Maneno yako twayyyib! kale kajiumati wengi wao ni mafundi gereji waliobebwa na malori ya wachaga kutoka kigogo dampo, tabata, mabaamedi wa Sinza, wauza kitimoto wa kimara, mbezi, na ubungo.
Hawa Chadema kweli wageni mjini hawajawahi kuona jangwa linavyojazwa? ule ulikuwa mkutano wa Injili tu ndio maana kulikuwa na makapu ya sadaka Lema anakusanya, mkutano wa siasa sadaka za nini?
Mkuu huyo ni wewe au ni busha linatikisika? Hamchelewi kuweka udini kwenye mambo mnayoona mmeshindwa..Haya bwana ila ukweli hauwezi kuzuiwa na maneno yako, na pia elewa, ubungo iko dar, kawe iko dar na kuna majimbo mengine mengi tunayachukua kiulaini hapo