Kwa Hili, Clouds FM Inastahili Pongezi!.

Kwa Hili, Clouds FM Inastahili Pongezi!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,227
Reaction score
128,993
Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.

Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.

Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.

Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.

Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.

Big Up sana kwa Joseph Kusaga na Ruge Mutahaba, kwa kulea vipaji.
P
 
Kweli kbs hata mie nawapongeza na nimeckiliza kipindi na mahojiano yote,km watakua wanatumia muda wao kila cku kwa kujadili vitu muhimu na vya kitaifa km walivofanya leo hakika watakua wajirekebisha na kuacha zile porojo zao ziczokua na maana!
 
magamba ni magamba tu! Hilo moja walilofanya alifanyi mabaya mia zaidi yasaulike! Wao ni wafuuuu fmmmmm tu hawana jipya!
 
clouds wamesoma alama za nyakati,ccm haitafika 2015 ikiwa inaongoza serikali hivyo kujikomba ccm hailipi kwa sasa
 
aliyefanya vizuri ni clouds au kibonde?mbona hueleweki?
Mwandishi wa gazeti akishaandika habari ikitoka ni mali ya gazeti na credits zinaenda gazetini ndio maana utasikia gazeti la uhuru/nipashe/ mwananchi etc limeripoti so and so. Gazeti halitafuti habari wala haliandiki habari, wanaotafuta habari na wanaoandika ni waandishi ila credits ni kwa gazeti!.

Vivyo hivyo kwa vituo vya redio na tv, vituo havitafuti habari au kufanya vipindi bali ni watangazaji. Kipindi cha jahazi ni cha Clouds Radio na sio cha Kibonde, hata kama kinatangazwa na Kibonde hivyo credits zinakwenda Clouds!.

Angalizo:,Kuna vipindi vya nje ambavyo sio mali ya kituo husika kama vile vipindi vya "Wiki ya Utumishi wa Umma na PPR", " Saba Saba na PPR", " Nane Nane na PPR" na " Miaka 50 ya Uhuru na PPR" etc, hivi ni vipindi vya nje ya tv husika hivyo credits zinakwenda kwa wenye kipindi " PPR"!.
 
Imagine mtu ambaye hasikia hicho kipindi hii thread inakuwa irrelevant!
You are very right its only relevant kwa wasikilizaji wa clouds na wale ambao hawakusikiliza leo nimewaambia wasikilize kesho, iko on line na kesho atakuwepo January Makamba!. Sio lazima kila mtu asikilize Clouds ila pia sio lazima kila mtu acomment kila post, next time ukioana haikuhusu and its irrelevant, just shut down your big mouth, just shut up!. Sio lazima ukoment every post!, wata comment wenye relevance!.
 
You are very right its only relevant kwa wasikilizaji wa clouds na wale ambao hawakusikiliza leo nimewaambia wasikilize kesho, iko on line na kesho atakuwepo January Makamba!. Sio lazima kila mtu asikilize Clouds ila pia sio lazima kila mtu acomment kila post, next time ukioana haikuhusu and its irrelevant, just shut down your big mouth, just shut up!. Sio lazima ukoment every post!, wata comment wenye relevance!.

Pasco potezea bhana
 
Back
Top Bottom