa hoja. Badala yake wanaishia kuporomosha matusi tu japo pia sijaona tusi jipya. Pole sana Ndg. Maggid.

Hata hivyo, niseme wazi, katika hoja ya msingi ya Ndg Maggid pamoja na majibu yake yote aliyoyatoa ametumia lugha yenye staha. Inapendeza hata kusoma. Sijaona hata hata neno lolote la kuudhi katika posts zako. Nimependa sana huo uandishi. Kwani matusi ya nini?? Acha hoja zipambane!

Mwisho niseme wazi kuna baadhi ya maeneo sikubaliani na wewe kwani umeliangalia hili suala kutoka angle moja tu ie Mh Makinda. Kwa maoni yangu japo kuwa Mh. Makinda na wasaidizi wake hawawatendei haki waheshimiwa wabunge wa upinzani lakini nao hawakupaswa kufanya walichofanya.

Asante, karibuni Bukoba.
 
Back
Top Bottom