Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
Na kwenye tiba upo?Dah we jamaa. Mbona kama tupo wote katika groups zile.....nipo 1 and 2.
Na kwenye tiba upo?Dah we jamaa. Mbona kama tupo wote katika groups zile.....nipo 1 and 2.
Sawa mchungaji tumekuelewa, usiwaze wala nini, waumini wako hawatakukimbia wataendelea kukuletea sadaka ule wewe na familia yako.Fikra hizi mnazoongeaga sijui mnatoaga wapi eti ukristo nu kufuata uzungu??!!!mi naona kama huna din kaa kimya kuliko uongee iliupate sifa kumbe unadharauliwa tu
Ntemi Nyanda ameshaaga dunia na anazikwa kule kwenye matambiko yetu, Bujora, Mwanza.Twende nikupeleke kwa Kissendi Nyanda NTALIMA MPANDAGOYA akuondoe kwenye ukondoo, ukaabudu mizimu ya watu wa kale
Mzee, unaona ukristo ni mbaya kwa kuangalia yanayofanyika kanisani? Biblia ndo muongozo wa ukristo, unayoyazungumza yapo kinyume na biblia nawe pia umelitambua hilo ila bado unaona ukristo ndo haufai kiasi kwamba unatamani kuwa wa dini nyingine. Ongozwa na biblia sio na hayo makanisa ambayo kwa wazi kabisa yanaonekana ni ya kishetani.Katika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Muulize huyo pasta mamlaka hayo kayatoa wapi.Biblia imeweka wazi jinsi sadaka zitolewaje na zitumike vipi.Inajua ujue sio KILA kanisa ni la Kristo.Kuna Makristo na Ukristo ni vitu viwili tofauti, Makristo ufuata mafundisho ya wanadamu.Je wajua kuna makanisa lakini ni mahekalu ya freemason? Siri wanajua wamiliki au waanzilishi wa hayo makanisa.Tatizo siyo kutoa mzee ....ivi ulisha wahi enda kanisani then pasta akasema wenye kuanzia 500k wapite mbele ....wenye kwanzia 100k...wasimame .....wenye kuanzia 50k wanyooshe mikono ..... hao ndo wananza kuombewa kwanza na kuwekewa mikono then wengine mlio baki ndo mnaombewa mkiwa hko hko kwenye mabench? .....tembea uone
Vipi michango ya mingine ya mfano ujenzi,kuona wahitaji ambao ni wafungwa, wagonjwa, wakimbizi,yatima na wajane utoi?Ukimbie ukristo na kukimbilia dini ya kiislamu eti sababu ya kulazimishwa michango? usipotoa utafukuzwa kusali hilo Kanisa? naona kabisa shida inaanzia kwako huna msimamo....binafsi ukiacha zaka na sadaka ya ile ya madhabahuni wakati wa ibada hakuna mchango mwingine wa mchongo natoa na ukristo nitadumu nao hadi kufa full stop!!
Kunamashine inaitwa Mfalme Fadhageti, ana madini sana aiseeNtemi Nyanda ameshaaga dunia na anazikwa yule kule kwenye matambiko yetu, Bujora, Mwanza.
Sorry for being late.Katika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Sitoi!!Vipi michango ya mingine ya mfano ujenzi,kuona wahitaji ambao ni wafungwa, wagonjwa, wakimbizi,yatima na wajane utoi?
Kuna shirika la Kikristo na pia kuna shirika la kanisa katoliki linalohudumia wakimbizi duniani msipotoa pesa watapata wapi.
Kutoa sio lazima ni hiariSitoi!!
Kiukweli niko very dissapointed but i can't blame you.Katika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Aliyekuambia nani mimi ni mchungaji🙄🙄🙄🙄 jina lako tu linaashiria wewe na din ni tofautiSawa mchungaji tumekuelewa, usiwaze wala nini, waumini wako hawatakukimbia wataendelea kukuletea sadaka ule wewe na familia yako.
Watu wa sampuli yako huwa hawakosekani ..... mda wote unawaza kutafta makosa yapo wapi .... pray had MUNGU akusaidie uwe na positivity mindKama kuandika tu umekwama,dini utaiweza?
Your so correct ila katiak hali yakibinadamu kiongozi wako akikosea nirahisi kondoo kupotea kwa maana misingi yetu imejengwa kupitia hao viongozi unapo pata akili ndipo imani inanza kujengeka nakukua hadi kufika hatua ya kuelewa zaidiMzee, unaona ukristo ni mbaya kwa kuangalia yanayofanyika kanisani? Biblia ndo muongozo wa ukristo, unayoyazungumza yapo kinyume na biblia nawe pia umelitambua hilo ila bado unaona ukristo ndo haufai kiasi kwamba unatamani kuwa wa dini nyingine. Ongozwa na biblia sio na hayo makanisa ambayo kwa wazi kabisa yanaonekana ni ya kishetani.
Kwa mfano hapa nilipo kuna msichana mmoja amebadili dini ili aolewe na muislam, kuna siku nimekaa nae nikamuuliza sababu za kubadili dini akanipa sababu za kijinga sana nikamwambia tuushie hapo maana hata nikimweleza chochote hawezi kunielewa. Alisema,
• sikumpata mume wa kikristo
•waislam wanawake wanavaa kiheshima kuliko wa kikristo.
Tukaichambua kidogo hiyo point ya pili, nikamuuliza,
"Kwani biblia inafundisha wanawake wasivae kiheshima?"
Akajibu, "Kama inafundisha wavae kiheshima mbona wanavaa hovyo hadi makanisani inamaana hawaoni mafundisho ya kuvaa kistara?"
Nikamwambia,
"Biblia imefundisha wanawake namna ya kuvaa kiheshima ila kuna baadhi ambao wameamua kukaidi hilo"
...hiyo ni sawa na kusema Bible imefundisha watu wasiibe, sasa kiongozi wa kanisa akiiba sadaka haimaanishi ukristo unamruhusu kufanya hivo.
Usiache ukristo kwa kuangalia uovu wa wakristo, Soma mwenyewe biblia itakusaidia kuwa na imani thabiti.
Nmeasoma jujuu ila nmekuelewaKatika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena