Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ubatili mwingi nimeshaufanya mpaka sasa kama ule ubatili wa ugegedaji niliufanya vizuri kwa kiwango cha SGR ,
Hakuna chombo sijawahi tafuna, wanene wembamba, weupe, wafupi, warefu, wenye, chura, waliopigwa pasi kama moja, wenye sura kavu kama za kiume, matom boy na Nk.
Nimetafuna chombo nyingi sana mpka kufikia hatua ya kufikishana Central kisa ugegedaji tu, (Nashukuru hayo yote niliyafanya Beyond 25 years) hivyo bado nina muda mzuri tu wa kutuliza Akili,
It was my dream since niko na miaka 17 kwamba nihakikishe mpaka nafika miaka 25 niwe nimeshafanya ugegedaji mwingi ambao nikifika miaka 26 sasa nitakuwa nimezoea na kujua hakuna jipya na ndio wakati wa kuamua nitulie nianze kukoncetrate kutafuta maisha and Now am on it
kwa sasa nimetulia tuli sioni jipya tena Nguvu na Akili Zangu zote nimeona bora nielekeze sehemu moja tu nako ni kwenye KUTAFUTA PESA.
Mapenzi siyo kitu muhimu tena kwangu, Sina stress, sina mtu wa kusema kwamba aniwazishe, zaidi mawazo yote na Akili zangu yapo kwenye Utafutaji
Kwa sasa bajeti yangu kubwa inanihusu mimi mwenyewe, Pili kwa wazazi tatu kujiwekea Akiba.
Sina mpenzi permanent wa kuhudumia nikibanwa sana na Genye natafuta Koroni langu la kitambo nabust naendelea na mishe .
Msione kimya Sijawatenga ndugu zangu wa MMU japo siku moja moja sio mbaya huwa Narudia Enzi.
Hakuna chombo sijawahi tafuna, wanene wembamba, weupe, wafupi, warefu, wenye, chura, waliopigwa pasi kama moja, wenye sura kavu kama za kiume, matom boy na Nk.
Nimetafuna chombo nyingi sana mpka kufikia hatua ya kufikishana Central kisa ugegedaji tu, (Nashukuru hayo yote niliyafanya Beyond 25 years) hivyo bado nina muda mzuri tu wa kutuliza Akili,
It was my dream since niko na miaka 17 kwamba nihakikishe mpaka nafika miaka 25 niwe nimeshafanya ugegedaji mwingi ambao nikifika miaka 26 sasa nitakuwa nimezoea na kujua hakuna jipya na ndio wakati wa kuamua nitulie nianze kukoncetrate kutafuta maisha and Now am on it
kwa sasa nimetulia tuli sioni jipya tena Nguvu na Akili Zangu zote nimeona bora nielekeze sehemu moja tu nako ni kwenye KUTAFUTA PESA.
Mapenzi siyo kitu muhimu tena kwangu, Sina stress, sina mtu wa kusema kwamba aniwazishe, zaidi mawazo yote na Akili zangu yapo kwenye Utafutaji
Kwa sasa bajeti yangu kubwa inanihusu mimi mwenyewe, Pili kwa wazazi tatu kujiwekea Akiba.
Sina mpenzi permanent wa kuhudumia nikibanwa sana na Genye natafuta Koroni langu la kitambo nabust naendelea na mishe .
Msione kimya Sijawatenga ndugu zangu wa MMU japo siku moja moja sio mbaya huwa Narudia Enzi.