Nilicho eleza mwanzo ilikuwa ni kama pre amble, nikiwa na lengo la kuwashauri Watanzania wenzangu tuachane na tabia inayo anza kuota mizizi ya kuchukulia kila kitu kinacho fafanuliwa/tendwa na Serikali ya awamu ya tano kina walakini, hakuna kitu +ve mnacho zungumza kuhusu juhudi ya JPJM na washauri wake - amefanya mambo mangapi ya kujivunia ndani ya mwaka mmoja wa uongozi wake - mengi tu, sasa mnashindwa nini kuamini au kuchukulia seriously makubaliano ya Waziri Mkuu wa Ethiopia na Rais Magufulini - ina maana sisi watu baki tuna akili zaidi na weledi kuliko Viongozi hao wawili au? - tell ME!!
Hapa chini nimebandika tena majibu yangu geared for skeptical mwenzako ambaye hana imani na mipango ya ya awamu ya tano:
M'bang'ang'walu said: ↑
Kwani hiyo mizigo itakuwa inazalishwa hapa TZ? Yaani mizigo itoke huko itokako, ibebwe kwa meli mpaka TZ, Kisha ibebwe kwa ndege tena mpaka Ethiopia. Akili hiyo hata mtoto wa chekechea hawezi kuwa nayo
Hivi unajua gharama za kusafirisha mizigo kwa njia ya anga zikoje? Watu wasingekuwa wanatumia muda mrefu kwa kutumia usafiri mwingine. Jiulize kwa nini hao Ethiopia wasitumie ndege kubeba hiyo mizigo kutoka huko itokako. Halafu mizigo mingi ni ya watu na makampuni binafsi, kwa serikali haiwezi kuwalazimisha watu washushie mizigo yao Tanzania
Mambo mengine tujaribu kuchangamsha akili zetu kidogo kwa ku-analyse mambo in 3Ds, unawezaje ku-equate akili za Waziri Mkuu wa Ethiopia na Rais wetu pamoja na washauri wao kwamba akili zao hazina tofauti na za watoto wa chekechea - hizi dharau aziwezi kutufikisha popote, our leaders knows wanacho kitaka/ kifanya kwa maslahi ya Taifa letu - wajibu wetu ni kuwatia moyo na siyo kuwa bezabeza!!!
Tatizo la baadhi yetu ni obsession ya kukosoa kosoa everything 'Magufuli' sijui hii inatokana na chuki binafsi au nini, hawana time ya ku-analyse mambo wakiwa na akili zilizo tuliazana - mihemuko tu masaa yote.
FYI wa Ethiopia watajenga depot ya mizigo yao hapa Dar, kuhusu Mizigo itapatikana wapi na kwa nini wamefikia hatua ya kuhamua kufanya hivyo, hayo sisi hayatuhusu, Wahabeshi wana uzoefu wa muda mrefu katika masuala ya usafirishaji, badala ya kushukuru kuhusu ujio wao ambao uta create employment, Serikali itapokea kodi na Dar itakuwa HUB ya kusafirisha mizigo kwenda kwa nchi zinazo tuzunguka and beyond hii ni catalyst tosha ya kuinua Economy ya Taifa letu hayo yote wala nyinyi hamuyaoni!!
Umeshaweka assumption ya kwamba kila kitu kunapingwa na hapo tayari umechukua upande wa kuutetea. Nway kila project au proposal ya wakubwa itaundwa timu ya wataalam kufuatilia utekelezaji wake na siyo wanasiasa na hapa utaona kama project ita take off. Ngonjera zingine za kisiasa unaziangalia kiutendaji na kitaalam zaidi. Hata wakiweka Depot yao ya mizigo itatumia njia gani kusafirisha? Kama ni cargo planes kama ulivyoonyesha awali na hizo bidhaa hazitakua heavy capital goods au nyingi kiasi cha kuifanya Tz kua hub kama unavyoonyesha wewe..na kama ni samaki, au maua etc etc havitanufaisha bandari ya Tz wala sub sectors zinazotegemea bandari kwa kiasi kikubwa. Tukubali kutokukubaliana tu.