Kwa FX traders, mmeona dollar ilivyoanguka ghafla?

Kwa FX traders, mmeona dollar ilivyoanguka ghafla?

def_xcode

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
2,552
Reaction score
6,816
Aisee, leo dollar imeanguka ghafla kwa yeyote ambaye alikuwa ana trade pair yoyote yenye dollar iwe gold, au currency kama alicheza vizuri atakuwa amekula profit kinoma.
Sijui ni tarriff za bwana trump au aje maana imeruka kinoma.
 
Aisee, leo dollar imeanguka ghafla kwa yeyote ambaye alikuwa ana trade pair yoyote yenye dollar iwe gold, au currency kama alicheza vizuri atakuwa amekula profit kinoma.
Sijui ni tarriff za bwana trump au aje maana imeruka kinoma.
Aha ha ha ha 😒 🤔 😒 🤔 una umri gani kwenye FX mzee. News za leo NFP hili wala siyo jambo geni/Kushangaza kabisa
 
Aha ha ha ha 😒 🤔 😒 🤔 una umri gani kwenye FX mzee. News za leo NFP hili wala siyo jambo geni/Kushangaza kabisa
Hata si trade mkuu kuna vitu nakuwa navipitia kwenye hizo charts zenu kupata hints kwa ajili ya kiproject changu, sasa leo nimeshangaa kuona candles zimekimbia balaa.
Umeniongezea maarifa kumbee NFP inakuwa announced kila friday ya mwisho ya mwezi... thank you
 
Hata si trade mkuu kuna vitu nakuwa navipitia kwenye hizo charts zenu kupata hints kwa ajili ya kiproject changu, sasa leo nimeshangaa kuona candles zimekimbia balaa.
Umeniongezea maarifa kumbee NFP inakuwa announced kila friday ya mwisho ya mwezi... thank you
Kila ijumaa ya kwanza ya mwezi husika.
 
NFP hio, dunia nzima inakua inasubiri ila huwa zinabounce sometimes vibaya sana, yaan inakula pande zote juu na chini af inaconsolidate kati
 
NFP IO Mjomba weak job data report dolar ina dump strong data ina pump, trump kasema ata mfukuza kazi Head of BLS , tutarajie
 
Hata si trade mkuu kuna vitu nakuwa navipitia kwenye hizo charts zenu kupata hints kwa ajili ya kiproject changu, sasa leo nimeshangaa kuona candles zimekimbia balaa.
Umeniongezea maarifa kumbee NFP inakuwa announced kila friday ya mwisho ya mwezi... thank you
Basi katika project yako ongezea hiyo ijumaa ya kwanza ya kila mwezi saa tisa na nusu mchana soko la fedha huwa linawaka moto
 
Basi katika project yako ongezea hiyo ijumaa ya kwanza ya kila mwezi saa tisa na nusu mchana soko la fedha huwa linawaka moto
The Burning Spear hii saa tisa na nusu mchana ni saa za hapa Tanzania? dah naihitaji sana hii info maana itanisaidia sana kwenye jambo langu. Natanguliza shukrani sana kwako kwa madini haya uliyoandika hapa JF. Mungu akubariki sana
 
The Burning Spear hii saa tisa na nusu mchana ni saa za hapa Tanzania? dah naihitaji sana hii info maana itanisaidia sana kwenye jambo langu. Natanguliza shukrani sana kwako kwa madini haya uliyoandika hapa JF. Mungu akubariki sana
Market hours kwa saa za Afrika Mashariki.
Screenshot_20250810_223334.jpg
 
Back
Top Bottom