You made my day mkuu, You proove to be African man.Mimi kwa Baba nane 'wanaojulikana' kwa mama watatu. Ukichukuwa 'Baba Union Mama' (kwa wale wataalamu wa 'Set') unapata tupo ndugu 11 jumlisha na yule aliyeaga dunia jumla 12.
Idadi ya weza kuwa zaidi nikifanya Union 'mama wengineo'.
Binafsi sijawaepusha wanangu kwa hili kwani siku hizi wanawake wengi wanazaa na mimi huku wengineo pia wakitamani na kuomba wapate uzao na mimi.
Sawa mkuu. Sisi tuko sita. Kwa baba na mama tunaofahamiana. Baba alishatangulia mbele ya haki kwa kwa hiyo hatutegemei sana mabadiliko makubwa.
Kwa upande wangu tayari nimeshachafua utaratibu. Na kwa mujibu wa Daby hadi kuja kufikia menopizi sijui kama vidole vitatosha kuhesabu watoto
Kazi ipo hapo
akifanya DNA anaweza zimia
duh wengiAcha kabisa babu yangu mie ana watoto 30 kwa wake zake wawili
matatizo makubwa mno kwa jamii
Ila raha sana mam zangu na wajomb zangu wakikutana pamoj hat nyumb inakuwa haitoshduh wengi
Nakubaliana na wewe Mkuu, Japo kuna kesi nyingine unakuta mama mmoja ameolewa na kuzaa na wanaume wawili mpaka watatu, maana yake ameachika 2 mpaka 3, nina kesi moja ya shemeji yangu, dada ya mke wangu, ameolewa mara 3, kesi nyingine shangazi ya mke wangu ameolewa mara 3 na kuzaa mara zote hizo tatu na zaidi amezaa na wanaume tofauti tofauti baada ya kuachana na maisha ya ndoa.Mkuu zamani ilikuwa ndoa na watoto wanajulikana
na haki zao zote zinajulikana
Shida ya siku hizi ni kuzaa bila ndoa ovyo ovyo...
raha ukubwani lakiniIla raha sana mam zangu na wajomb zangu wakikutana pamoj hat nyumb inakuwa haitosh
Hahaa haaa tuseme umerithi?
Konyo koza! [emoji1] [emoji1] [emoji1]baba alizaa na mama mwingine 3 mama nae alikuwa ana wengine na baba mwingine huko 2 wakaoana wakatuzaa 3
baba akaoa tena huyo mama alikuwa na wawili huko akazaa na baba watatu sasa sijui tupo wangapi hapa
Sawa mkuu. Sisi tuko sita. Kwa baba na mama tunaofahamiana. Baba alishatangulia mbele ya haki kwa kwa hiyo hatutegemei sana mabadiliko makubwa.
Kwa upande wangu tayari nimeshachafua utaratibu. Na kwa mujibu wa Daby hadi kuja kufikia menopizi sijui kama vidole vitatosha kuhesabu watoto
Umenihesabu hapo!Sie wawili baba&maa mmoja ila sidhani ka wanangu wataepuka hili manake nna plans za kuzaa na wanaume watatu tofauti
Mnooo yaan bib yangu anakwambia yaan kila akizaa bas lazim mtt apate dad ake wakumlea kwa vile alizaa karibukariburaha ukubwani lakini
ha ha ha bibi alijipangaMnooo yaan bib yangu anakwambia yaan kila akizaa bas lazim mtt apate dad ake wakumlea kwa vile alizaa karibukaribu
[emoji16][emoji16] jitahidi kupunguza tu mkuu kuanzia sasa
Ten msichan haswaa anavyopenda kuvaa vizuri na kumechisha wacha kabisaha ha ha bibi alijipanga