Hadithi! Hadithiiiií? Hadithi njoo, uwongo njoo, utamu kolea. Na mito aliyoahidi kuwapelekea wakazi wa sehemu zenye ukame ili awape vivuko ametimiza? Juzi tu kaahidi DNA test kwa maiti zilizoshindwa kutambuliwa kt ajali ya meli mv spice nayo katimiza. Kweli anaota akiwa ana tembea. Tatizo la mtu mwongo anasahau jana alidanganya nini. Ale, ajambe, alale muda wake ukiisha aondoke. Kt uongozi wake hadi 2015 umeme utaendelea kuwa mgawo hadi hospitalini. Namnukuu kauli yake 'tatizo la umeme limetokana na ukame, tumepata mvua kidogo kina cha maji kidogo kt mabwawa yetu. kwani yeye amekuwa mvua kusema ataenda mtela/ kidatu anyeshee ili maji yajae tupate umeme wa kutosha? Sasa kiongozi mvivu wa kufikiria kama huyu anayewaza source ya umeme ni maji tu atatuambia nini?