Kwa hili la simu, Anne Makinda ameonewa..!

Kwa hili la simu, Anne Makinda ameonewa..!

Lusinde naye ni chadema nini mkuu,,mbona unaleta kauli za nayani haoni alichonacho mkuu,,
Mtafute mwalimu wa siasa akufundishe somo la siasa za majukwaa ya kampeni za vyama katika chaguzi na jukwaa la siasa kushinikiza wanachama kumtukana spika utaona tofauti.Masomo mema.
 
KUMBE MAGGID NAYE MSHENZI HIVI, yani akili yake inaonyesha kuwa makinda ndio ameonewa lakn ndungai hajaonewa. Kuna tofaut gan kat ya alichofanyiwa ndungai na makinda? Kwa ndungai hawez sumbuliwa na wanawake wanao amini kuwa wabunge wanapesa? Unatumia masaburi kufikiri? Kama ni swala la kuweka namba hadharani, basi bunge ndiyo lina makosa kwa kuweka namba za wabunge wote kwenye website yao

JF - The home of great thinkers!
 
mleta mada Makinda hata umtumbukize kwenye pipa la JIKI hasafishiki!tafuta mbinu ingine mkuu
 
sijaona pointi katika hoja za Maggid.
Walichofanya Chadema ni kuwakumbusha wananchi number za viongozi wa bunge
hizo number ziko kwenye website ya bunge.
nadhani maggid hapa umetumia muda wako kuandika makala ili upate kibahasha sioni la zaidi.
mwandishi unatakiwa kuchambua hoja kwa pande zote 2 na sio upande mmoja.
A good journalist must balance his/her story.
 
Idadi ya watu tutakao waburuza kwenye mahakama za kimataifa zinazidi kuongezeka
 
Back
Top Bottom