Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ifikapo mwakani mwezi wa tatu nitakuwa natimiza miaka 36 na mpaka sasa nimefeli hatua zote muhimu katika maisha.
1.Hatua ya kwanza nina miaka 35 sina familia wala mtoto.
2.Hatua ya pili sina mwenza wa maisha, niliekuwa nae alinikimbia na kuniacha pangu pakavu kisa mwelekeo wa maisha.
3.Hatua ya tatu sina ajira inayoweleka wala shughuli inayoeleweka ya kuniingizia kipato hivyo naishi kwa kubahatisha.
4.Hatua ya nne mpaka sasa miaka 35 bado nipo nyumbani kwa ndugu ninaishi kwa wasiwasi kwa maana nikifukuzwa sina pakwenda.
5.Hatua ya tano sina asset yeyote ninayomiliki zaidi ya vyeti vyangu vya chuo na Nguo za kuvaa.
Ukweli ni kwamba kwa hatua niliofikia naona ni bora nife tuu nimeshangaika vya Kutosha hapa duniani nimekosa wa kunishika mkono kiukweli soon ndugu zangu najiua narudia tena najiua.
1.Hatua ya kwanza nina miaka 35 sina familia wala mtoto.
2.Hatua ya pili sina mwenza wa maisha, niliekuwa nae alinikimbia na kuniacha pangu pakavu kisa mwelekeo wa maisha.
3.Hatua ya tatu sina ajira inayoweleka wala shughuli inayoeleweka ya kuniingizia kipato hivyo naishi kwa kubahatisha.
4.Hatua ya nne mpaka sasa miaka 35 bado nipo nyumbani kwa ndugu ninaishi kwa wasiwasi kwa maana nikifukuzwa sina pakwenda.
5.Hatua ya tano sina asset yeyote ninayomiliki zaidi ya vyeti vyangu vya chuo na Nguo za kuvaa.
Ukweli ni kwamba kwa hatua niliofikia naona ni bora nife tuu nimeshangaika vya Kutosha hapa duniani nimekosa wa kunishika mkono kiukweli soon ndugu zangu najiua narudia tena najiua.