Kwa aliye tayari kuwa mume wangu

Kwa aliye tayari kuwa mume wangu

utapata dada angu!! mume mwema hutoka kwa Mungu!! ol the best shostito..
 
yaani swala anajipeleka kwa simba??bila kuwinda hata raha ya kuwa na ww kwishney
 
Samahani jamani wengine hatujui kupiga hodi nikipiga tu jua naniiiiii iko ndani samahani wakuu naomba mnisamehe.
 
Funguka zaidi kuhusu ww,dini,elimu,kabila n.k na walau mwanaume wa aina gani unayomhitaji coz kama binaadamu lazima uwe na prefernce zako,hii itakusaidi kutopata request ambazo hauzihitaji.

Nadhani hana haja na mengi anataka uwe kidume tu
Mengine ni baada ya mechi.
Anasku nyingi inahitaji ikwanguliwe
Kugegedwa kwanza mipango baadaye.
 
Ndoa zinewahi kwny digital kabla ya muda aseee maana kabla analojia haijazimwa ujue,vile umejieleza tu naona hapa kuna dalili ya ww au mume umtakae kurudi na uzi wa "mimi ndoa basi" ivi hakuna raia hapo ulipo angalau unamfahamu??Mungu atasingiziwa mengi sn.
 
Nani atataka kuoa mwanamke anawasiliana kihuni namna hii, unashindwa kumalizia elufi moja tu, si ndo mnawasukuma waume wenu kabla hawajamaliza nyie au kuipua chakula kabla hakijaiva.

Cha ajabu ukionana naye tu utachanganyikiwa na urembo unaanzisha bifu na mchumba wako.
 
Cha ajabu ukionana naye tu utachanganyikiwa na urembo unaanzisha bifu na mchumba wako.

hawa wadada warembo ni chanzo cha mparanganyiko katika Jamii, wakizaa hawataki kunyonyesha, kupeleka watoto saloon na kuwafundisha kuimba na kucheza miziki ndio wanachokijua, bahati mbaya mtoto msipompeleka shule za kueleweka ndio mmeishamuhabia shule, hawana muda hata wakuwafundisha watoto moja mbili tatu .... kumiii
 
nina 26year nina hitaji mume aliyetayar kunieshim na kuwa mkwel kwangu!!
nichek kwa (annieswai41@gmail.com)

Nakuombea umpate ila kujua kama mtu atakuheshimu si rahisi shemeji yangu wa jf mwombe Mungu ukupe mtu mwenye heshima.
 
Back
Top Bottom