Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Kuna rafiki yangu anapenda kuwa askari polisi au kama itawezekana kupata nafasi yakwenda mafunzo ya FFU ataenda ana Div 2.
Msaada wenu kwa wazoefu.
Msaada wenu kwa wazoefu.
jinsi yakupata . Nafasi olive?Hahaha kule ni bure kabisa mkuu, hutoi hata kumi.
Aombe JKT huko ndio wanakochukulia vijanajinsi yakupata . Nafasi olive?
Ukiona mtu anapenda kazi ya polisi ujue huyo mtu anapenda sana rushwaKuna rafiki yangu anapenda kuwa askari polisi au kama itawezekana kupata nafasi yakwenda mafunzo ya FFU ataenda ana Div 2
Msaada wenu kwa wazoefu
perception yako tu HiyoUkiona mtu anapenda kazi ya polisi ujue huyo mtu anapenda sana rushwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mnoko mnoko ndio sifa zao kuuUkiona mtu anapenda kazi ya polisi ujue huyo mtu anapenda sana rushwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaa haaaa Mkuu umeuwa!!Ukiona mtu anapenda kazi ya polisi ujue huyo mtu anapenda sana rushwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni kazi ambayo hata serekali wenyewe hawaithamini , ndio maana wanakaa kwenye vijumba Kama vya mifugo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ndio huo mkuu vijana wote wanaopenda kazi hiyo wanakuwa wanapenda sana rushwaHaaaa haaaa haaaa Mkuu umeuwa!!
Miaka ya 2009 baada ya mambo kuwa magumu zilitangazwa nafasi za police na mm ninaomba na jamaa yangu flani, huyo jamaa yangu alikuwa na mtu anamsaidia apate mimi sikuwa na mtu nikawa natembelea nyota ya jamaa yng.
Dah tulupitia hatua zote na jina langu lilisomwa kati ya waliotakiwa kureport kesho yake pale police ufundi ilikuondoka, doooh dakika ya mwisho aise nikakatwa bila kujua sababu kumbe kuna Dogo alipewa nafasi yangu, niliumia sana na kukata tamaa,.
Aise kumbe Mungu alinisubirisha sehemu nyingine nzuri zaidi, bora nilivyokosa huwenda ningekuwa na maisha ya hivyo maana huwa nikimtembelea huyo jamaa yng kwenye vile vinyumba vyao vya kurasini namhurumia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ukweli wanakuwa wanaona wezao wanavyofanyaperception yako tu Hiyo