Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,305
Hirosy pm haija jaa kweli!Kumbe naongea vizuri.asante
Hirosy pm haija jaa kweli!Kumbe naongea vizuri.asante
Hongera,sin Mtoto wala watoto.ndo maana nimeandika kuanzisha familia
Mwanangu Mungu akupatie haja ya moyo wako.......... lakini...........Unaowatafuta humu ni hao uwaonao huko barabarenyiMimi ni binti nina miaka kati 24 hadi 27 yani hapa kati.Nina sababu maalumu za kutokutaja miaka kamili najitegemea, ni mweusi maji ya kunde, nimekuja hapa natafuta mwenza wa maisha, aliye tayari kuwa na familia yaani baada ya kuoana na kuweza kuwa na watoto na mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kujitegemea na kuja kutunza familia yake.Ambae yupo tayari kwa ndoa na sio kuzini awe tayari kupima HIV na mwenye uvumilivu.Napenda kuheshimiwa na kuheshimu pia awe na umri kati ya miaka 30 -38.
Kama uko tayari ni PM number kisha tutajuana.
Kama hutaweza kuchangia hii mada bila kumkwaza mtu,naomba upite tu.
Ahsanteni
Ni kweli ila acja ubinafsinikiwa na mke ambaye hana shughuli yeyote ni sawa na kumchukua msichana kutoka kwa wazazi wake na kuwasaidia kulea yani kumkuza yani kwaufupi tu dunia imebadilika siyo kutegemea kila kitu kutafutiwa ndiyo maana mkiingia kwenye ndoa mnapata shida na manyanyaso sana kwasababu mnapenda kuwa tegemezi kuliko kujitegemea kumbuka heshima inaongezeka ktk familia kama utajitegemea pia
asante mdau Mungu akutangulie ktk harakati zakoNi kweli ila acja ubinafsi
Ni vigezo gani ulivyotumia na kuamua kuniita mama?ameen mama. pengine ntampata alioko tayari
Hahahaha JF aise hakuna kuboa full kuinjoi tu duuuu mpaka nashindwa kushangaaNi pale uliponiita mwanaangu. ila Kama nmekukwaza,Niwie radhi
Hata mungu mwenyewe hajahalalisha huko kuchezeana unakosema. unaweza mchunguza MTU Tabia bila kufanya nae ngonoYaani sasa hapa we unalazimisha ndoa mahusiano hayalazimishwi lazima mcheze kama watoto kwanza then baadae mambo yanajipa
Kuchunguzana tabia ni muhimu pia ili kuona unaweza kuishi nae au laa
Wewe unaamua lini?jamani mkuje huku , hongera dada kwa maamuzi
nicheki pm pls niko seriousJina lina tatizo gani mkuu?..Aseme basi nibadilishe