Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,050
endelea kusubiri mkuu wakati wako haujafika endelea kuomba
Na wakati ukifika inakuwaje?
endelea kusubiri mkuu wakati wako haujafika endelea kuomba
uzuri mimi situmii picha ya mtu huyo ndo mimi mkuuYaani hiyo Avatar yako! mimi naaminigi ndiyo wewe na siku ukinitokea hata kama sura kama unakamuliwa jipu mimi nitakuwa navuta tu avatar yako ili mzuka unipande!
Ndio hapo hawa watu mimi huwa nawashangaa, anakusumbua kumbe alishakubaliana na wewe...Jamani mimi nilimfukuzia msichana kwa miezi sita mpaka nikakata tamaa! siku nakutana na rafiki zake wananiambia eti picha zangu zilikuwa zimebandikwa chumba kizima! sasa sijui alikuwa ananikataa nini!
haswaaaaaaaa sahihi kabisaWanaume mmetufanya tuwe tulivo,mguu pande mguu sawa.machojuu macho chini maana mmekuwa nyoka nyieni wadanganyifu mno
Kumbe wanaume tunajipaga moyo kweli kwamba tumetongoza na kukubaliwa; na wakati mwingine tunaamini kabisa kuwa sisi ndio tumemchagua mwanamke! Kumbe ukweli ni kuwa wanawake ndio wanatuchagua sisi kwanza kule kutongoza na kukubaliwa ni wao tu kutengenezea njia tu ya kuwafikia!
ni kweli mkuu.mimi nikimtamani mtu najigonga gonga wewe uzuri wanaume huwa mnaelewa mapema.mnasafisha njia
ni ngumu mwanaume from nowhere amtongoze mwanamke amkubalie ni ngumu sana
hata hapa jf nikitaka mtu anitongoze na mpm tu kumpa salamu asubuhi hadi jioni keshanipa mashairi
ayaah!! kumbe nilipoteza bahati ile siku!! mimi nlijua salam tu..ni kweli mkuu.mimi nikimtamani mtu najigonga gonga wewe uzuri wanaume huwa mnaelewa mapema.mnasafisha njia
ni ngumu mwanaume from nowhere amtongoze mwanamke amkubalie ni ngumu sana
hata hapa jf nikitaka mtu anitongoze na mpm tu kumpa salamu asubuhi hadi jioni keshanipa mashairi
teh wewe ulidhani ni nini?ayaah!! kumbe nilipoteza bahati ile siku!! mimi nlijua salam tu..