M'bang'ang'walu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 631
- 436
Inaonyesha kabla viroba havijapigwa marufuku ulikuwa umejiwekea akiba ya kutosha. Hivi unalinganishaje gharama ya kusafirisha mizigo na kuunganishwa umeme kutoka sehemu moja mpaka nyingine?Achana na hao vibaraka wa wazungu mtambo wa umeme wa Richmond ukibebwa toka marekani kilomita zaidi ya laki moja kuja kutuibia hapa wanaona sawa lakinikulete umeme toka Ethiopia kilometa zisizozidi 5000 sio sawa. Mkuu hao wanaopinga ni vibaka na mawakili wa vibaka usipoteze nao muda
Kweli kabisa.bora tukope pesa za kujenga hydroelectric power yetu.kuliko kukopa fedha ili tununue umeme kutoka ethiopia.haya mawazo sijui yametoka wapi tu.
WATANZANIA HATUNA AKILI HIVI KUTOKA MTO RUFIJI MPAKA DSM KM 100 HALAFU UNAKWENDA KUCHUKUA UMEME MAILI 10020000000?TUMEWAACHIA MAMBA WANAOGA TU
Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha umeme wetu unaotokana na mazingira yetu na kuuza kwa wateja kwa bei rahisi.kwanini wao wwamewezakwa hili hapana aisee.tujijenge uwezo wetu bwana.siku nyaya hizi zitakazo pitia kenya zikakatwa iitakuwaje
Pia from Tz to Ethiopia ni mbali aisee.labda kuna technologia ya wireless.
Suala la pili ni hili la ethiopia kwa kuwa ni landlocked country eti inampango wa kutumia bandari ya Dar. Hivi kweli from ethiopia to Eritrea, Djiboutsomalia Egypt and Kenya. Despite ya usalama wa nchi husika.
Je nikweli kuna feasibilty ya jambo hili la Addis Abbaba kupokea mizigo yake kutokea Dar es salaam.
Sometime tuache akili zetu zitafakari bila la kuathiriwa na ukada au unazi wa vyama fulani
Well said mkuu, kwa bahati mbaya baadhi ya Watanzania wako hivyo, kwao kila kitu akisemacho JPJM kina walakini, na ukichunguza kwa umakini utakuta the most vocal ufahamu wao kuhusu masuala ya biashara, teknolojia, utengamano kwao ni sawa sawa na hakuna, wanafikiri Rais kakurupuka tu kutoa tamko - they can't figure out umeme unawezaje kutoka Ethiopia kuja Tanzania and vice versa au Mizigo ya Ethiopia kutoka Bandarini na kusafirishwa kwa Cargo planes kwenda Adis!!
Ethiopia ni mfanikiwa kwa nadharia, kwanza tutapeleka ndege zetu kwa matengenezo kisha watatuuzia umeme ambao utatudumaza akili zetu kwa miongo kadhaa. Kuhusu suala la mizigo labda Serikali tu lkn kwa mfanyabiashara hawezi Ku afford gharama kubwa ya usafiri labda km watapitisha pasipo ushuru. Siku zote wafanyabiashara wanaangalia faida na sio sifa ya mahusiano. Kwa suala hili ni sawa sawa na wewe uishi Morogoro ukashushie mzigo wako Mombasa huku ushuru na ufanisi wa port zote unafanana.Kwa mawazo yako unataka kutwambia Waziri Mkuu wa Ethiopia na Dk.Magufuli hilo hawalijui wamekurupuka tu kufurahisha wananchi?
Hivi umejiuliza inachukua muda gani kusafirisha mzigo by freight trains kutoka bandari ya Djibouti kwenda Adis, na je, Air Cargo planes zinachukua muda gani kutoka uwanja wa ndege wa Dar kwenda Ethiopia? JPJM amesema mizigo itabebwa na ndege za mizigo na siyo malori au freight trains, bila shaka wana sababu za maana kufikia uhamuzi huo - tusijifanye wajuaji kuliko wahusika wenyewe - kumbuka Ethiopia imeanza biashara ya usafiri wa anga tangu 1930s na bado wanadunda kama kawa, watu wenye uzoefu wa zaidi miongo saba awawezi kufanya biashara ambayo hailipi.
Inawezekena lugha waliyokuwa wakiwasiliana ndio imezaa yote haya . .Kupatwa kwa Rais.. Sijui huyu bwana anadhani wote ni vilaza yaani Ethiopia haiwezi hata siku moja kutumia Dar port
Cargo planes hao Ethiopia wanaagiza stationary tu peke yake? Wanadevelop project ya Lapset na Kenya kujenga bandari ya Kimataifa Lamu, Kenya, hata Mombasa tu kwao ni mbali wanatumia Djibouti, Dar wapi na wapi. Hatuko hapa kubishana so usitafute uhalali wa kila tamko la viongozi hawa, angalia uhalisia kama mfanyabiashara na mwekezaji nchini Ethiopia, na angalia harakati gani zinafanywa na serikali yao Kuweka mazingira ya kukuza biashara na uchumi wao kwa kushusha gharama za usafirishaji n.K cargo plane inabeba maziwa,nyama, maua,samaki etc na hivi vyote vinapatikana Kenya kiurahisi kuliko hapa
Mafundi hupiga mbizi kuzifuatilia nyaya na nguzo chini ya bahari.Kwani ule tunaowauzia nchi ya Zanzibar wao ukikatika kule huwa inakuwaje? Kwani mkurugenzi wa tanesco anaishi Zanzibar?
Namba tatu ni uonga.Kweli akili za watanzania ni hovyo kuna watu wanamtetea rais kwa uamuzi wake wa kununua umeme kutoka ethiopia,kwa nini tusijiulize haya
1.Katika sera ya serikali ya CCM ilituaminisha kuwa nara mradi wa gas utakapoisha tutazalisha zaidi ya megawati 3000 ziko wapi hizo megawati????
2. Kuna muda mwingine hatupo makini miradi mingi ya umeme imisha anzishwa hapa nchini miradi hiyo uite iko wapi na mbaya zaidi imetumia fedha nyingi sana
3.Hivi kweli tanzania ni ya kununua umemr ethiopia pamoja na vyanzo lukuki tulivyonavyo tunazidiwana ethiopia ambayo ni nchi ya ukame,mradi wa umeme wa ethiopia wanatumia maji ya mto naili ambayo maji yake yanatoka ziwa victoria.eneo kubwa la ziwa victoria karibu 3/4 lipo tanzania-kwa kweli haya ni maigizo
4. Tukirudi kiuchumi-unawezaje kuendesha nchi ya viwanda kwa umeme wa kununua
Ethiopia walinyimwa mkopo na WB. Fuatilia. Ilibidi watu wafe bwawa lijengwe.Swali ni kwa nini ununue umeme ethiopia huku wewe una vyanzo lukuki vya umeme-mradi wa umeme wa ethipia ulianza kwa kukopa pesa nadhani ilikuwa bank ya dunia kws nini na sisi tusifanye hivyo???
Unayoyasema yamefanyika hapa TZ kipindi cha Jakaya. REA wana facilitate hizo community projects. Tembelea maeneo ya jimbo la marehemu filikunjombe kuna miradi mingi tu ya mini-hydro na wanavijiji wanafaidi.Mkuu ktk nia nzuri ya kumsaidia Mh. Ktk ujenzi wa taifa nitakupatia stori ya kisiwa kimoja huko Scotland, ni vipi wameweza kupambana na tatizo la umeme, Na njia gani wametumia mpaka kufanikiwa kuzalisha umeme wao nje ya national grid supply yaani kama hii yetu Tanesco kwa kutumia renewable energy.
Eigg ni kisiwa kidogo chenye wakazi wasiozidi 150, yenye eneo za mraba zisizozidi 30, wakazi wa kijiji hiki kwa ushirikiano wao binafsi wameweza kuliondoa tatizo la umeme kwa zaidi ya asilimia 95.
Hawa wanakijiji wameunda kampuni yao binafsi ya kutengeneza umeme kwa kutumia vitu amabvyo sio vingeni kwetu, Jua, upepo na maji au renewable energy to be precise.
Kumbuka kwamba hicho kijiji utokaji wa jua ni mdogo sana kwa mwaka mara nyingi ni wakati wa kiangazi kwa muda wa miezi isiozidi mitatu, upepo wao haufikii wa Tanzania Na mito yao sio yenye ukubwa Na nguvu kama yetu sisi hapa Tanzania. Lakini wameweza kudunduliza umeme kutoka sources zote tatu, Yaani jua, maji Na upepo wakauingiza kwenye community grid Na Kusambaza kwa wakazi Na biashara zao, kwa bei ya chini kabisa.
Watu wa nchi mbali mbali wameshapitia kwenye hichi kisiwa kutaka kufahamu, how they did it, Yaani mpaka Malawi imeshapeleka team Scotland kufanya preliminary studies and fact findings, Yaani Mh. hii Malawi inatupiga bao la mkono siku zote. Lol
Sasa tuje kwa upande wetu,
Naelewa wazi kwa Tz, pesa ya kufanya yote haya hatuna lakini kama serikali itakua smart and willing to innovate, wanaweza kuanzisha hata pilot system on renewable energy in partnership Na private sectors, finding strategic village somewhere ukiondoa chato, lol, and do the right thing, i.e. Community grid of some sort, replicating what's these villagers did in solving their problems, and do exact the same to one of our village by self financing, charging the community at subsidised rate.
In this way once successfully, we will encourage private sectors to enter in some sort of partnership with the government in doing the same for other places.
There is no harm trying Mh.
Second solution, and this can be done now! Let the hybrid technology go mainstream, i.e. Combination of both, electricity generated using solar panels in our roof tops and that coming from the national grid, i.e. tanesco.
The government can help by zero rated on VAT and import charges for a certain period of time to encourage the residents particularly from urban areas to go hybrid.
Tanesco can be given the outright monopoly for now, only for now! I insist, until the understanding of the technology become main stream, regulating technological competency through training and after service sales, this way will create more businesses and encourage innovations.
Allowing colleges with subsidised cost by providing tax incentives to teach our children on renewable energy technologies, in order to make us competency, innovative and renewable in some sort.
You never know, we might have our own wind turbine industry, si ndio sera za Mh, viwanda viwanda, and we will start selling the technology and know how to neighbouring countries.
Mh. Nakuomba uwaalike maintenance team ya community electricity grid kutoka Kisiwa cha Eigg Scotland, ambapo wako watatu mmoja muuza mikate, mmoja mfumaji Na mwengine analima bustani. Hawa watatufunza kitu, achana Na Ethiopia, majibu ya matatizo ya umeme yako nje ya magogoni Na upepo huo.
Halafu yale mahela ya maboeing ahirisha ununuzi, finance hii project ukisaidiana na wanakijiji wa Eigg Scotland.
The small Scottish isle leading the world in electricity
Umbali ndiyo nini? Kwa taarifa yako nchi za SADC wanautaka huo umeme wa Ethiopia.Nyie lumumba mburulaazz kweli, issue hapa ni umbali!! Hivi unajua unapita nchi ngapi ili ufike Ethiopia? Sasa hapo zenj na dar kuna umbali gani? Uta manage vp hiyo transmission? Sizonje akiwadangaya kuwa atanunua umeme Ethiopia na wao watatumia bandari yetu kupitisha mizigo mnafuraaaaahhiiiii!!!!!! Kweli nyie nyumbu!!!!
Max. Capacity no 2.6 GW. watazalisha chini ya hapo.Naomba mkuu kujua huu mradi wa stiegler utazalisha kiasi gani?
Njia tayari imejengwa kaka. Hukumbuki line ya 400kv? Tembelea maandiko ya TANESCO.Hapa Tanzania tuna vyanzo vingi sana vya kuzalisha umeme sema tu nchi imetawaliwa na mihemko ya kisiasa.
Sioni umuhimu wa kununua umeme toka Ethiopia kwa sababu gharama itakayotumika kujenga njia ya kusafirishia umeme haitakuwa tofauti sana na itakayotumika kujenga power generation hapa nchini.
Kama vipi anaepingana na hili twende kihesabu na kitaalam zaidi ndio tupate jibu kuliko kubishana pasipo jibu.
Huo mto wako hauna maji ya kutoshaWATANZANIA HATUNA AKILI HIVI KUTOKA MTO RUFIJI MPAKA DSM KM 100 HALAFU UNAKWENDA KUCHUKUA UMEME MAILI 10020000000?TUMEWAACHIA MAMBA WANAOGA TU
Where is a hope to obtain/harness electricity based on mutwara gas projects?Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha umeme wetu unaotokana na mazingira yetu na kuuza kwa wateja kwa bei rahisi.kwanini wao wwamewezakwa hili hapana aisee.tujijenge uwezo wetu bwana.siku nyaya hizi zitakazo pitia kenya zikakatwa iitakuwaje
Pia from Tz to Ethiopia ni mbali aisee.labda kuna technologia ya wireless.
Suala la pili ni hili la ethiopia kwa kuwa ni landlocked country eti inampango wa kutumia bandari ya Dar. Hivi kweli from ethiopia to Eritrea, Djiboutsomalia Egypt and Kenya. Despite ya usalama wa nchi husika.
Je nikweli kuna feasibilty ya jambo hili la Addis Abbaba kupokea mizigo yake kutokea Dar es salaam.
Sometime tuache akili zetu zitafakari bila la kuathiriwa na ukada au unazi wa vyama fulani
Ahsante kwa appreciation kutokana na mchango wangu...Mawazo kama haya waga yana vitu potential sana ndani yake.asante sana mkuu kwa uchambuzi mujarabu