Kwa baba tuko watano, kwa mama wanne..

Waafrica tulijaaliwa hapo tu
Sie kwa baba tupo 20
Kwa mama tupo 5
Naomba kwangu isitokee abadan!!!!
Hata wakiwa 10 baba yao awe mmoja
 
Waafrica tulijaaliwa hapo tu
Sie kwa baba tupo 20
Kwa mama tupo 5
Naomba kwangu isitokee abadan!!!!
Hata wakiwa 10 baba yao awe mmoja

kazi unayo
manake maji hufuata mkondo
 
Hadi sasa una wangapi? kwa wanawake wangapi?
Hadi sasa nina watatu na mimba moja. Wawili kwa mke wa ndoa, mmoja kwa x girlfriend aliyeamua kuzaa na mimi na mwingine ana mimba yangu. Huyu wa mwisho tulikutana kwenye basi saa ya kushuka tukashukia kituo kimoja tukapeana namba na baadae mimba.
 
Sisi kwa baba tupo tisa, mama wanne tofauti tofauti. Mama mmoja ana wawili, mwingine mmoja, mwingine mmoja,na mama yangu watano.. Its not something to be proud of. Am ashamed to do the description.
 
Sisi kwa baba tupo tisa, mama wanne tofauti tofauti. Mama mmoja ana wawili, mwingine mmoja, mwingine mmoja,na mama yangu watano.. Its not something to be proud of. Am ashamed to do the description.

Wanao je umewaepusha?
 
mimi upande wa baba nina wadogo watatu wakike upande wa mama nina wadogo watatu pia, ke moja na me mbili.

Sasa sijui naiwekaje hii?

Au ndio kusema kwetu tupo saba lakini hakuna ninaeshare nae baba na mama.. Watatu wanashare baba na mama na watatu wengine wanashare baba na mama wengine tofauti..

Duh kweli special case[emoji23] [emoji23]
 

Hauko peke yako
 
Of course hii inawatokea sana wale wakwanza kuzaliwa na pale mahusiano yanapoenda mrama akiwa amezaliwa mtoto mmoja tayari
 

Inakera kwa kweli
 
duh... swala gumu sana hili kwetu waswahili...
na ni ngumu sana kwetu wa Africa kujitambulisha huku ukitaja familia....
 
Kwetu tupo watatu
wa baba mmoja na mama mmoja

Ila kwangu mimi sijajua maana bado sijafikia menopause kama daby tehe tehe tehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…