Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,423
- 7,911
Kuonesha kwamba timu ya SIMBA ni timu iliyobarikiwa na MUNGU kwa kutandaza soka tamu la viwango vya CAF na kuthibitishwa na FIFA,
CAF wameamua kuipanga siku ya ijumaa iwe siku ya mechi pekee ya wanaume watupu (wekundu watupu) SIMBA na AHLY huku mitimu mingine lundo ikipangiwa kucheza siku moja ya jumamosi, yaani utachagua mwenyewe uangalie mazembe v petro ama esparance v asec pamoja na ile game ya wasiojulikana v masandawana ama ubuthu botho aka mme wao.
Yaani CAF wamejua kutuheshimisha wanalunyasi ila sema tu ndo hivyo tena timu letu bovu kama radio la mbao zama hizi za radio za kuchaji! dah!
CAF wameamua kuipanga siku ya ijumaa iwe siku ya mechi pekee ya wanaume watupu (wekundu watupu) SIMBA na AHLY huku mitimu mingine lundo ikipangiwa kucheza siku moja ya jumamosi, yaani utachagua mwenyewe uangalie mazembe v petro ama esparance v asec pamoja na ile game ya wasiojulikana v masandawana ama ubuthu botho aka mme wao.
Yaani CAF wamejua kutuheshimisha wanalunyasi ila sema tu ndo hivyo tena timu letu bovu kama radio la mbao zama hizi za radio za kuchaji! dah!