Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaandika Comrade Malisa GJ.
Rafiki yangu mmoja kanitumia ujumbe "Malisa mbona huombi kura?" Ikabidi nimpigie kumuuliza kura za nini? Akaniambia za tuzo. Nikamuuliza tuzo zipi? Akaniambia umependekezwa kwenye tuzo ziitwazo Tanzania Inspiration Awards. Nikamwambia sina taarifa.
Akanitumia "link" nikapitia na kuona kweli nimependekezwa kwenye kipengele cha "Charity and Services" yani mtu anayefanya kazi za kujitolea na shughuli za kugusa jamii.
Nawashukuru wote mliopiga kura za kunipendekeza kwenye tuzo hizo bila hata mimi kujua. Basi nawaomba mnipigie kura niweze kushinda, nisiishie kwenye mapendekezo tu. 🤣
Jinsi ya kupiga kura bonyeza link hii TANZANIA INSPIRATION AWARDS 2020 kisha tafuta kipengele kilichoandikwa "Charity and Service" hapo outaona orodha ya majina kadhaa. Bonyeza kitufe kilichopo pembeni ya jina langu, kisha shuka chini kabisa utaona maneno "Wasilisha" bonyeza hapo. Utakua tayari umenipigia kura.
Asanteni na Mungu awabariki!
Rafiki yangu mmoja kanitumia ujumbe "Malisa mbona huombi kura?" Ikabidi nimpigie kumuuliza kura za nini? Akaniambia za tuzo. Nikamuuliza tuzo zipi? Akaniambia umependekezwa kwenye tuzo ziitwazo Tanzania Inspiration Awards. Nikamwambia sina taarifa.
Akanitumia "link" nikapitia na kuona kweli nimependekezwa kwenye kipengele cha "Charity and Services" yani mtu anayefanya kazi za kujitolea na shughuli za kugusa jamii.
Nawashukuru wote mliopiga kura za kunipendekeza kwenye tuzo hizo bila hata mimi kujua. Basi nawaomba mnipigie kura niweze kushinda, nisiishie kwenye mapendekezo tu. 🤣
Jinsi ya kupiga kura bonyeza link hii TANZANIA INSPIRATION AWARDS 2020 kisha tafuta kipengele kilichoandikwa "Charity and Service" hapo outaona orodha ya majina kadhaa. Bonyeza kitufe kilichopo pembeni ya jina langu, kisha shuka chini kabisa utaona maneno "Wasilisha" bonyeza hapo. Utakua tayari umenipigia kura.
Asanteni na Mungu awabariki!