Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Wewe ndio libwege na ndio maana unaweza fanyiwa lolote na ukakaa kimya mwenye akili hawezi endeshwa ndani ya nchi na wanaojidai eti wao ndio wana haki zaidi ya wengineNyumbu ndio wanajibu shombo hapa,umeongea sawa kabisa,huyo bwege angekua anafanya hayo akiwa wa hapo tu Rwanda angeshachezea kalinye ya kutosha hukohuko alipo.nchi yetu ina amani sana wanamuacha tu aropokwe.