Hiki kibabu kinazeeka vibaya,,anadhani na phd yake ya kuhesabu rozali kanisani ndio ataweza kuongoza watanzania????aendee akalee mjukuu wake aliyezaa na mke wa mtu asituvurugie amani yetu
We ni mzima?
Hiki kibabu kinazeeka vibaya,,anadhani na phd yake ya kuhesabu rozali kanisani ndio ataweza kuongoza watanzania????aendee akalee mjukuu wake aliyezaa na mke wa mtu asituvurugie amani yetu
Dr Slaa bora ungekaa kimya kuliko kuendelea kujidhalilisha na kauli zako.
Ueleweki mara useme ulishinda uchaguzi usalama wa taifa wakaiba kura.
Kwa kukusaidia tu JK toka aingie madarakani misikiti anayokwenda ni ya Bakwata ambayo haina waumini wengi.
Huwezi kumkuta JK kwenye misikiti mikubwa hapa Dar kama Kichangani, Mtambani, Idrisa, Mtoro.
Labda tuambie misikiti gani alikuwa anafanya udini, halafu una uhakika gani kuwa Waislam wote walimpigia JK.
Tanzania waislam hawazidi 40% according to tbc je kikwete kashindaje kama waislam wachache kuliko wakristo?
mkuu huku maeneo ya kwa mtogole na maeneo ya temeke watu wa imani yetu ya kiislamu waliambiwa wasimchague kafiri, je unafikiri alilengwa nani?Huku Maeneo ya igombe wakina mama waliambiwa wakamchague padri sasa ni nani huyo kama cyo dr.slaa?
Udini ni nini?
Wale mapadre wa Rwanda nao walikua waislamu!?Nchi zinazo ongongozwa kwa mfumo wa kidini duniani ni za Kislam tu, hizo ambazo ni za Kikrsito wala hata hayo maadili ya Kikristo sio lazima kiongozi awe nayo, nchi pia zinazo ongozwa kwa Kislam ndizo zinazoongoza kwa machafuko, kwa ufupi, huwezi kutofautisha fujo, chuki na mauaji na Uislam.
Hivi Al Asad si ni mwislam na nini anawafanya Waislamu wenzie? jumuia ya kimatifa kama Marekani ndizo ambazo zinajaribu kumshawishi Al Asad aache kufanya mauaji ya kikatili, mbaya zaidi Iran, nchi ambayo ndio mfano bora kwa Waislam duniani, ina support mauaji anayoyafanya Al Asad, narudia, huwezi kutofautisha chuki, fujo, mauaji na Uislam!
kumbuka mkuu kauli ya mufti wetu, waislamu wasishiriki maandamano ya Chadema, na uchaguzi wa igunga, kwa kweli sisi waislamu tunatumika vibaya sana, tukipigia cuf tunaambiwa ni chama cha kiislamu, tukipigia ccm mambo safi!Tatizo mnajitoa akili na kutetea ujinga nani hajui pia 2010 ccm ilitumia bakwata kupata kura za waislamu??kwa kuwaambia waislamu wasichague chadema kwa sababu ni ya wakatoliki saizi mambo yamekuwa moto hamtaki kukumbushiwa madudu yenu wacha aseme mbona julius mtatiro na prof.i.h lipumba walishalisema mara nyingi sana hi li hata mnyaa juzi kalirudia bungeni kwa msisitizo tabia ya chama cha mapinduzi kinapozidiwa nguvu na wapinzani bahati nzuri saizi watu wanaelewa ndio ugumu wa propaganda hii inapokuwa ngumu.
kumbuka mkuu kauli ya mufti wetu, waislamu wasishiriki maandamano ya Chadema, na uchaguzi wa igunga, kwa kweli sisi waislamu tunatumika vibaya sana, tukipigia cuf tunaambiwa ni chama cha kiislamu, tukipigia ccm mambo safi!
nadhani we utakuwa umechanganikiwa na sio mwelewa wa Dunia inaendaje, kwa sababu sidhani kama kuna Inchi yeyote ya kiislam ilishawahi kwendakwa Nchi za washirika kutafuta nyuklia chokochoko zote ni za Nchi za Mgharibi kwa ulafi wao rasilimali ambazo hawana, hii ni dhambi ambayo mpaka leo hadi milele wamagharibi na wakristo wote iwatafuna mpaka kiama kwa kuwavuruga kwa Nchi zote za kiislam.Nchi zinazo ongongozwa kwa mfumo wa kidini duniani ni za Kislam tu, hizo ambazo ni za Kikrsito wala hata hayo maadili ya Kikristo sio lazima kiongozi awe nayo, nchi pia zinazo ongozwa kwa Kislam ndizo zinazoongoza kwa machafuko, kwa ufupi, huwezi kutofautisha fujo, chuki na mauaji na Uislam.
Hivi Al Asad si ni mwislam na nini anawafanya Waislamu wenzie? jumuia ya kimatifa kama Marekani ndizo ambazo zinajaribu kumshawishi Al Asad aache kufanya mauaji ya kikatili, mbaya zaidi Iran, nchi ambayo ndio mfano bora kwa Waislam duniani, ina support mauaji anayoyafanya Al Asad, narudia, huwezi kutofautisha chuki, fujo, mauaji na Uislam!
Haya maneno yangetoka kwa mzee mwanakijiji sina shaka usingeandika sentensi moja yenye maneno matano!Hapo dokta slaa kachemka sana...