sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,562
- 11,474
Wakuja mwingine huyo, utujibu tu ulikuja kwa usafiri gani wa treni, fuso, basi au nn ? na ilikuwa wakati wa kampeni gani, za mwenge, uhuru au nn ?
walianza ooh wadini..wakaja ooh kaskazini iyo..imeingia jijini wanaanza ooh WAKUJA wale..mwisho wa siku mnasema cdm inawagawa watz lakini mnaweza kujipima kwa maneno yenu na kauli zenu..hata ivyo kwani wanaopiga kura za dar ni wakazi wa maneromango,vikindu, kimanzichana,mkuranga au ni wakazi wa jiji(wakuja)?..acha kujidanganya..kujifariji gani kumekaa hivyo..