Kwa bunge hili nyumba ndogo ya serikali, kwanini tusilifute au kulibinafsisha kwanza?

Father of All

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
6,376
6,720
1688415308585.png

1688415449040.png

1688415552519.png

Kazi za bunge lolote duniani ni kuisimamia na kuishauri serikali kwa niaba ya wananchi,
Pili, ni kufanya kazi kwa niaba ya wananchi,
Bunge hutoa amri kwa serikali na siyo serikali kutoa amri kwake,
Tatu, bunge hutunga sheria kwa mujibu wa matakwa ya wananchi ambao ndiyo wenye mamlaka,
Nne, bunge lina madaraka yaliyokasimishwa kwake na wananchi.
Je Bunge linapokosa kufanya hayo juu, bado linakuwa na hadhi na haki ya kuwa bunge hata kuitwa bunge?
Je Bunge la tanzania siyo chombo cha ajabu na hovyo ambacho serikali tena watu wachache wanaweza kutumia kubaariki uchafu wao?
Je kwa uhovyo huu, bado watanzania wana sababu ya kuendelea kuliheshimu na kuliamini hili bunge?
Je bado kodi za wananchi zinahitajika kuendelea kulipwa kwa kodi zao wakati limewekwa nyumba ndogo na watu wachache?
Je unamuonaje spika wa bunge ambaye ameonyesha wazi kuwa kifaa na nyumba ndogo ya serikali?
Je rais na mawaziri wako juu ya bunge?
Ongeza nawe mapendekezo yako.
 
Litangazwe kuwa llilishabinafsishwa na kuchukuliwa na Rostam Aziz na mabwanxaaa zake wa huko arabuni,
Kinana, Makamba, Mbarawa, na wengine wengi.
 
Sifa moja ya kuwa mbunge ndani ya Tanzania ni kujua kusoma na kuandika,wabunge niwa kina Babu tale,Msukuma nk unategemea uwe na bunge lenye weledi kutoka wapi ? Ndio maana kutwa kupitisha maazimio ya hovyo .
 
View attachment 2677715
View attachment 2677722
View attachment 2677723
Kazi za bunge lolote duniani ni kuisimamia na kuishauri serikali kwa niaba ya wananchi,
Pili, ni kufanya kazi kwa niaba ya wananchi,
Bunge hutoa amri kwa serikali na siyo serikali kutoa amri kwake,
Tatu, bunge hutunga sheria kwa mujibu wa matakwa ya wananchi ambao ndiyo wenye mamlaka,
Nne, bunge lina madaraka yaliyokasimishwa kwake na wananchi.
Je Bunge linapokosa kufanya hayo juu, bado linakuwa na hadhi na haki ya kuwa bunge hata kuitwa bunge?
Je Bunge la tanzania siyo chombo cha ajabu na hovyo ambacho serikali tena watu wachache wanaweza kutumia kubaariki uchafu wao?
Je kwa uhovyo huu, bado watanzania wana sababu ya kuendelea kuliheshimu na kuliamini hili bunge?
Je bado kodi za wananchi zinahitajika kuendelea kulipwa kwa kodi zao wakati limewekwa nyumba ndogo na watu wachache?
Je unamuonaje spika wa bunge ambaye ameonyesha wazi kuwa kifaa na nyumba ndogo ya serikali?
Je rais na mawaziri wako juu ya bunge?
Ongeza nawe mapendekezo yako.
Ndiyo maana linaitwa bunge la CCM
 
Back
Top Bottom