Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
ila ukwelikuna wanaume hawajui kutongoza bwana.kumtongoza mwanamke sio kama ni interviewkwamba lazima ujieleze wewe ni nani? Una uzoefu gani ,mshahara shngapi,unamiliki nini na nini? Wanawake hatutaki kujua yote hayo
Kwanini huwamnajichosha ?mwanamke ambae atakukubali kama alivosema mtoa mada juaalishakutaka siku nyingi .so usitumie energy kubwa sana maana kama hajakutakahata useme nini hatokukubali
Mambo ya mimindo signatory wa ndege zote ziruke amsterdam yashapitwa na wakati
Tupe mwongozo japo kidogo basi,