MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,200
Dr Slaa kaona mbali, dalili zipo wazi kuwa mwaka 2014 na 2015 chama chake kitaambulia kura chache ambazo zitapunguza ruzuku ambayo ni chanzo chake pekee cha ulaji hivi sasa, hivyo ameona njia muafaka ya kisiasa kwake ili aepuke kushindwa ni KUANZISHA maneno ya uchochezi. Watanzania wenye akili timamu na uzalendo kwa nchi yetu, tumeshtuka hatuamini tena kauli za kizushi;
1. Mchakato wa Katiba umeingiliwa na CCM
2. JK ni Mdini
3. TISS wanafuatilia nyendo za Dr. Slaa
1. Mchakato wa Katiba umeingiliwa na CCM
2. JK ni Mdini
3. TISS wanafuatilia nyendo za Dr. Slaa