Huduma za jamii ni haki ya watanzania kwani pesa zinatumika ni pesa zao walizolipa kodi, pesa inayoleta maendeleo haitoki mfukoni mwa mtukufu binafsi na wala siyo Hisani ya CCM.Magufuli utamuona mkorofi ukiwa mjanjamjanja lakini hakuna huruma kubwa kama kujenga vituo vya afya 467 nchi nzima ni huruma ambayo hakuna mwanadamu atayemlipa hiyo fadhila magufuli ukiwa mjanjamjanja lazima utamchukia tu
Shukrani hutoka pia MTU anapokupatia haki yako jiulize ni haki ya mtoto kufaulu lkn kwa nn umpe zawadi its life principalsHuduma za jamii ni haki ya watanzania kwani pesa zinatumika ni pesa zao walizolipa kodi, pesa inayoleta maendeleo haitoki mfukoni mwa mtukufu binafsi na wala siyo Hisani ya CCM.
Huna mamlaka ya kutamka lolote juu ya nchi ambayo si Mali ya yeyote nena mema juu ya pale mizoga yako itafukiwaHii nchi sio ya baba'ko
Kubali ukatae utawala wa awamu ya tano ni utawala penda kesi kesi ni waonevu hakuna mfano, pesa inayotumika kuwabambikia kesi kuwahujumu kuwadhoofisha chadema ni pesa nyingi ni pesa ambazo zingeweza kujenga viwanda kila wilaya, Hosptal kubwa za rufaa kila mkoa, Daraja toka hapo Dsm mpaka Zanzibar na pemba na pia daraja toka mwanza mpaka ukerewe na ukara na hata daraja toka mtwara mpaka kisiwa cha mafia, lakini CCM wameamua wahujumu upinzani kwa gharama kubwa badala ya maendeleo inashangaza Dunia.Hakuna aliyebambikiwa kesi ni upotoshaji wenu tu mbona ww unaonekana muungwana hujabambikizwa hizo kesi tuweni wazalendo mm binafsi namuombea sn mheshimiwa atimize ndoto juu ya Taiga hiki brother tutapanda wote Treni ya kisasa ww hutamani hilo brother hautamani kuletewa bili ndogo ya umeme? Hautamani kupita ubungo interchange bila kusimaukiwawahi wanao nymbn ukapige nao story? Hautamani wazazi wako kijijini wawe na umeme? Na maji safi? Tutaongea mikakati mpaka lini?
Nigrastratatract
Hivi unaona kwa namna anavyotawala Jiwe ni sahihi??
Rais gani kila anapoona sheria Fulani inambana, anaagiza ibadilishwe!
Kama ambavyo sasa hivi anavyotaka kufanya kwa kuwawekea kinga hao "wafuasi" wake, akina Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, iwe ni marufuku kuwashitaki kwenye mahakama yoyote TZ!
Hasara aliyoipata mama yako haipimiki ! kuna haja ya kuhalalisha utoaji mimbaMuulizeni Kabendera, Mdude wawasimulie kama ziko butu au haxiko butu brother cheza na vingine government machinery ukiwa umpinda pinda haujanyooka inakuchakata unanyooka
Magufuli utamuona mkorofi ukiwa mjanjamjanja lakini hakuna huruma kubwa kama kujenga vituo vya afya 467 nchi nzima ni huruma ambayo hakuna mwanadamu atayemlipa hiyo fadhila magufuli ukiwa mjanjamjanja lazima utamchukia tu
Hapana nakukatalia ndugu yangu nchi hii wezi na wajuaji ni wengi sn bahati nzuri au mbaya wezi hawa wamo Chadema,CCM, CUF na wasio na vyama hawa ndio wamelewesha maendeleo ya nchi hii mwezi wa pili nilikuwa nataka kwenda Poland nikatakiwa kuwa na polisi Clarence form michakato ya kutengenezewa mazingira ya Rushwa yako wazi bila uoga Watu kama hawa ukiamua kuchukua hatua wanalalamikaKubali ukatae utawala wa awamu ya tano ni utawala penda kesi kesi ni waonevu hakuna mfano, pesa inayotumika kuwabambikia kesi kuwahujumu kuwadhoofisha chadema ni pesa nyingi ni pesa ambazo zingeweza kujenga viwanda kila wilaya, Hosptal kubwa za rufaa kila mkoa, Daraja toka hapo Dsm mpaka Zanzibar na pemba na pia daraja toka mwanza mpaka ukerewe na ukara na hata daraja toka mtwara mpaka kisiwa cha mafia, lakini CCM wameamua wahujumu upinzani kwa gharama kubwa badala ya maendeleo inashangaza Dunia.
The man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote
Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya
Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote .
Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha wakaondoka wakatuachia nchi yetu
.huyu jamaa akianza kujibiwa na dola na wala si serikali msije tena mkalia lia nchi haichezewi kipumbavu namna hii nchi hii imejengwa kwa misingi ambayo hakuna wa kuibomoa
Kwa hiyo ujuaji una mwisho tumeshaaamua nchi iende na itaenda yeyote aaamuaye kuikwamisha atasagwasagwa kwa government machinery
Kuna watu wanacheza na moto
Mjanja mjanja atashughulikiwa kama wahalifu wengine tu kwa mujibu wa sheria za nchi yetu zinazomzuia MTU kuongea lolote atakaloKwahiyo kwa akili yako fupi gharama ya kuwa mjanjamjanja ni kuuawa? fisi wee
Unaona ss ww ulivyo mjinga chama kinawafia kwa point za kijingakijinga kama yako Nina uhakika mchango wako ww kwa taifa lako liko negative hizo ngonjera za mipasho zenu zililipa wakati wa kikwete kwa Hutu magufuli hata asipoongea aliyoyafanya mema kwa Watanzania yataongeaHasara aliyoipata mama yako haipimiki ! kuna haja ya kuhalalisha utoaji mimba
Mtalipua nchi kwa mambo ya kijingaTundu Lisu atapata anachokitafuta
Kusema wapinzani wamenunuliwa ni kuudhalilisha upinzani hili nalo ni tatizo jingine kwa wapinzani yaani mnajidhalilisha kwamba mnafika bei kirahisiVipato vya kifisadi huko CCM ni vingi mojawapo ya kipato cha kishetani ni hiki kikundi cha kuwanunua wapinzani ambacho kimesheheni madalali wa siasa kila kichwa wanachofanikisha kukinunua hula cha juu ni mbunu mpya ya kula pesa za CCM kienyeji kwa kisingizio cha kuinyong’onysha chadema, kila mjanja akitaka kula pesa ya CCM huenda na gia ya kuiteketeza chadema, kwa sasa chadema ni ajenda kuu huko CCM.
Nchi lazima ilindwe juu ya wahafidhina wote ndio maana kuna bajeti ya TISSMtalipua nchi kwa mambo ya kijinga
Na alichofanya Mbowe mbona hauuuiti upuuziUpuuzi anaofanya spika na maamuzi ya hovyo ya majaji ndo nchi ilipofikia
Utawala huu wa awamu ya tano ya Naibu Rais Daud Bashite na mtukufu hauongozi kwa mujibu wa Sheria na katiba bali unaongoza kwa mujibu wa zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa, ndiyo maana kule Bungeni Ndungai aliwavua ubunge wabunge wa CUF kienyeji na sasa kaamua kuwakubali wabunge waliovuliwa uanachama chadema kienyeji, spika mwenyewe analiongoza bunge kienyeji kwa mujibu wa Sheria zake binafsiMjanja mjanja atashughulikiwa kama wahalifu wengine tu kwa mujibu wa sheria za nchi yetu zinazomzuia MTU kuongea lolote atakalo
Ndungai kapiga bilion 12 India, zilipotea Tilion 1.5 mkamtoa CAG kafara, zipo wapi zile bilion 252 zilipotea wizara ya ujenzi? Ebu tupe majibu hapa kabla hatujaendelea na mengine.Na alichofanya Mbowe mbona hauuuiti upuuzi