Hivi wewe bado unamchukulia serious huyo jamaa mimi najuta lini atamaliza miaka yake 10 iliyobaki.
Wakuu leo jumapili saa tatu ya usiku baada ya taarifa ya habari TBC 1 kulikua na kipindi fulani sijui ni maalum au vipi. Nikamuona muheshimiwa JK akiwa anawahutubia wananchi au taifa kwa ujumla ndipo nikamnukuu mkuu wa kaya akisema malengo aliyonayo kabla ya kumaliza ngwe yake ya uraisi anatahakikisha Tanzania itazalisha umeme wakumwaga na Tanzania tuweze kuuza umeme nchi za jirani! Hapa ninapoandika thready hii umeme sina natumia Generator na nawatakia jioni njema!
Souce TBC 1 Saa 3 Usiku Jumapili Tarehe 18/09/2011!
Wakuu leo jumapili saa tatu ya usiku baada ya taarifa ya habari TBC 1 kulikua na kipindi fulani sijui ni maalum au vipi. Nikamuona muheshimiwa JK akiwa anawahutubia wananchi au taifa kwa ujumla ndipo nikamnukuu mkuu wa kaya akisema malengo aliyonayo kabla ya kumaliza ngwe yake ya uraisi anatahakikisha Tanzania itazalisha umeme wakumwaga na Tanzania tuweze kuuza umeme nchi za jirani! Hapa ninapoandika thready hii umeme sina natumia Generator na nawatakia jioni njema!
Souce TBC 1 Saa 3 Usiku Jumapili Tarehe 18/09/2011!
yaani hakuna mkuu wa kaya aliye bora kama jk, nyie ni katika wale 15% Ambao hata kwa vipi hamuwezi kumpenda jk hata awafanyie kitu gani! hivi mnapojadili humu ndani mnasoma vyuo alivyojenga yeye, mnatembea mkipita mnatukana kwenye barabara za lami alizojenga yeye! siku zote shukurani ya punda ni mateke!
Angelisema nina mpango wa kuongeza nchi za kwenda kubembea kabla cjamaliza kipindi changu ikiwepo nchi za jirani ningesema atatimizaView attachment 37539
lakin kwa umeme bado au sio kikwete huyu aliyesema kuwa hajui kwanini watanzania ni masikini?
Ukiyavua magamba yanaota magome.Jk we chapa kazi wenye wivu wajinyonge.